< Псалтирь 96 >

1 Псалом Хвалебная песнь Давида. На построение дома. Воспойте Господу песнь новую; воспойте Господу, вся земля;
Mwimbieni Bwana wimbo mpya; mwimbieni Bwana dunia yote.
2 пойте Господу, благословляйте имя Его, благовествуйте со дня на день спасение Его;
Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake; tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
3 возвещайте в народах славу Его, во всех племенах чудеса Его;
Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
4 ибо велик Господь и достохвален, страшен Он паче всех богов.
Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote; yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
5 Ибо все боги народов - идолы, а Господь небеса сотворил.
Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, lakini Bwana aliziumba mbingu.
6 Слава и величие пред лицем Его, сила и великолепие во святилище Его.
Fahari na enzi viko mbele yake; nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
7 Воздайте Господу, племена народов, воздайте Господу славу и честь;
Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
8 воздайте Господу славу имени Его, несите дары и идите во дворы Его;
Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; leteni sadaka na mje katika nyua zake.
9 поклонитесь Господу во благолепии святыни. Трепещи пред лицем Его, вся земля!
Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake; dunia yote na itetemeke mbele zake.
10 Скажите народам: Господь царствует! потому тверда вселенная, не поколеблется. Он будет судить народы по правде.
Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.” Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa; atawahukumu watu kwa uadilifu.
11 Да веселятся небеса и да торжествует земля; да шумит море и что наполняет его;
Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi; bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;
12 да радуется поле и все, что на нем, и да ликуют все дерева дубравные!
mashamba na yashangilie, pamoja na vyote vilivyomo ndani yake. Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;
13 пред лицем Господа; ибо идет, ибо идет судить землю. Он будет судить вселенную по правде, и народы - по истине Своей.
itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja, anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu dunia kwa haki, na mataifa katika kweli yake.

< Псалтирь 96 >