< Псалтирь 34 >
1 Псалом Давида, когда он притворился безумным пред Авимелехом и был изгнан от него и удалился. Благословлю Господа во всякое время; хвала Ему непрестанно в устах моих.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 Господом будет хвалиться душа моя; услышат кроткие и возвеселятся.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 Величайте Господа со мною, и превознесем имя Его вместе.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 Я взыскал Господа, и Он услышал меня, и от всех опасностей моих избавил меня.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 Кто обращал взор к Нему, те просвещались, и лица их не постыдятся.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 Сей нищий воззвал, - и Господь услышал и спас его от всех бед его.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 Ангел Господень ополчается вокруг боящихся Его и избавляет их.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 Вкусите, и увидите, как благ Господь! Блажен человек, который уповает на Него!
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Бойтесь Господа, святые Его, ибо нет скудости у боящихся Его.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 Скимны бедствуют и терпят голод, а ищущие Господа не терпят нужды ни в каком благе.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Придите, дети, послушайте меня: страху Господню научу вас.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 Хочет ли человек жить и любит ли долгоденствие, чтобы видеть благо?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Удерживай язык свой от зла и уста свои от коварных слов.
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Уклоняйся от зла и делай добро; ищи мира и следуй за ним.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 Очи Господни обращены на праведников, и уши Его - к воплю их.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 Но лице Господне против делающих зло, чтобы истребить с земли память о них.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 Взывают праведные, и Господь слышит, и от всех скорбей их избавляет их.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 Близок Господь к сокрушенным сердцем и смиренных духом спасет.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Много скорбей у праведного, и от всех их избавит его Господь.
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 Он хранит все кости его; ни одна из них не сокрушится.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 Убьет грешника зло, и ненавидящие праведного погибнут.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 Избавит Господь душу рабов Своих, и никто из уповающих на Него не погибнет.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.