< Dud'uit Fefeu' a 25 >
1 Abraham sao seluꞌ inaꞌ esa, naran Ketura.
Abraham akaoa mke mwingine; jina lake aliitwa Ketura.
2 De Ketura bꞌonggi fee ne, anaꞌ nara nara: Simran, Yoksan, Medan, Midian, Isbak, ma Sua.
Akamzalia Zimrani, Jokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua.
3 Yoksan ana nara, Seba no Dedan. Dedan tititi-nonosi nara, naeni atahori Asyur, atahori Letus, ma atahori Leum ra.
Jokshani akamzaa Sheba na Dedani. Wana wa Dedani walikuwa ni Waashuru, Waletushi, na Waleumi.
4 Midian ana nara, Efa, Efer, Henok, Abida ma Elda. Basa naa ra, Ketura tititi-nonosin.
Wana wa Midiani walikuwa ni Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Hawa wote walikuwa ni wana wa Ketura.
5 Leleꞌ Abraham feꞌe masodꞌaꞌ, ana bꞌanggi fee sudꞌi a saa neu Hagar no Ketura ana nara. Ana denu se reu leo sia Kanaꞌan seriꞌ rulu, fo raꞌadꞌodꞌooꞌ ro anan Isak. Te basa hata-hetoꞌ ra, ana fee neu Isak.
Abraham akampatia Isaka vitu vyote alivyokuwa navyo.
Ingawaje, wakati alipokua angali akiishi, aliwapatia zawadi wana wa masuria wake na kuwapeleka katika nchi ya mashariki, mbali na Isaka, mwanae.
7 Abraham too natun esa hitu nulu lima ma, ana mate.
Hizi ndizo zilikuwa siku za miaka ya uhai wake Abraham alizoishi, miaka 175.
Abraham akapumua pumzi ya mwisho na akafa katika uzee mwema, mzee aliye shiba siku, na akakusanywa kwa watu wake.
9 Ana nara Isak no Ismael raꞌoi e sia luat Makpela, deka no Mamre. Abraham hasa etu osi naa mia atahori Het esa, naran Efron, fo Sohar anan. Maꞌahulu na, ana naꞌoi Sara sia luat naa.
Isaka na Ishmaili, wanae wakamzika katika pango la Makipela, katika shamba la Efron mwana wa Soari Mhiti, pango lililokuwa karibu na Mamre.
Shamba hili Abraham alilinunua kwa watoto wa Hethi. Abraham akazikwa pale pamoja na Sara mkewe.
11 Abraham mate ma, Lamatualain fee papala-babꞌanggiꞌ neu Isak, de ana nasodꞌa no mole-dame. Leleꞌ naa, ana leo deka oe mataꞌ, naran Beer Lahai Roi.
Baada ya kifo cha Abraham, Mungu akambariki Isaka mwanae, na Isaka akaishi karibu na Beerlalahairoi.
12 Ismael dudꞌui na, taꞌo ia. Eni ia, Abraham no sao tias na Hagar ana na. Ma Hagar ia, Sara ate na mia Masir.
Na sasa hawa ndio walikuwa wana wa Ishimaeli, mwana wa Abraham, ambaye Hajiri Mmisri mtumishi wake Sara, alizaa kwa Abraham.
13 Ismael ana nara touꞌ sanahulu rua. Nara nara batutunggaꞌ mia uluꞌ a losa odꞌi muriꞌ a: Nebayot, Kedar, Adbeel, Mibsam, Misma, Duma, Masa, Hadad, Tema, Yetur, Nafis, ma Kedma. Anaꞌ naa ra, dadꞌi bei-baiꞌ mia leo sanahulu rua, esa-esaꞌ no nusa na. Ara babꞌae nusaꞌ naa ra, esa-esa tungga bei-baꞌiꞌ ra naran.
Haya ndiyo yalikuwa majina ya wana wa Ishimaeli, kuanzia mzaliwa wa kwanza: Nebayothi - mzaliwa wa kwanza wa Ishimaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
Hadadi, Tema, Yeturi, Nafishi, na Kedema.
Hawa ndio walikuwa wana wa Ishimaeli, na haya ndiyo majina yao, kwa vijiji vyao, na katika vituo vyao; Maseyidi kumi na wawili kufuatana na kabila zao.
17 Ismael too natun esa telu nulu hitu ma, ana mate.
Hii ndiyo ilikuwa miaka ya Ishimaeli, miaka 137: akapumua pumzi yake ya mwisho na akafa, na akakusanywa pamoja na watu wake.
18 Te tititi-nonosi nara, esa namusuꞌ no esa. Basa se leo saranggaa mia Hawila losa Syur, fo natoo no nusa Masir, nakandoo losa Asyur.
Walioshi toka Havila mpaka Shuri, ambayo iko karibu na Misri, kuelekea Ashuru. Waliishi kwa uadui kati yao.
19 Abraham anan Isak dudꞌui na, taꞌo ia.
Haya ndiyo yalikuwa matukio kumuhusu Isaka, mwana wa Abraham: Abraham alimzaa Isaka.
20 Isak too haa nulu ma, ana sao Ribka. Ribka ia, aman, Betuel. Ma naa na, Labꞌan. Sira, atahori Aram, mia Padan Aram.
Isaka alikuwa na umri wa miaka arobaini alipomuoa Rebeka, binti wa ethueli Mshami wa Padani Aramu, ndugu wa Labani Mshami.
21 Huu Ribka nda hambu anaꞌ sa, de Isak hule-oꞌe neu LAMATUALAIN noꞌe soi Ribka mamana ana na. Boe ma LAMATUALAIN rena hule-oꞌe na, de Ribka nairu.
Isaka akamwomba Yahwe kwa ajili ya mke wake kwa sababu alikuwa tasa, na Yahwe akajibu maombi yake, Rebeka mkewe akabeba mimba.
22 Tao-tao te, ana nairu ana duaꞌ. Ana kara ratimba-rasamba rakandooꞌ a sia inan ambu na. De Ribka natatane sia rala na nae, “Taꞌo bee de ruꞌa se, taꞌo ia, e?” De natane LAMATUALAIN.
Watoto hawa walipokuwa tumboni mwake wakasumbuka, naye akasema, “Kwa nini jambo hili linatokea kwangu mimi?” Akaenda kumuuliza Yahwe kuhusu jambo hili.
23 LAMATUALAIN nataa nae, “Sia ambu ma rala, hambu nusaꞌ rua. Dei fo ara ramusuꞌ rakandooꞌ a. Mete te, muriꞌ a maꞌadereꞌ lenaꞌ uluꞌ a. Ma aꞌa ka tao ues fee odꞌiꞌ a.”
Yahwe akamwambia, “Mataifa mawili yako katika tumbo lako, na mataifa haya mawili yatatengana ndani yako. Taifa moja litakuwa lenye nguvu kuliko lingine, na yule mkubwa atamtumikia mdogo.
24 Fai na losa ma, Ribka bꞌonggi ana touꞌ rua.
Ulipo wadia wakati wa kujifungua, tazama, kulikuwa na mapacha ndani ya tumbo lake.
25 Aꞌa ka ao na mbilas, ma mafuluꞌ. Naa de, ara babꞌae e, Esau (lii na onaꞌ dedꞌea feaꞌ esa, sosoa na ‘mafuluꞌ’).
Wakwanza akatoka akiwa mwekundu mwili wote kama vazi la nywele. Wakamwita jina lake Esau.
26 Basa de, odꞌi na feꞌe dea nema. Te ana toꞌu aꞌan ei tinggan. Naa de, ara babꞌae e, Yakob (lii na naeꞌ a onaꞌ dedꞌea feaꞌ esa, sosoa na ‘ei tinggaꞌ’). Leleꞌ Ribka bꞌonggi ruꞌa se, Isak too nee nulu ena.
Baada ya hapo ndugu yake akatoka. Mkono wake ukiwa umeshika kisigino cha Esau. Akaitwa jina lake Yakobo. Isaka alikuwa na umri wa miaka sitini wakati mke wake alipo wazaa hawa watoto.
27 Ana karuaꞌ ra raꞌamoko ma, Esau dadꞌi mana sombu banda fui. Ana hiiꞌ a leo sia lasi. Te Yakob, mana neneeꞌ ma hii leo siaꞌ a ume.
Vijana hawa wakakua, Hesau akawa mwindaji hodari, mtu wa nyikani; lakini Yakobo alikuwa mtu mkimya, aliye tumia muda wake akiwa katika mahema.
28 Isak hii naa sisi banda fui. Naa de, ana sue Esau nalenaꞌ. Te Ribka sue Yakob nalenaꞌ.
Kisha Isaka akampenda Esau kwa sababu alikula wanyama ambao alikuwa anawinda, lakini Rebeka akampenda Yakobo.
29 Lao esa, Yakob tao kua fufue mbilas ma, Esau feꞌe sombu baliꞌ naa. Ana bengge ma ndoe nala seli.
Yakobo akapika mchuzi. Esau akaja kutoka nyikani, akiwa dhaifu kutokana na njaa.
30 Nafadꞌe Yakob nae, “Odꞌiꞌ e! Au ndoe ae mate ena. Fee au kua fufue mbilas mbei dei.” (Naa de, ara roꞌe e rae, Edom. Lii na, naeꞌ a onaꞌ dedꞌeat esa, fo sosoa na ‘mbilas’.)
Esau akamwambia Yakobo, “Nilishe mchuzi mwekundu. Tafadhari, nimechoka!” Na hii ndiyo sababu jina lake aliitwa Edomu.
31 Boe ma Yakob nataa nae, “Malole, aꞌa. Te fee au hak ulu ma dei!”
Yakobo akasema, “Kwanza uniuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
32 Esau nataa nae, “Parsetan no hak uluꞌ naa! Soa e leo! Au ndoe ena! Sodꞌe mendi leo, te au ae ua.”
Esau akasema, “Tazama, nakaribia kufa. Ni nini kwangu haki ya mzaliwa wa kwanza?”
33 Te Yakob olaꞌ fai nae, “Aꞌa helafiꞌ dei! Aꞌa sumba dei mae, aꞌa fee au hak naa.” Boe ma Esau sumba.
Yakobo akasema, “Kwanza uape kwangu mimi,” kwa hiyo Esau akaapa kiapo na kwa njia hii akawa ameuza haki yake ya mzaliwa wa kwanza kwa Yakobo.
34 Basa de, Yakob sodꞌe fee ne kua fufue no roti. Esau naa-ninu basa ma, ana fela lao. No tao naa, Esau fee hieꞌ hendi hak ulu na.
Yakobo akampatia Esau mkate pamoja na mchuzi wa dengu. Akala na kunywa, kisha akainuka na akaenda zake. Kwa njia hii Esau akawa ameidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.