< Осия 3 >
1 И сказал мне Господь: иди еще и полюби женщину, любимую мужем, но прелюбодействующую, подобно тому как любит Господь сынов Израилевых, а они обращаются к другим богам и любят виноградные лепешки их.
Bwana akaniambia, “Nenda, ukaonyeshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kama Bwana apendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu.”
2 И приобрел я ее себе за пятнадцать сребренников и за хомер ячменя и полхомера ячменя,
Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu ya shayiri.
3 и сказал ей: много дней оставайся у меня; не блуди и не будь с другим; так же и я буду для тебя.
Kisha nilimwambia, “Utaishi nami kwa siku nyingi, hupaswi kuwa kahaba au kuwa na uhusiano wa karibu na mtu yeyote, nami nitaishi na wewe.”
4 Ибо долгое время сыны Израилевы будут оставаться без царя, и без князя, и без жертвы, без жертвенника, без ефода и терафима.
Kwa maana Waisraeli wataishi siku nyingi bila kuwa na mfalme wala mkuu, bila kuwa na dhabihu wala mawe matakatifu, bila kisibau wala sanamu.
5 После того обратятся сыны Израилевы и взыщут Господа Бога своего и Давида, царя своего, и будут благоговеть пред Господом и благостью Его в последние дни.
Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa Bwana na kwa baraka zake katika siku za mwisho.