< Иов 35 >

1 И продолжал Елиуй и сказал:
Aidha, Elihu aliendelea kusema,
2 считаешь ли ты справедливым, что сказал: я правее Бога?
“Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
3 Ты сказал: что пользы мне? и какую прибыль я имел бы пред тем, как если бы я и грешил?
Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
4 Я отвечу тебе и твоим друзьям с тобою:
Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
5 взгляни на небо и смотри; воззри на облака, они выше тебя.
Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
6 Если ты грешишь, что делаешь ты Ему? и если преступления твои умножаются, что причиняешь ты Ему?
Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
7 Если ты праведен, что даешь Ему? или что получает Он от руки твоей?
Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
8 Нечестие твое относится к человеку, как ты, и праведность твоя к сыну человеческому.
Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
9 От множества притеснителей стонут притесняемые, и от руки сильных вопиют.
Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
10 Но никто не говорит: где Бог, Творец мой, Который дает песни в ночи,
Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
11 Который научает нас более, нежели скотов земных, и вразумляет нас более, нежели птиц небесных?
ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
12 Там они вопиют, и Он не отвечает им, по причине гордости злых людей.
Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
13 Но неправда, что Бог не слышит и Вседержитель не взирает на это.
Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
14 Хотя ты сказал, что ты не видишь Его, но суд пред Ним, и - жди Его.
Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
15 Но ныне, потому что гнев Его не посетил его и он не познал Его во всей строгости,
Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
16 Иов и открыл легкомысленно уста свои и безрассудно расточает слова.
Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”

< Иов 35 >