< Иисус Навин 3 >
1 И встал Иисус рано поутру, и двинулись они от Ситтима и пришли к Иордану, он и все сыны Израилевы, и ночевали там, еще не переходя его.
Yoshua na Waisraeli wote wakaondoka asubuhi na mapema kutoka Shitimu, wakaenda mpaka Mto Yordani, ambako walipiga kambi kabla ya kuvuka.
2 Чрез три дня пошли надзиратели по стану
Baada ya siku tatu maafisa wakapita katika kambi yote,
3 и дали народу повеление, говоря: когда увидите ковчег завета Господа Бога вашего и священников наших и левитов, несущих его, то и вы двиньтесь с места своего и идите за ним;
wakitoa maagizo kwa watu, wakiwaambia: “Mtakapoona Sanduku la Agano la Bwana Mungu wenu, likichukuliwa na Walawi ambao ndio makuhani, mtaondoka hapo mlipo na kulifuata.
4 впрочем, расстояние между вами и им должно быть до двух тысяч локтей мерою; не подходите к нему близко, чтобы знать вам путь, по которому идти; ибо вы не ходили сим путем ни вчера, ни третьего дня.
Ndipo mtakapotambua njia mtakayoiendea, kwa kuwa hamjawahi kuipita kabla. Lakini msisogee karibu, bali kuwe na umbali wa dhiraa 2,000 kati yenu na Sanduku.”
5 И сказал Иисус народу: освятитесь к утру, ибо завтра сотворит Господь среди вас чудеса.
Ndipo Yoshua akawaambia hao watu, “Jitakaseni, kwa kuwa kesho Bwana atatenda mambo ya kushangaza katikati yenu.”
6 Священникам же сказал Иисус: возьмите ковчег завета Господня и идите пред народом. Священники взяли ковчег завета Господня и пошли пред народом.
Yoshua akawaambia makuhani, “Liinueni Sanduku la Agano mkatangulie mbele ya watu.” Hivyo wakaliinua na kutangulia mbele yao.
7 Тогда Господь сказал Иисусу: в сей день Я начну прославлять тебя пред очами всех сынов Израиля, дабы они узнали, что как Я был с Моисеем, так буду и с тобою;
Ndipo Bwana akamwambia Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Mose.
8 а ты дай повеление священникам, несущим ковчег завета, и скажи: как только войдете в воды Иордана, остановитесь в Иордане.
Uwaambie makuhani wanaochukua Sanduku la Agano, ‘Mnapofika kwenye ukingo wa maji ya Yordani, nendeni mkasimame ndani ya mto.’”
9 Иисус сказал сынам Израилевым: подойдите сюда и выслушайте слова Господа, Бога вашего.
Yoshua akawaambia Waisraeli, “Njooni hapa msikilize maneno ya Bwana Mungu wenu.
10 И сказал Иисус: из сего узнаете, что среди вас есть Бог живый, Который прогонит от вас Хананеев и Хеттеев, и Евеев, и Ферезеев, и Гергесеев, и Аморреев, и Иевусеев:
Hivi ndivyo mtakavyojua ya kuwa Mungu aliye hai yupo katikati yenu, na kwamba kwa hakika atawafukuza mbele yenu hao Wakanaani, Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagirgashi, Waamori na Wayebusi.
11 вот, ковчег завета Господа всей земли пойдет пред вами чрез Иордан;
Tazameni, Sanduku la Agano la Bwana wa dunia yote litaingia ndani ya Mto Yordani likiwa limewatangulia.
12 и возьмите себе двенадцать человек из колен Израилевых, по одному человеку из колена;
Sasa basi, chagueni watu kumi na wawili kutoka makabila ya Israeli, mtu mmoja kutoka kila kabila.
13 и как только стопы ног священников, несущих ковчег Господа, Владыки всей земли, ступят в воду Иордана, вода Иорданская иссякнет, текущая же сверху вода остановится стеною.
Mara tu nyayo za makuhani walichukualo Sanduku la Bwana, Bwana wa dunia yote, zitakapokanyaga ndani ya Mto Yordani, maji hayo yatiririkayo kutoka juu yatatindika na kusimama kama chuguu.”
14 Итак, когда народ двинулся от своих шатров, чтобы переходить Иордан, и священники понесли ковчег завета Господня пред народом,
Basi, watu walipovunja kambi ili kuvuka Yordani, makuhani wakiwa wamebeba Sanduku la Agano waliwatangulia.
15 то, лишь только несущие ковчег завета Господня вошли в Иордан, и ноги священников, несших ковчег, погрузились в воду Иордана Иордан же выступает из всех берегов своих во все дни жатвы пшеницы,
Wakati huu ulikuwa wakati wa mavuno, nao Mto Yordani ulikuwa umefurika hadi kwenye kingo zake. Ilikuwa kawaida ya Yordani kufurika nyakati zote za mavuno. Mara tu makuhani wale waliokuwa wamebeba Sanduku la Agano walipofika mtoni na nyayo zao kuzama ndani ya yale maji,
16 вода, текущая сверху, остановилась и стала стеною на весьма большое расстояние, до города Адама, который подле Цартана; а текущая в море равнины, в море Соленое, ушла и иссякла.
maji hayo yaliyotiririka kutoka upande wa juu yaliacha kutiririka yakasimama kama chuguu mbali kabisa nao, kwenye mji ulioitwa Adamu kwenye eneo la Sarethani, wakati yale maji yaliyokuwa yanatiririka kuingia kwenye Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), yalitindika kabisa. Hivyo watu wakavuka kukabili Yeriko.
17 И народ переходил против Иерихона; священники же, несшие ковчег завета Господня, стояли на суше среди Иордана твердою ногою. Все сыны Израилевы переходили по суше, доколе весь народ не перешел чрез Иордан.
Wale makuhani waliobeba Sanduku la Agano la Bwana, wakasimama imara mahali pakavu katikati ya Mto Yordani, wakati Waisraeli wote wakiwa wanapita hadi taifa lote likaisha kuvuka mahali pakavu.