< Псалтирь 101 >
1 Псалом Давида. Милость и суд буду петь; Тебе, Господи, буду петь.
Zaburi ya Daudi. Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako; kwako wewe, Ee Bwana, nitaimba sifa.
2 Буду размышлять о пути непорочном: “когда ты придешь ко мне?” Буду ходить в непорочности моего сердца посреди дома моего.
Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama: utakuja kwangu lini? Nitatembea nyumbani mwangu kwa moyo usio na lawama.
3 Не положу пред очами моими вещи непотребной; дело преступное я ненавижу: не прилепится оно ко мне.
Sitaweka mbele ya macho yangu kitu kiovu. Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani; hawatashikamana nami.
4 Сердце развращенное будет удалено от меня; злого я не буду знать.
Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami; nitajitenga na kila ubaya.
5 Тайно клевещущего на ближнего своего изгоню; гордого очами и надменного сердцем не потерплю.
Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri, huyo nitamnyamazisha; mwenye macho ya dharau na moyo wa kiburi huyo sitamvumilia.
6 Глаза мои на верных земли, чтобы они пребывали при мне; кто ходит путем непорочности, тот будет служить мне.
Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi, ili waweze kuishi pamoja nami; yeye ambaye moyo wake hauna lawama atanitumikia.
7 Не будет жить в доме моем поступающий коварно; говорящий ложь не останется пред глазами моими.
Mdanganyifu hatakaa nyumbani mwangu, yeye asemaye kwa uongo hatasimama mbele yangu.
8 С раннего утра буду истреблять всех нечестивцев земли, дабы искоренить из града Господня всех делающих беззаконие
Kila asubuhi nitawanyamazisha waovu wote katika nchi; nitamkatilia mbali kila mtenda mabaya kutoka mji wa Bwana.