< Псалтирь 52 >
1 Начальнику хора. Учение Давида, после того, как приходил Доик Идумеянин и донес Саулу и сказал ему, что Давид пришел в дом Ахимелеха. Что хвалишься злодейством, сильный? милость Божия всегда со мною;
Kwa nini wewe unajivunia kufanya uovu, wewe mtu mwenye nguvu? Uaminifu wa agano la Mungu huja kila siku.
2 гибель вымышляет язык твой; как изощренная бритва, он у тебя, коварный!
Ulimi wako hupanga uharibifu kama wembe mkali, na kufanya udanganyifu.
3 ты любишь больше зло, нежели добро, больше ложь, нежели говорить правду;
Wewe unapenda uovu kuliko wema na udanganifu kuliko kuongea haki. (Selah)
4 ты любишь всякие гибельные речи, язык коварный:
Wewe hupenda maneno ambayo huwaumiza wengine, wewe ulimi mdanganyifu.
5 за то Бог сокрушит тебя вконец, изринет тебя и исторгнет тебя из жилища твоего и корень твой из земли живых.
Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. (Selah)
6 Увидят праведники и убоятся, посмеются над ним и скажут:
Wenye haki pia wataona na kuogopa; watamcheka na kusema,
7 “вот человек, который не в Боге полагал крепость свою, а надеялся на множество богатства своего, укреплялся в злодействе своем”.
“Tazama, huyu ni mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake la usalama, bali aliamini katika wingi wa mali zake, naye alikuwa na nguvu alipowaharibu wengine.”
8 А я, как зеленеющая маслина, в доме Божием, и уповаю на милость Божию во веки веков,
Lakini kwangu mimi, niko kama mti bora wa mzeituni katika nyumba ya Mungu; Nami nitaamini uaminifu wa agano la Mungu milele na milele.
9 вечно буду славить Тебя за то, что Ты соделал, и уповать на имя Твое, ибо оно благо пред святыми Твоими.
Nitakushukuru wewe daima kwa uliyo tenda. Nitalisubiri jina lako, kwa sababu ni zuri, uweponi mwa wantu wako wa kimungu.