< Псалтирь 110 >
1 Псалом Давида. Сказал Господь Господу моему: седи одесную Меня, доколе положу врагов Твоих в подножие ног Твоих.
Zaburi ya Daudi. Bwana amwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka nitakapowafanya adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”
2 Жезл силы Твоей пошлет Господь с Сиона: господствуй среди врагов Твоих.
Bwana ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni; utatawala katikati ya adui zako.
3 В день силы Твоей народ Твой готов во благолепии святыни; из чрева прежде денницы подобно росе рождение Твое.
Askari wako watajitolea kwa hiari katika siku yako ya vita. Ukiwa umevikwa fahari takatifu, kutoka tumbo la mapambazuko utapokea umande wa ujana wako.
4 Клялся Господь и не раскается: Ты священник вовек по чину Мелхиседека.
Bwana ameapa, naye hatabadilisha mawazo yake: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.”
5 Господь одесную Тебя. Он в день гнева Своего поразит царей;
Bwana yuko mkono wako wa kuume, atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.
6 совершит суд над народами, наполнит землю трупами, сокрушит голову в земле обширной.
Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga na kuwaponda watawala wa dunia nzima.
7 Из потока на пути будет пить, и потому вознесет главу.
Atakunywa maji katika kijito kando ya njia, kwa hiyo atainua kichwa chake juu.