< 1-я Паралипоменон 3 >
1 Сыновья Давида, родившиеся у него в Хевроне, были: первенец Амнон, от Ахиноамы Изреелитянки; второй - Далуия, от Авигеи Кармилитянки;
Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
2 третий - Авессалом, сын Маахи, дочери Фалмая, царя Гессурского; четвертый - Адония, сын Аггифы;
wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
3 пятый - Сафатия, от Авиталы; шестой Ифреам, от Аглаи, жены его,
wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
4 шесть родившихся у него в Хевроне; царствовал же он там семь лет и шесть месяцев; а тридцать три года царствовал в Иерусалиме.
Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
5 А сии родились у него в Иерусалиме: Шима, Шовав, Нафан и Соломон, четверо от Вирсавии, дочери Аммииловой;
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
6 Ивхар, Елишама, Елифелет,
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
8 Елишама, Елиада и Елифелет девятеро.
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
9 Вот все сыновья Давида, кроме сыновей от наложниц. Сестра их Фамарь.
Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
10 Сын Соломона Ровоам; его сын Авия, его сын Аса, его сын Иосафат,
Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
11 его сын Иорам, его сын Охозия, его сын Иоас,
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
12 его сын Амасия, его сын Азария, его сын Иофам,
mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
13 его сын Ахаз, его сын Езекия, его сын Манассия,
mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
14 его сын Амон, его сын Иосия.
mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
15 Сыновья Иосии: первенец Иоахаз, второй Иоаким, третий Седекия, четвертый Селлум.
Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
16 Сыновья Иоакима: Иехония, сын его; Седекия, сын его.
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
17 Сыновья Иехонии: Асир, Салафиил, сын его;
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
18 Малкирам, Федаия, Шенацар, Иезекия, Гошама и Савадия.
Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
19 И сыновья Федаии: Зоровавель и Шимей. Сыновья же Зоровавеля: Мешуллам и Ханания, и Шеломиф, сестра их,
Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
20 и еще пять: Хашува, Огел, Берехия, Хасадия и Иушав-Хесед.
Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
21 И сыновья Ханании: Фелатия и Исаия; его сын Рефаия, его сын Арнан, его сын Овадия, его сын Шехания.
Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
22 Сын Шехании: Шемаия; сыновья Шемаии: Хаттуш, Игеал, Бариах, Неария и Шафат, шестеро.
Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
23 Сыновья Неарии: Елиоенай, Езекия и Азрикам, трое.
Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
24 Сыновья Елиоеная: Годавьягу, Елеашив, Фелаия, Аккув, Иоханан, Делаия и Анани, семеро.
Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.