< 1-я Паралипоменон 8 >

1 Вениамин родил Белу, первенца своего, второго Ашбела, третьего Ахрая,
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 четвертого Ноху и пятого Рафу.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 Сыновья Белы были: Аддар, Гера, Авиуд,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 Авишуа, Нааман, Ахоах,
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 Гера, Шефуфан и Хурам.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 И вот сыновья Егуда, которые были главами родов, живших в Геве и переселенных в Манахаф:
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 Нааман, Ахия и Гера, который переселил их; он родил Уззу и Ахихуда.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 Шегараим родил детей в земле Моавитской после того, как отпустил от себя Хушиму и Баару, жен своих.
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 И родил он от Ходеши, жены своей, Иовава, Цивию, Мешу, Малхама,
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 Иеуца, Шахию и Мирму: вот сыновья его, главы поколений.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 От Хушимы родил он Авитува и Елпаала.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 Сыновья Елпаала: Евер, Мишам и Шемер, который построил Оно и Лод и зависящие от него города,
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 и Берия и Шема. Они были главами поколений жителей Аиалона. Они выгнали жителей Гефа.
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 Ахио, Шашак, Иремоф,
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 Зевадия, Арад, Едер,
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 Михаил, Ишфа и Иоха - сыновья Берии.
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 Зевадия, Мешуллам, Хизкий, Хевер,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 Ишмерай, Излия и Иовав - сыновья Елпаала.
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 Иаким, Зихрий, Завдий,
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 Елиенай, Цилфай, Елиил,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 Адаия, Бераия и Шимраф - сыновья Шимея.
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 Ишпан, Евер, Елиил,
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 Авдон, Зихрий, Ханан,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Ханания, Елам, Антофия,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 Ифдия и Фенуил - сыновья Шашака.
Ifdeya na Penueli.
26 Шамшерай, Шехария, Афалия,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Иаарешия, Елия и Зихрий, сыновья Иерохама.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Это главы поколений, в родах своих главные. Они жили в Иерусалиме.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 В Гаваоне жили: Иеил, отец Гаваонитян, - имя жены его Мааха,
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 и сын его, первенец Авдон, за ним Цур, Кис, Ваал, Надав, Нер,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 Гедор, Ахио, Зехер и Миклоф.
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 Миклоф родил Шимея. И они подле братьев своих жили в Иерусалиме, вместе с братьями своими.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Нер родил Киса; Кис родил Саула; Саул родил Иоанафана, Мелхисуя, Авинадава и Ешбаала.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 Сын Ионафана Мериббаал; Мериббаал родил Миху.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 Сыновья Михи: Пифон, Мелег, Фаарея и Ахаз.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 Ахаз родил Иоиадду; Иоиадда родил Алемефа, Азмавефа и Замврия; Замврий родил Моцу;
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Моца родил Бинею. Рефаия, сын его; Елеаса, сын его; Ацел, сын его.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 У Ацела шесть сыновей, и вот имена их: Азрикам, Бохру, Исмаил, Шеария, Овадия и Ханан; все они сыновья Ацела.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 Сыновья Ешека, брата его: Улам, первенец его, второй Иеуш, третий Елифелет.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 Сыновья Улама были люди воинственные, стрелявшие из лука, имевшие много сыновей и внуков: сто пятьдесят. Все они от сынов Вениамина.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

< 1-я Паралипоменон 8 >