< Псалтирь 76 >

1 Начальнику хора. На струнных орудиях. Псалом Асафа. Песнь. Ведом в Иудее Бог; у Израиля велико имя Его.
Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
2 И было в Салиме жилище Его и пребывание Его на Сионе.
Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
3 Там сокрушил Он стрелы лука, щит и меч и брань.
Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
4 Ты славен, могущественнее гор хищнических.
Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
5 Крепкие сердцем стали добычею, уснули сном своим, и не нашли все мужи силы рук своих.
Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
6 От прещения Твоего, Боже Иакова, вздремали и колесница и конь.
Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
7 Ты страшен, и кто устоит пред лицем Твоим во время гнева Твоего?
Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
8 С небес Ты возвестил суд; земля убоялась и утихла,
Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
9 когда восстал Бог на суд, чтобы спасти всех угнетенных земли.
wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
10 И гнев человеческий обратится во славу Тебе: остаток гнева Ты укротишь.
Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
11 Делайте и воздавайте обеты Господу, Богу вашему; все, которые вокруг Него, да принесут дары Страшному:
Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
12 Он укрощает дух князей, Он страшен для царей земных.
Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.

< Псалтирь 76 >