< 1 Abhakorintho 13 >

1 Tije huje iyanga ikabila zya bhantu ni zya malaika. Nkushele sindi ni nulugano indi shaba yililila nuupatu wewavuma.
Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele.
2 Na huje indi ni kalama iyi unabii nu ummanye uwilyoli zyeziyifishile na maarifa aje indi nu lwitiho ulwasamye amagamba. Lelo huje nkesindi nu lugano na hamo ahantu.
Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu.
3 Na tije huje imunya ivintu vya ni na hubhalisye apina na huje injifumya umbili gwani aje impye numwoto. Nkushe sindi nu lugano nahamo ahantu.
Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo hainifai chochote.
4 Ulugano bhujimba bhufadhili. Ulugano sebhuyitufya au huyilole. Sebhuli ni ngosi
Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni.
5 au uwandilizi. Sebhuhwanza amambo gakwe, sebhulola ukhali haraka, wala sebhubhazya amabhibhi.
Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya,
6 Sebhusha huwalangani. Badala yakwe, bhusha ni lyoli.
hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.
7 Ulugano lujimbila amambo gonti luhwitiha amambo gonti, bhuli nu dandamazu humambo gonti.
Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.
8 Ulugano selumaliha. Nkushe huli na akuwa, bhanzashile. Nkushele huli iluga zinzashile. Nkushele huli na maarifa ganzashile.
Upendo hauna kikomo kamwe. Kama kuna vipaji vya kutangaza ujumbe wa Mungu, hivyo vitatoweka siku moja; kama ni vipaji vya kusema lugha ngeni, vitakoma; kama kuna elimu, nayo itapita.
9 Pipo timinye aje husehemu tibhomba ukuwa.
Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.
10 Lakini aje ila yiliho sikamilishe ila yesili kamili yayishila.
Lakini kile kilicho kikamilifu kitakapofika, vyote visivyo vikamilifu vitatoweka.
11 Le nahali mwana, nahayanjile ndeshe umwana, nahasibhililaga ndeshe umwana, nahamulaga ndeshe umwana. Nahamulaga ndeshe umwana, Leunahabha gosi, nahabhishile apatali amambo gishana.
Nilipokuwa mtoto mchanga nilisema kitoto, nilifahamu kitoto, nilifikiri kitoto. Lakini sasa, maadam mimi ni mtu mzima, mambo ya kitoto nimeyaacha.
12 Pipo isalizi tilola ndeshe hwigarasi ndeshe amaso huhisi, lakhini isiku lila tahayilolana humaso maso. Ishi imanya huje kwa sehemu, lakhini uwakati bhula nahayimanya hani aje shimanyihana haani.
Tunachoona sasa ni kama tu sura hafifu katika kioo, lakini hapo baadaye tutaona uso kwa uso. Sasa ninajua kiasi fulani tu, lakini hapo baadaye nitajua yote kikamilifu, kama vile Mungu anavyonijua mimi.
13 Ishi amambo iga gatatu gadumu ulwitiho usubhizyo lyelihwinza nuu olugano. Lakini igosi hani ulugano.
Sasa yanadumu haya matatu: imani, tumaini na upendo; lakini lililo kuu kupita yote ni upendo.

< 1 Abhakorintho 13 >