Aionian Verses

Genesis 37:35 (Mwanzo 37:35)
(parallel missing)
Wanawe wote na binti zake wakaja kumfariji, lakini hakukubali kufarijiwa. Akasema, “Hapana, nitamwombolezea mwanangu mpaka nimfikie kaburini.” Kwa hiyo baba yake akaendelea kumlilia. (Sheol h7585)
Genesis 42:38 (Mwanzo 42:38)
(parallel missing)
Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi; ndugu yake amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwa atapatwa na madhara katika safari mnayoiendea, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini kwa masikitiko.” (Sheol h7585)
Genesis 44:29 (Mwanzo 44:29)
(parallel missing)
Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’ (Sheol h7585)
Genesis 44:31 (Mwanzo 44:31)
(parallel missing)
akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni. (Sheol h7585)
Numbers 16:30 (Hesabu 16:30)
(parallel missing)
Lakini ikiwa Bwana ataleta jambo jipya kabisa, ardhi ikifunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na kila kitu kilicho mali yao, nao washuke chini kaburini wakiwa hai, ndipo mtafahamu kuwa watu hawa wamemdharau Bwana.” (Sheol h7585)
Numbers 16:33 (Hesabu 16:33)
(parallel missing)
Wakashuka chini kaburini wakiwa hai, pamoja na kila kitu walichokuwa nacho; nchi ikajifunika juu yao, nao wakaangamia wakatoweka kutoka kusanyiko. (Sheol h7585)
Deuteronomy 32:22 (Torati 32:22)
(parallel missing)
Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu, ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti. Utateketeza dunia pamoja na mazao yake, na kuwasha moto katika misingi ya milima. (Sheol h7585)
1 Samuel 2:6 (1 Samweli 2:6)
(parallel missing)
“Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol h7585)
2 Samuel 22:6 (2 Samweli 22:6)
(parallel missing)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol h7585)
1 Kings 2:6 (1 Wafalme 2:6)
(parallel missing)
Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani. (Sheol h7585)
1 Kings 2:9 (1 Wafalme 2:9)
(parallel missing)
Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.” (Sheol h7585)
Job 7:9 (Ayubu 7:9)
(parallel missing)
Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena. (Sheol h7585)
Job 11:8 (Ayubu 11:8)
(parallel missing)
Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini? Kina chake ni kirefu kuliko kuzimu: wewe waweza kujua nini? (Sheol h7585)
Job 14:13 (Ayubu 14:13)
(parallel missing)
“Laiti kama ungenificha kaburini, na kunisitiri hadi hasira yako ipite! Laiti ungeniwekea wakati, na kisha ukanikumbuka! (Sheol h7585)
Job 17:13 (Ayubu 17:13)
(parallel missing)
Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi, kama nikikitandika kitanda changu gizani, (Sheol h7585)
Job 17:16 (Ayubu 17:16)
(parallel missing)
Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?” (Sheol h7585)
Job 21:13 (Ayubu 21:13)
(parallel missing)
Huitumia miaka yao katika mafanikio nao hushuka kaburini kwa amani. (Sheol h7585)
Job 24:19 (Ayubu 24:19)
(parallel missing)
Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka, ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo waliotenda dhambi. (Sheol h7585)
Job 26:6 (Ayubu 26:6)
(parallel missing)
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
Psalms 6:5 (Zaburi 6:5)
(parallel missing)
Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol h7585)
Psalms 9:17 (Zaburi 9:17)
(parallel missing)
Waovu wataishia kuzimu, naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu. (Sheol h7585)
Psalms 16:10 (Zaburi 16:10)
(parallel missing)
kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol h7585)
Psalms 18:5 (Zaburi 18:5)
(parallel missing)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol h7585)
Psalms 30:3 (Zaburi 30:3)
(parallel missing)
Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. (Sheol h7585)
Psalms 31:17 (Zaburi 31:17)
(parallel missing)
Usiniache niaibike, Ee Bwana, kwa maana nimekulilia wewe, bali waovu waaibishwe na kunyamazishwa Kuzimu. (Sheol h7585)
Psalms 49:14 (Zaburi 49:14)
(parallel missing)
Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini, nacho kifo kitawala. Wanyofu watawatawala asubuhi, maumbile yao yataozea kaburini, mbali na majumba yao makubwa ya fahari. (Sheol h7585)
Psalms 49:15 (Zaburi 49:15)
(parallel missing)
Lakini Mungu atakomboa uhai wangu na kaburi, hakika atanichukua kwake. (Sheol h7585)
Psalms 55:15 (Zaburi 55:15)
(parallel missing)
Kifo na kiwajie adui zangu ghafula, na washuke kuzimu wangali hai, kwa maana uovu upo ndani yao. (Sheol h7585)
Psalms 86:13 (Zaburi 86:13)
(parallel missing)
Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu; umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi. (Sheol h7585)
Psalms 88:3 (Zaburi 88:3)
(parallel missing)
Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu, na maisha yangu yanakaribia kaburi. (Sheol h7585)
Psalms 89:48 (Zaburi 89:48)
(parallel missing)
Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol h7585)
Psalms 116:3 (Zaburi 116:3)
(parallel missing)
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol h7585)
Psalms 139:8 (Zaburi 139:8)
(parallel missing)
Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko. (Sheol h7585)
Psalms 141:7 (Zaburi 141:7)
(parallel missing)
Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol h7585)
Proverbs 1:12 (Mithali 1:12)
(parallel missing)
tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni. (Sheol h7585)
Proverbs 5:5 (Mithali 5:5)
(parallel missing)
Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo; hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini. (Sheol h7585)
Proverbs 7:27 (Mithali 7:27)
(parallel missing)
Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini, ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
Proverbs 9:18 (Mithali 9:18)
(parallel missing)
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol h7585)
Proverbs 15:11 (Mithali 15:11)
(parallel missing)
Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za Bwana: je, si zaidi sana mioyo ya wanadamu! (Sheol h7585)
Proverbs 15:24 (Mithali 15:24)
(parallel missing)
Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima kumwepusha asiende chini kaburini. (Sheol h7585)
Proverbs 23:14 (Mithali 23:14)
(parallel missing)
Mwadhibu kwa fimbo na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini. (Sheol h7585)
Proverbs 27:20 (Mithali 27:20)
(parallel missing)
Kuzimu na Uharibifu havishibi kadhalika macho ya mwanadamu. (Sheol h7585)
Proverbs 30:16 (Mithali 30:16)
(parallel missing)
Ni kaburi, tumbo lisilozaa, nchi isiyoshiba maji kamwe, na moto, usiosema kamwe, ‘Yatosha!’ (Sheol h7585)
Ecclesiastes 9:10 (Mhubiri 9:10)
(parallel missing)
Lolote mkono wako upatalo kufanya, fanya kwa nguvu zako zote, kwa kuwa huko kuzimu, unakokwenda, hakuna kufanya kazi wala mipango wala maarifa wala hekima. (Sheol h7585)
Song of Solomon 8:6 (Wimbo wa Sulemani 8:6)
(parallel missing)
Nitie kama muhuri moyoni mwako, kama muhuri kwenye mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama mauti, wivu wake ni mkatili kama kuzimu. Unachoma kama mwali wa moto, kama mwali mkubwa wa moto wa Bwana hasa. (Sheol h7585)
Isaiah 5:14 (Isaya 5:14)
(parallel missing)
Kwa hiyo kaburi limeongeza hamu yake na kupanua mdomo wake bila kikomo, ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu, pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote. (Sheol h7585)
Isaiah 7:11 (Isaya 7:11)
(parallel missing)
“Mwombe Bwana Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.” (Sheol h7585)
Isaiah 14:9 (Isaya 14:9)
(parallel missing)
Kuzimu kote kumetaharuki kukulaki unapokuja, kunaamsha roho za waliokufa ili kukupokea, wote waliokuwa viongozi katika ulimwengu, kunawafanya wainuke kwenye viti vyao vya kifalme: wale wote waliokuwa wafalme juu ya mataifa. (Sheol h7585)
Isaiah 14:11 (Isaya 14:11)
(parallel missing)
Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu, pamoja na kelele ya vinubi vyako, mafunza yametanda chini yako, na minyoo imekufunika. (Sheol h7585)
Isaiah 14:15 (Isaya 14:15)
(parallel missing)
Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo. (Sheol h7585)
Isaiah 28:15 (Isaya 28:15)
(parallel missing)
Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti, tumefanya mapatano na kuzimu. Wakati pigo lifurikalo litakapopita, haliwezi kutugusa sisi, kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.” (Sheol h7585)
Isaiah 28:18 (Isaya 28:18)
(parallel missing)
Agano lenu na kifo litabatilishwa, patano lenu na kuzimu halitasimama. Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba, litawaangusha chini. (Sheol h7585)
Isaiah 38:10 (Isaya 38:10)
(parallel missing)
Nilisema, “Katika ustawi wa maisha yangu, je, ni lazima nipite katika malango ya mauti, na kupokonywa miaka yangu iliyobaki?” (Sheol h7585)
Isaiah 38:18 (Isaya 38:18)
(parallel missing)
Kwa maana kaburi haliwezi kukusifu, mauti haiwezi kuimba sifa zako; wale washukao chini shimoni hawawezi kuutarajia uaminifu wako. (Sheol h7585)
Isaiah 57:9 (Isaya 57:9)
(parallel missing)
Ulikwenda kwa Moleki ukiwa na mafuta ya zeituni, na ukaongeza manukato yako. Ukawatuma wajumbe wako mbali sana, ukashuka kwenye kaburi lenyewe! (Sheol h7585)
Ezekiel 31:15 (Ezekieli 31:15)
(parallel missing)
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka. (Sheol h7585)
Ezekiel 31:16 (Ezekieli 31:16)
(parallel missing)
Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani. (Sheol h7585)
Ezekiel 31:17 (Ezekieli 31:17)
(parallel missing)
Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga. (Sheol h7585)
Ezekiel 32:21 (Ezekieli 32:21)
(parallel missing)
Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’ (Sheol h7585)
Ezekiel 32:27 (Ezekieli 32:27)
(parallel missing)
Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai. (Sheol h7585)
Hosea 13:14
(parallel missing)
“Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi, nitawakomboa kutoka mautini. Yako wapi, ee mauti, mateso yako? Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako? “Sitakuwa na huruma, (Sheol h7585)
Amos 9:2 (Amosi 9:2)
(parallel missing)
Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu, kutoka huko mkono wangu utawatoa. Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu, kutoka huko nitawashusha. (Sheol h7585)
Jonah 2:2 (Yona 2:2)
(parallel missing)
Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol h7585)
Habakkuk 2:5 (Habakuki 2:5)
(parallel missing)
hakika mvinyo humsaliti; ni mwenye kiburi na hana amani. Kwa sababu ni mlafi kama kuzimu na kama kifo kamwe hatosheki; anajikusanyia mataifa yote na kuchukua watu wote mateka. (Sheol h7585)
Dar Eu vă spun că oricine se mânie pe fratele său fără motiv va fi în primejdie de judecată. Oricine îi va spune fratelui său: “Raca!” va fi în pericol de consiliu. Oricine îi va spune: “Prostule!” va fi în pericol de focul gheenei. (Geenna g1067)
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote atakayemkasirikia ndugu yake, atapaswa hukumu. Tena, yeyote atakayemwambia ndugu yake, ‘Raka,’atapaswa kujibu kwa Baraza la Wayahudi. Lakini yeyote atakayesema ‘Wewe mpumbavu!’ atapaswa hukumu ya moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
Dacă ochiul tău drept te face să te poticnești, smulge-l și aruncă-l de la tine. Căci este mai de folos să piară unul dintre membrele tale decât ca tot trupul tău să fie aruncat în gheenă. (Geenna g1067)
Jicho lako la kuume likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima ukatupwa jehanamu. (Geenna g1067)
Dacă mâna ta dreaptă te face să te poticnești, taie-o și arunc-o departe de tine. Căci îți este mai de folos să piară unul din membrele tale, decât să fie aruncat tot trupul tău în Gheenă. (Geenna g1067)
Kama mkono wako wa kuume ukikusababisha kutenda dhambi, ukate, uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanamu. (Geenna g1067)
Nu vă temeți de cei care ucid trupul, dar nu pot ucide sufletul. Temeți-vă mai degrabă de cel care este în stare să nimicească și sufletul și trupul în Gheenă. (Geenna g1067)
Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu. (Geenna g1067)
Tu, Capernaum, care te-ai înălțat la cer, te vei coborî în Hades. Căci, dacă s-ar fi făcut în Sodoma lucrările mărețe care s-au făcut în voi, ar fi rămas până astăzi. (Hadēs g86)
Nawe Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu. Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko Sodoma, mji huo ungalikuwepo hadi leo. (Hadēs g86)
Oricine va spune un cuvânt împotriva Fiului Omului, îi va fi iertat, dar oricine va vorbi împotriva Duhului Sfânt, nu-i va fi iertat, nici în veacul acesta, nici în cel viitor. (aiōn g165)
Mtu yeyote atakayesema neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au katika ulimwengu ujao. (aiōn g165)
Ceea ce a fost semănat între spini, acesta este cel care ascultă cuvântul, dar grijile veacului acestuia și înșelăciunea bogățiilor înăbușă cuvântul, și el devine neînsuflețit. (aiōn g165)
Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn g165)
Dușmanul care le-a semănat este diavolul. Secerișul este sfârșitul veacului, iar secerătorii sunt îngerii. (aiōn g165)
Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
De aceea, așa cum buruienile de scorbură sunt adunate și arse în foc, așa va fi și la sfârșitul acestui veac. (aiōn g165)
“Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn g165)
Așa va fi și la sfârșitul lumii. Îngerii vor veni și îi vor despărți pe cei răi dintre cei drepți (aiōn g165)
Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn g165)
Îți spun și Eu îți spun că tu ești Petru și pe această piatră voi zidi Adunarea Mea și porțile Hadesului nu o vor birui. (Hadēs g86)
Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya Kuzimu hayataweza kulishinda. (Hadēs g86)
Dacă mâna sau piciorul tău te face să te poticnești, taie-le și leapădă-le de la tine. Este mai bine pentru tine să intri în viață mutilat sau schilodit, decât să ai două mâini sau două picioare pentru a fi aruncat în focul veșnic. (aiōnios g166)
Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. (aiōnios g166)
Dacă ochiul tău te face să te poticnești, smulge-l și aruncă-l de la tine. Este mai bine pentru tine să intri în viață cu un singur ochi, decât să ai doi ochi pentru a fi aruncat în gheena de foc. (Geenna g1067)
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
Și iată că a venit cineva la El și a zis: “Învățătorule, ce să fac ca să am viața veșnică?” (aiōnios g166)
Mtu mmoja akamjia Yesu na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Oricine a lăsat case, sau frați, sau surori, sau tată, sau mamă, sau soție, sau copii, sau pământuri, de dragul numelui Meu, va primi de o sută de ori și va moșteni viața veșnică. (aiōnios g166)
Kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu zake wa kiume au wa kike, baba au mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na ataurithi uzima wa milele. (aiōnios g166)
Văzând un smochin lângă drum, s-a apropiat de el și n-a găsit pe el decât frunze. I-a spus: “Să nu mai fie niciun fruct de la tine în veci!” Imediat smochinul s-a uscat. (aiōn g165)
Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka. (aiōn g165)
Vai vouă, cărturari și farisei, ipocriților! Pentru că voi călătoriți pe mare și pe uscat ca să faceți un singur proselit; și când acesta devine unul, îl faceți de două ori mai fiu al Gheenei decât voi înșivă. (Geenna g1067)
“Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Ninyi mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja mwongofu, lakini baada ya kumpata, mnamfanya mwana wa jehanamu mara mbili kuliko ninyi! (Geenna g1067)
Voi, șerpi, urmași ai viperelor, cum veți scăpa de judecata Gheenei? (Geenna g1067)
“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanamu? (Geenna g1067)
Pe când ședea El pe Muntele Măslinilor, ucenicii au venit la El în particular și I-au zis: “Spune-ne, când se vor întâmpla aceste lucruri? Care este semnul venirii Tale și al sfârșitului veacului?” (aiōn g165)
Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia faraghani, wakamuuliza, “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo dalili ya kuja kwako na ya mwisho wa dunia ni gani?” (aiōn g165)
Apoi va spune și celor de la stânga: 'Duceți-vă de la Mine, blestemaților, în focul cel veșnic, pregătit diavolului și îngerilor lui; (aiōnios g166)
“Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake. (aiōnios g166)
Aceștiavor pleca la pedeapsa veșnică, dar cei drepți la viața veșnică.” (aiōnios g166)
“Ndipo hawa watakapoingia kwenye adhabu ya milele, lakini wale wenye haki wataingia katika uzima wa milele.” (aiōnios g166)
învățându-isă păzească toate lucrurile pe care vi le-am poruncit. Iată, Eu sunt cu voi în toate zilele, până la sfârșitul veacului.” Amin. (aiōn g165)
nanyi wafundisheni kuyashika mambo yote niliyowaamuru ninyi. Hakika mimi niko pamoja nanyi siku zote, hadi mwisho wa nyakati.” (aiōn g165)
dar oricine va huli împotriva Duhului Sfânt nu va avea iertare, ci va fi supus osândei veșnice.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
dar grijile acestui veac, înșelăciunea bogățiilor și poftele altor lucruri care intră în el înăbușă cuvântul și acesta devine neînsuflețit. (aiōn g165)
lakini masumbufu ya maisha haya, na udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya lisizae. (aiōn g165)
Dacă mâna ta te face să te poticnești, taie-ți-o! Este mai bine pentru tine să intri în viață mutilat, decât să ai cele două mâini pentru a merge în Gheena, în focul nestins, (Geenna g1067)
Kama mkono wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili lakini ukaingia jehanamu, mahali ambako moto hauzimiki. [ (Geenna g1067)
Dacă piciorul tău te face să te poticnești, taie-l! Este mai bine pentru tine să intri în viață șchiop, decât ca cele două picioare să fie aruncate în Gheena, în focul care nu se va stinge niciodată — (Geenna g1067)
Kama mguu wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa kiwete, kuliko kuwa na miguu miwili lakini ukaingia jehanamu. [ (Geenna g1067)
Dacă ochiul tău te face să te poticnești, aruncă-l afară. Este mai bine pentru tine să intri în Împărăția lui Dumnezeu cu un singur ochi, decât să ai doi ochi pentru a fi aruncat în Gheena de foc, (Geenna g1067)
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe. Ni afadhali kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa jehanamu, (Geenna g1067)
Pe când ieșea El pe cale, a alergat unul la El, a îngenuncheat înaintea Lui și L-a întrebat: “Învățătorule, ce să fac ca să moștenesc viața veșnică?” (aiōnios g166)
Yesu alipokuwa anaondoka, mtu mmoja akamkimbilia, akapiga magoti mbele yake, akamuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
ci va primi de o sută de ori mai mult acum, în veacul acesta: case, frați, surori, mame, copii, pământ, cu prigoane, iar în veacul viitor, viața veșnică. (aiōn g165, aiōnios g166)
ambaye hatalipwa mara mia katika ulimwengu huu: nyumba, ndugu wa kiume na wa kike, mama na baba na watoto, mashamba pamoja na mateso, kisha uzima wa milele katika ulimwengu ujao. (aiōn g165, aiōnios g166)
Isus i-a spus: “Fie ca nimeni să nu mai mănânce vreodată fructe de la tine!”, iar discipolii lui au auzit. (aiōn g165)
Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo. (aiōn g165)
și va domni peste casa lui Iacov pentru totdeauna. Împărăția lui nu va avea sfârșit”. (aiōn g165)
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” (aiōn g165)
așa cum a vorbit părinților noștri, lui Avraam și urmașilor lui în veci.” (aiōn g165)
Abrahamu na uzao wake milele, kama alivyowaahidi baba zetu.” (aiōn g165)
(așa cum a vorbit prin gura sfinților Săi prooroci care au fost din vechime), (aiōn g165)
kama alivyonena kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani, (aiōn g165)
Ei l-au implorat să nu le poruncească să se ducă în abis. (Abyssos g12)
Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo. (Abyssos g12)
Tu, Capernaum, care te-ai înălțat la cer, vei fi coborât în Hades. (Hadēs g86)
Nawe, Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.” (Hadēs g86)
Și iată că un învățător s-a ridicat în picioare și L-a pus la încercare, zicând: “Învățătorule, ce să fac ca să moștenesc viața veșnică?” (aiōnios g166)
Wakati huo mtaalamu mmoja wa sheria alisimama ili kumjaribu Yesu, akamuuliza, “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Ci vă voi avertiza de cine trebuie să vă temeți. Temeți-vă de cel care, după ce a ucis, are puterea de a arunca în Gheenă. Da, vă spun, temeți-vă de el. (Geenna g1067)
Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua mwili, ana mamlaka ya kuwatupa motoni. Naam, nawaambia, mwogopeni huyo! (Geenna g1067)
“Domnul său l-a lăudat pe administratorul necinstit pentru că a procedat cu înțelepciune, căci copiii acestei lumi sunt, în neamul lor, mai înțelepți decât copiii luminii. (aiōn g165)
“Yule bwana akamsifu yule msimamizi dhalimu kwa jinsi alivyotumia ujanja. Kwa maana watu wa dunia hii wana ujanja zaidi wanapojishughulisha na mambo ya dunia kuliko watu wa nuru. (aiōn g165)
Eu vă spun: faceți-vă prieteni prin intermediul bogățiilor nedrepte, pentru ca, atunci când veți eșua, ei să vă primească în corturile veșnice. (aiōnios g166)
Nawaambia, tumieni mali ya kidunia kujipatia marafiki, ili itakapokwisha, mkaribishwe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
În Hades, și-a ridicat ochii, fiind în chinuri, și a văzut departe pe Avraam și pe Lazăr la sânul lui. (Hadēs g86)
Kule kuzimu alipokuwa akiteseka, alitazama juu, akamwona Abrahamu kwa mbali, naye Lazaro alikuwa karibu yake. (Hadēs g86)
Un domnitor L-a întrebat: “Învățătorule, ce să fac ca să moștenesc viața veșnică?” (aiōnios g166)
Mtawala mmoja akamuuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
care să nu primească de multe ori mai mult în acest timp și în lumea viitoare viața veșnică.” (aiōn g165, aiōnios g166)
ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Isus le-a zis: “Copiii veacului acestuia se căsătoresc și sunt dați în căsătorie. (aiōn g165)
Yesu akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
Dar cei care sunt considerați vrednici să ajungă la vârsta aceea și la învierea din morți nu se căsătoresc și nici nu sunt dați în căsătorie. (aiōn g165)
Lakini wale ambao wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
pentru ca oricine crede în el să nu piară, ci să aibă viață veșnică. (aiōnios g166)
Ili kila mtu amwaminiye awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Fiindcă atât de mult a iubit Dumnezeu lumea, încât a dat pe singurul Său Fiu născut, pentru ca oricine crede în El să nu piară, ci să aibă viață veșnică. (aiōnios g166)
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Cine crede în Fiul are viață veșnică, dar cine nu ascultă de Fiul nu va vedea viața, ci mânia lui Dumnezeu rămâne asupra lui.” (aiōnios g166)
Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele, lakini yeye asiyemwamini Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake.” (aiōnios g166)
dar oricine va bea din apa pe care i-o voi da Eu, nu va mai înseta niciodată, ci apa pe care i-o voi da Eu va deveni în el un izvor de apă care izvorăște pentru viața veșnică.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Lakini yeyote anywaye maji nitakayompa hataona kiu kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika uzima wa milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Cel care seceră primește plata și culege roade pentru viața veșnică, pentru ca atât cel care seamănă, cât și cel care seceră să se bucure împreună. (aiōnios g166)
Mvunaji tayari anapokea mshahara wake, naye anakusanya mazao kwa ajili ya uzima wa milele. Ili yeye apandaye na yeye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios g166)
“Adevărat vă spun că cine ascultă cuvântul Meu și crede pe Cel ce M-a trimis pe Mine are viață veșnică și nu vine la judecată, ci a trecut din moarte la viață. (aiōnios g166)
“Amin, amin nawaambia, yeyote anayesikia maneno yangu na kumwamini yeye aliyenituma, anao uzima wa milele, naye hatahukumiwa, bali amepita kutoka mautini, na kuingia uzimani. (aiōnios g166)
Voi cercetați Scripturile, pentru că credeți că în ele aveți viața veșnică; și acestea sunt cele ce mărturisesc despre Mine. (aiōnios g166)
Ninyi mnachunguza Maandiko mkidhani ya kuwa ndani yake mna uzima wa milele, maandiko haya ndiyo yanayonishuhudia Mimi. (aiōnios g166)
Nu lucrați pentru hrana care piere, ci pentru hrana care rămâne pentru viața veșnică, pe care v-o va da Fiul Omului. Căci Dumnezeu Tatăl l-a pecetluit.” (aiōnios g166)
Msishughulikie chakula kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba amemtia muhuri.” (aiōnios g166)
Aceasta este voia Celui care m-a trimis: ca oricine vede pe Fiul și crede în El să aibă viața veșnică; și Eu îl voi învia în ziua de apoi.” (aiōnios g166)
Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni kwamba kila mmoja amtazamaye, Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele, nami nitawafufua siku ya mwisho.” (aiōnios g166)
Adevărat, vă spun, cel ce crede în Mine are viața veșnică. (aiōnios g166)
Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios g166)
Eu sunt pâinea vie care s-a coborât din cer. Dacă cineva mănâncă din pâinea aceasta, va trăi în veci. Da, pâinea pe care o voi da pentru viața lumii este carnea mea.” (aiōn g165)
Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu yeyote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn g165)
Cine mănâncă carnea Mea și bea sângele Meu are viață veșnică și Eu îl voi învia în ziua de apoi. (aiōnios g166)
Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
Aceasta este pâinea care s-a coborât din cer — nu cum au mâncat părinții noștri mana și au murit. Cel care mănâncă această pâine va trăi în veci.” (aiōn g165)
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn g165)
Simon Petru I-a răspuns: “Doamne, la cine să mergem? Tu ai cuvintele vieții veșnice. (aiōnios g166)
Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tuondoke twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
O roabă nu locuiește în casă pentru totdeauna. Un fiu rămâne pentru totdeauna. (aiōn g165)
Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima. (aiōn g165)
Mai mult ca sigur, vă spun că, dacă o persoană respectă cuvântul meu, nu va vedea niciodată moartea.” (aiōn g165)
Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu hataona mauti milele.” (aiōn g165)
Atunci iudeii i-au zis: “Acum știm că ai un demon. Avraam a murit, ca și profeții, iar tu spui: “Dacă un om păzește cuvântul Meu, nu va gusta niciodată moartea”. (aiōn g165)
Ndipo Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kwamba una pepo mchafu. Ikiwa Abrahamu alikufa na vivyo hivyo manabii, nawe unasema ‘Mtu akitii neno langu hatakufa milele.’ (aiōn g165)
De la începutul lumii nu s-a auzit niciodată ca cineva să fi deschis ochii unui orb din naștere. (aiōn g165)
Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu. (aiōn g165)
Eu le dau viața veșnică. Ele nu vor pieri niciodată și nimeni nu le va smulge din mâna mea. (aiōn g165, aiōnios g166)
nami ninawapa uzima wa milele, hawataangamia kamwe wala hakuna mtu atakayewapokonya kutoka mikono yangu. (aiōn g165, aiōnios g166)
Oricine trăiește și crede în Mine nu va muri niciodată. Crezi tu asta?” (aiōn g165)
na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?” (aiōn g165)
Cine își iubește viața o va pierde. Cel care își urăște viața în lumea aceasta o va păstra pentru viața veșnică. (aiōnios g166)
Mtu yeyote anayependa maisha yake atayapoteza, naye ayachukiaye maisha yake katika ulimwengu huu atayaokoa hata kwa uzima wa milele. (aiōnios g166)
Și mulțimea i-a răspuns: “Am auzit din Lege că Hristosul rămâne pentru totdeauna. Cum spuneți voi: 'Fiul Omului trebuie să fie înălțat'? Cine este acest Fiu al Omului?” (aiōn g165)
Ule umati wa watu ukapiga kelele ukasema, “Tumesikia kutoka Sheria kwamba ‘Kristo adumu milele,’ wewe wawezaje kusema, ‘Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu’? Huyu ‘Mwana wa Adamu’ ni nani?” (aiōn g165)
Știu că porunca Lui este viața veșnică. Așadar, lucrurile pe care le spun, așa cum mi-a spus Tatăl, așa vorbesc și eu.” (aiōnios g166)
Nami ninajua amri zake huongoza hadi kwenye uzima wa milele. Hivyo lolote nisemalo, ndilo lile Baba aliloniambia niseme.” (aiōnios g166)
Petru i-a zis: “Nu-mi vei spăla niciodată picioarele!” Isus i-a răspuns: “Dacă nu te spăl, nu ai parte cu Mine”. (aiōn g165)
Petro akamwambia, “La, wewe hutaninawisha miguu kamwe.” Yesu akamjibu, “Kama nisipokunawisha, wewe huna sehemu nami.” (aiōn g165)
Eu mă voi ruga Tatălui și el vă va da un alt Sfetnic, ca să fie cu voi în veci: (aiōn g165)
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. (aiōn g165)
așa cum i-ai dat autoritate peste toată făptura, așa va da viață veșnică tuturor celor pe care i-ai dat-o. (aiōnios g166)
Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. (aiōnios g166)
Aceasta este viața veșnică: să te cunoască pe tine, singurul Dumnezeu adevărat, și pe cel pe care l-ai trimis, Isus Hristos. (aiōnios g166)
Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios g166)
pentru că nu vei lăsa sufletul meu în Locuința morților, nici nu vei permite ca Sfântul tău să vadă putreziciunea. (Hadēs g86)
Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu. (Hadēs g86)
el, prevăzând acest lucru, a vorbit despre învierea lui Hristos, că sufletul lui nu a rămas în Hades și că trupul lui nu a văzut putrezirea. (Hadēs g86)
Daudi, akiona mambo yaliyoko mbele, akanena juu ya kufufuka kwa Kristo, kwamba hakuachwa kaburini, wala mwili wake haukuona uharibifu. (Hadēs g86)
pe care cerul trebuie să-L primească până la vremurile de refacere a tuturor lucrurilor, pe care Dumnezeu le-a spus demult prin gura sfinților Săi prooroci. (aiōn g165)
Ilimpasa mbingu zimpokee mpaka wakati wa kufanywa upya kila kitu, kama Mungu alivyoahidi zamani kupitia kwa vinywa vya manabii wake watakatifu. (aiōn g165)
Pavel și Barnaba au luat cuvântul cu îndrăzneală și au zis: “Trebuia să vă fie vestit mai întâi cuvântul lui Dumnezeu. Întrucât, într-adevăr, îl respingeți de la voi înșivă și vă judecați nevrednici de viața veșnică, iată că ne întoarcem la neamuri. (aiōnios g166)
Ndipo Paulo na Barnaba wakawajibu kwa ujasiri, wakisema, “Ilitupasa kunena nanyi neno la Mungu kwanza. Lakini kwa kuwa mmelikataa, mkajihukumu wenyewe kuwa hamstahili uzima wa milele, sasa tunawageukia watu wa Mataifa. (aiōnios g166)
Neamurile, auzind acestea, s-au bucurat și au slăvit cuvântul lui Dumnezeu. Toți cei care erau rânduiți pentru viața veșnică au crezut. (aiōnios g166)
Watu wa Mataifa waliposikia haya wakafurahi na kulitukuza neno la Bwana; nao wote waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. (aiōnios g166)
“Toate lucrările lui Dumnezeu sunt cunoscute de El din veșnicie. (aiōn g165)
ambayo yamejulikana tangu zamani. (aiōn g165)
Căci lucrurile invizibile ale Lui, de la crearea lumii, se văd în mod clar, fiind percepute prin lucrurile care sunt făcute, adică puterea Lui veșnică și divinitatea Lui, pentru ca ei să fie fără scuză. (aïdios g126)
Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru. (aïdios g126)
care au schimbat adevărul lui Dumnezeu cu minciuna și s-au închinat și au slujit mai degrabă creaturii decât Creatorului, care este binecuvântat în veci. Amin. (aiōn g165)
Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen. (aiōn g165)
celor care, prin perseverența în binele făcut, caută gloria, onoarea și incoruptibilitatea, viața veșnică; (aiōnios g166)
Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios g166)
pentru ca, după cum păcatul a domnit în moarte, tot așa harul să domnească prin dreptate pentru viața veșnică, prin Isus Hristos, Domnul nostru. (aiōnios g166)
ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)
Dar acum, fiind eliberați de păcat și deveniți robi ai lui Dumnezeu, aveți rodul sfințirii și rezultatul vieții veșnice. (aiōnios g166)
Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele. (aiōnios g166)
Căci plata păcatului este moartea, dar darul gratuit al lui Dumnezeu este viața veșnică în Hristos Isus, Domnul nostru. (aiōnios g166)
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios g166)
din care sunt părinții și din care provine Cristos în ceea ce privește trupul, care este peste toate, Dumnezeu, binecuvântat în veci. Amin. (aiōn g165)
Wao ni wa uzao wa mababa wakuu wa kwanza, ambao kutoka kwao Kristo alikuja kwa jinsi ya mwili kama mwanadamu, yeye ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote, mwenye kuhimidiwa milele! Amen. (aiōn g165)
sau: “Cine se va coborî în abis?” (adică să-l coboare pe Cristos); sau: “Cine se va coborî în abis?”. (adică să-l aducă pe Hristos din morți).” (Abyssos g12)
“au ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’” (yaani ili kumleta Kristo kutoka kwa wafu.) (Abyssos g12)
Căci Dumnezeu i-a legat pe toți de neascultare, ca să aibă milă de toți. (eleēsē g1653)
Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote. (eleēsē g1653)
Căci din El, prin El și pentru El sunt toate lucrurile. A lui să fie gloria în veci! Amin. (aiōn g165)
Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake. Utukufu ni wake milele! Amen. (aiōn g165)
Nu vă potriviți cu lumea aceasta, ci transformați-vă prin înnoirea minții voastre, ca să puteți dovedi care este voia lui Dumnezeu, bună, plăcută și desăvârșită. (aiōn g165)
Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. (aiōn g165)
Și acum, Celui ce poate să vă întărească, după Buna Vestire a mea și după propovăduirea lui Isus Hristos, după descoperirea tainei, care a fost ținută ascunsă în veacuri îndelungate, (aiōnios g166)
Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios g166)
dar care acum s-a descoperit și, prin Scripturile profeților, după porunca Dumnezeului veșnic, a fost făcută cunoscută tuturor neamurilor, pentru ascultarea credinței, (aiōnios g166)
Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios g166)
pentru singurul și înțeleptul Dumnezeu, prin Isus Hristos, căruia I se cuvine slava în veci! Amin. (aiōn g165)
Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn g165)
Unde este înțeleptul? Unde este scribul? Unde este cel care discută în acest veac? Oare nu a făcut Dumnezeu nebună înțelepciunea acestei lumi? (aiōn g165)
Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu? (aiōn g165)
Noi însă vorbim cu înțelepciune printre cei maturi, dar nu cu înțelepciunea lumii acesteia și nici cu cea a conducătorilor lumii acesteia, care sunt pe cale de dispariție. (aiōn g165)
Lakini miongoni mwa watu waliokomaa twanena hekima, wala si hekima ya ulimwengu huu au ya watawala wa dunia hii wanaobatilika. (aiōn g165)
Ci noi vorbim înțelepciunea lui Dumnezeu în taină, înțelepciunea care a fost ascunsă, pe care Dumnezeu a rânduit-o mai dinainte de lumi, pentru gloria noastră, (aiōn g165)
Sisi tunanena hekima ya Mungu ambayo ni siri, tena iliyofichika, ambayo Mungu aliikusudia kabla ya ulimwengu kuwepo, kwa ajili ya utukufu wetu. (aiōn g165)
și pe care nu a cunoscut-o niciunul dintre conducătorii acestei lumi. Căci, dacă ar fi știut-o, nu L-ar fi răstignit pe Domnul slavei. (aiōn g165)
Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn g165)
Nimeni să nu se înșele pe sine însuși. Dacă cineva crede că este înțelept între voi în lumea aceasta, să se facă nebun, ca să devină înțelept. (aiōn g165)
Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. (aiōn g165)
De aceea, dacă mâncarea îl face pe fratele meu să se poticnească, nu voi mai mânca carne în veci, ca să nu-l fac pe fratele meu să se poticnească. (aiōn g165)
Kwa hiyo, kama kile ninachokula kitamfanya ndugu yangu aanguke katika dhambi, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya ndugu yangu aanguke. (aiōn g165)
Toate aceste lucruri li s-au întâmplat lor ca exemplu și au fost scrise pentru învățătura noastră, asupra cărora au venit sfârșiturile veacurilor. (aiōn g165)
Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia. (aiōn g165)
“Moarte, unde este înțepătura ta? Hades, unde este victoria ta?” (Hadēs g86)
“Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako? Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?” (Hadēs g86)
în care dumnezeul acestei lumi a orbit mințile celor necredincioși, pentru ca lumina Bunei Vestiri a slavei lui Cristos, care este chipul lui Dumnezeu, să nu răsară asupra lor. (aiōn g165)
Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn g165)
Căci necazul nostru ușor, care este de moment, ne lucrează din ce în ce mai mult o greutate veșnică de glorie, (aiōnios g166)
Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios g166)
în timp ce noi nu ne uităm la lucrurile care se văd, ci la cele care nu se văd. Căci lucrurile care se văd sunt vremelnice, dar lucrurile care nu se văd sunt veșnice. (aiōnios g166)
kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios g166)
Căci știm că, dacă se va desființa cortul nostru pământesc, avem o clădire de la Dumnezeu, o casă nefăcută de mână, veșnică, în ceruri. (aiōnios g166)
Kwa maana twajua kama hema yetu ya dunia tunayoishi ikiharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu, nyumba iliyo ya milele kule mbinguni, isiyojengwa kwa mikono ya wanadamu. (aiōnios g166)
După cum este scris, “S-a împrăștiat în străinătate. El a dat săracilor. Neprihănirea Lui rămâne pentru totdeauna.” (aiōn g165)
Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.” (aiōn g165)
Dumnezeul și Tatăl Domnului Isus Hristos, cel binecuvântat în veci de veci, știe că nu mint. (aiōn g165)
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. (aiōn g165)
care S-a dat pe Sine însuși pentru păcatele noastre, ca să ne izbăvească din veacul acesta rău, după voia Dumnezeului și Tatălui nostru, (aiōn g165)
aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn g165)
căruia I se cuvine slava în vecii vecilor. Amin. (aiōn g165)
Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Căci cine seamănă pentru carnea sa, din carne va secera corupție. Dar cel care seamănă pentru Duhul va secera din Duhul viața veșnică. (aiōnios g166)
Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. (aiōnios g166)
cu mult mai presus de orice stăpânire, autoritate, putere, domnie și orice nume care se numește, nu numai în acest veac, ci și în cel ce va să vină. (aiōn g165)
juu sana kuliko falme zote na mamlaka, enzi na milki, na juu ya kila jina litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali katika ule ujao pia. (aiōn g165)
în care umblați odinioară, după cursul acestei lumi, după prințul puterii aerului, duhul care lucrează acum în copiii neascultătorilor. (aiōn g165)
ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii. (aiōn g165)
pentru ca în veacurile viitoare să arate bogăția nespus de mare a harului Său în bunătatea Sa față de noi în Hristos Isus; (aiōn g165)
ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
și să fac pe toți oamenii să vadă care este administrarea misterului care de veacuri a fost ascuns în Dumnezeu, care a creat toate lucrurile prin Isus Hristos, (aiōn g165)
na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote. (aiōn g165)
conform scopului veșnic pe care l-a împlinit în Hristos Isus, Domnul nostru. (aiōn g165)
sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
Lui să fie slava în adunare și în Hristos Isus, în toate generațiile, în vecii vecilor. Amin. (aiōn g165)
yeye atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Căci lupta noastră nu este împotriva cărnii și a sângelui, ci împotriva principatelor, împotriva puterilor, împotriva stăpânitorilor lumii, a întunericului acestui veac și împotriva forțelor spirituale ale răutății din locurile cerești. (aiōn g165)
Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. (aiōn g165)
Acum, a Dumnezeului și Tatălui nostru să fie gloria în vecii vecilor! Amin. (aiōn g165)
Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
taina care a fost ascunsă de veacuri și de generații. Dar acum a fost descoperit sfinților Săi, (aiōn g165)
Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn g165)
care va plăti pedeapsa: distrugerea veșnică de la fața Domnului și de la gloria puterii sale, (aiōnios g166)
Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios g166)
Iar Domnul nostru Iisus Hristos însuși și Dumnezeu Tatăl nostru, care ne-a iubit și ne-a dat prin har mângâierea veșnică și buna nădejde, (aiōnios g166)
Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios g166)
Totuși, din această cauză am obținut îndurare, pentru ca, în mine mai întâi, Isus Hristos să-și arate toată răbdarea ca exemplu pentru cei care urmau să creadă în el pentru viața veșnică. (aiōnios g166)
Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
Acum, Regelui veșnic, nemuritor și invizibil, lui Dumnezeu, care este singurul înțelept, să fie cinstea și gloria în vecii vecilor. Amin. (aiōn g165)
Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Luptă lupta cea bună a credinței. Apucă-te de viața veșnică la care ai fost chemat și ai mărturisit buna mărturisire în fața multor martori. (aiōnios g166)
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios g166)
El singur are nemurirea, care locuiește într-o lumină de neatins, pe care nimeni nu l-a văzut și nici nu poate să-l vadă, căruia i se cuvine cinstea și puterea veșnică. Amin. (aiōnios g166)
yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios g166)
Îndemnați-i pe cei ce sunt bogați în veacul acesta să nu se îngâmfe și să nu-și pună nădejdea în bogăția nesigură, ci în Dumnezeul cel viu, care ne dăruiește din belșug toate cele de care ne putem bucura; (aiōn g165)
Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn g165)
care ne-a salvat și ne-a chemat cu o chemare sfântă, nu după faptele noastre, ci după propriul său scop și har, care ne-a fost dat în Isus Hristos înainte de veșnicie, (aiōnios g166)
ambaye alituokoa na kutuita katika mwito mtakatifu: si kwa kadiri ya matendo yetu mema bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na neema yake. Neema hii tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele. (aiōnios g166)
De aceea îndur toate lucrurile de dragul celor aleși, pentru ca și ei să dobândească mântuirea care este în Cristos Isus cu glorie veșnică. (aiōnios g166)
Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios g166)
căci Demas m-a părăsit, iubind lumea de acum, și s-a dus la Tesalonic, Crescens în Galatia și Tit în Dalmația. (aiōn g165)
kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia. (aiōn g165)
Și Domnul mă va izbăvi de orice lucrare rea și mă va păstra pentru Împărăția Sa cerească. A lui să fie gloria în vecii vecilor. Amin. (aiōn g165)
Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
în speranța vieții veșnice, pe care Dumnezeu, care nu poate minți, a făgăduit-o înainte de începutul veacurilor, (aiōnios g166)
imani na ujuzi ulioko katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyesema uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, (aiōnios g166)
instruindu-ne pentru ca, lepădându-ne de impietate și de poftele lumești, să trăim sobru, drept și evlavios în veacul acesta; (aiōn g165)
Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn g165)
pentru ca, fiind îndreptățiți prin harul său, să fim făcuți moștenitori, potrivit cu speranța vieții veșnice. (aiōnios g166)
ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele. (aiōnios g166)
De aceea, poate că a fost despărțit de voi pentru o vreme, pentru ca voi să-l aveți pentru totdeauna, (aiōnios g166)
Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios g166)
la sfârșitul acestor zile, ne-a vorbit prin Fiul Său, pe care L-a pus moștenitor al tuturor lucrurilor și prin care a făcut și lumile. (aiōn g165)
lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu. (aiōn g165)
Dar despre Fiul spune, “Tronul Tău, Dumnezeule, este în vecii vecilor. Sceptrul dreptății este sceptrul Împărăției Tale. (aiōn g165)
Lakini kwa habari za Mwana asema, “Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitadumu milele na milele, nayo haki itakuwa fimbo ya utawala ya ufalme wako. (aiōn g165)
După cum spune și în alt loc, “Ești preot pentru totdeauna, după ordinul lui Melchisedec.” (aiōn g165)
Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Fiind desăvârșit, el a devenit pentru toți cei care îl ascultă autorul mântuirii veșnice, (aiōnios g166)
na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii. (aiōnios g166)
a învățăturii despre botezuri, despre punerea mâinilor, despre învierea morților și despre judecata veșnică. (aiōnios g166)
mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios g166)
și au gustat cuvântul bun al lui Dumnezeu și puterile veacului viitor, (aiōn g165)
ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao, (aiōn g165)
unde, ca un precursor, Isus a intrat pentru noi, devenind Mare Preot pentru totdeauna, după rânduiala lui Melchisedec. (aiōn g165)
mahali ambapo Yesu mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki. (aiōn g165)
căci este mărturisit, “Ești preot pentru totdeauna, conform ordinului lui Melchisedec.” (aiōn g165)
Kwa maana imeshuhudiwa kwamba: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
(căci, într-adevăr, au fost făcuți preoți fără jurământ), ci el cu jurământ, prin cel care spune despre el, “Domnul a jurat și nu se va răzgândi, 'Ești preot pentru totdeauna, conform ordinului lui Melchisedec.”” (aiōn g165)
lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Bwana ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” (aiōn g165)
Dar el, pentru că trăiește veșnic, are o preoție neschimbată. (aiōn g165)
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. (aiōn g165)
Căci legea numește ca mari preoți pe oameni care au slăbiciuni, dar cuvântul jurământului, care a venit după lege, numește pentru totdeauna un Fiu care a fost desăvârșit. (aiōn g165)
Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn g165)
și nici prin sângele țapilor și vițeilor, ci prin propriul sânge, a intrat o dată pentru totdeauna în Locul Sfânt, obținând răscumpărarea veșnică. (aiōnios g166)
Hakuingia kwa njia ya damu ya mbuzi na ya ndama; lakini aliingia Patakatifu pa Patakatifu mara moja tu kwa damu yake mwenyewe, akiisha kupata ukombozi wa milele. (aiōnios g166)
cu cât mai mult sângele lui Cristos, care, prin Duhul etern, s-a oferit pe sine însuși fără cusur lui Dumnezeu, va curăța conștiința voastră de fapte moarte pentru a sluji Dumnezeului viu? (aiōnios g166)
Basi ni zaidi aje damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na waa, itatusafisha dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai! (aiōnios g166)
De aceea, el este mijlocitorul unui nou legământ, întrucât a avut loc o moarte pentru răscumpărarea fărădelegilor care au fost sub primul legământ, pentru ca cei care au fost chemați să primească promisiunea moștenirii veșnice. (aiōnios g166)
Kwa sababu hii Kristo ni mpatanishi wa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze kupokea ile ahadi ya urithi wa milele: kwa vile yeye alikufa awe ukombozi wao kutoka kwa dhambi walizozitenda chini ya agano la kwanza. (aiōnios g166)
altfel trebuie să fi suferit adeseori de la întemeierea lumii. Dar acum, o singură dată, la sfârșitul veacurilor, el s-a arătat pentru a înlătura păcatul prin jertfa lui însuși. (aiōn g165)
Ingekuwa hivyo, ingempasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini sasa ametokea mara moja tu katika mwisho wa nyakati aiondoe dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu. (aiōn g165)
Prin credință înțelegem că universul a fost alcătuit prin Cuvântul lui Dumnezeu, astfel încât ceea ce se vede nu a fost făcut din lucruri vizibile. (aiōn g165)
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana. (aiōn g165)
Isus Hristos este același ieri, astăzi și în veci. (aiōn g165)
Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele. (aiōn g165)
Și Dumnezeul păcii, care a înviat din morți pe marele păstor al oilor cu sângele unui legământ veșnic, pe Domnul nostru Isus, (aiōnios g166)
Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, (aiōnios g166)
să vă facă desăvârșiți în orice lucrare bună, ca să faceți voia Lui, lucrând în voi ceea ce este plăcut înaintea Lui, prin Isus Hristos, căruia I se cuvine slava în vecii vecilor. Amin. (aiōn g165)
awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Și limba este un foc. Lumea nelegiuirii dintre mădularele noastre este limba, care spurcă tot trupul și dă foc cursului firii, și este incendiată de Gheenă. (Geenna g1067)
Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa uovu kati ya viungo vya mwili. Ulimi huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha moto mfumo mzima wa maisha yake, nao wenyewe huchomwa moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
fiind născuți din nou, nu din sămânță coruptibilă, ci din incoruptibilă, prin cuvântul lui Dumnezeu, care trăiește și rămâne în veci. (aiōn g165)
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn g165)
dar cuvântul Domnului este veșnic.” Acesta este cuvântul de Buna Vestire care v-a fost propovăduit. (aiōn g165)
lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn g165)
Dacă cineva vorbește, să fie ca și cum ar fi chiar cuvintele lui Dumnezeu. Dacă cineva slujește, să fie ca din puterea pe care o dă Dumnezeu, pentru ca în toate lucrurile să fie glorificat Dumnezeu prin Isus Hristos, căruia îi aparțin gloria și stăpânirea în vecii vecilor. Amin. (aiōn g165)
Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Dar fie ca Dumnezeul oricărui har, care v-a chemat la gloria Sa eternă prin Hristos Isus, după ce ați suferit puțin, să vă desăvârșească, să vă întărească, să vă întărească și să vă așeze. (aiōnios g166)
Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios g166)
A lui să fie gloria și puterea în vecii vecilor. Amin. (aiōn g165)
Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Căci astfel veți avea din belșug intrarea în Împărăția veșnică a Domnului și Mântuitorului nostru, Isus Hristos. (aiōnios g166)
na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios g166)
Căci, dacă Dumnezeu nu a cruțat pe îngeri când au păcătuit, ci i-a aruncat în Tartar și i-a trimis în gropile întunericului, ca să fie rezervați pentru judecată; (Tartaroō g5020)
Kwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu; (Tartaroō g5020)
Ci creșteți în harul și în cunoașterea Domnului și Mântuitorului nostru Isus Hristos. A lui să fie gloria acum și în veci. Amin. (aiōn g165)
Bali kueni katika neema na katika kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na milele! Amen. (aiōn g165)
(și viața a fost descoperită, și noi am văzut, și mărturisim și vă vestim viața, viața veșnică, care era la Tatăl și care ne-a fost descoperită); (aiōnios g166)
Uzima huo ulidhihirishwa; nasi tumeuona na kuushuhudia, nasi twawatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa pamoja na Baba, nao ukadhihirishwa kwetu. (aiōnios g166)
Lumea trece cu poftele ei, dar cel care face voia lui Dumnezeu rămâne pentru totdeauna. (aiōn g165)
Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele. (aiōn g165)
Aceasta este făgăduința pe care ne-a promis-o: viața veșnică. (aiōnios g166)
Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele. (aiōnios g166)
Oricine își urăște fratele este un ucigaș, și știți că niciun ucigaș nu are viață veșnică rămasă în el. (aiōnios g166)
Yeyote amchukiaye ndugu yake ni muuaji, nanyi mwajua ya kwamba muuaji hana uzima wa milele ndani yake. (aiōnios g166)
Mărturia este aceasta: Dumnezeu ne-a dat viața veșnică, iar această viață este în Fiul său. (aiōnios g166)
Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. (aiōnios g166)
Am scris aceste lucruri pentru voi, care credeți în Numele Fiului lui Dumnezeu, ca să știți că aveți viața veșnică și să credeți în continuare în Numele Fiului lui Dumnezeu. (aiōnios g166)
Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. (aiōnios g166)
Știm că Fiul lui Dumnezeu a venit și ne-a dat pricepere, ca să cunoaștem pe cel adevărat; și noi suntem în cel adevărat, în Fiul său Isus Hristos. Acesta este adevăratul Dumnezeu și viața veșnică. (aiōnios g166)
Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios g166)
pentru adevărul care rămâne în noi și care va fi cu noi în veci: (aiōn g165)
kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn g165)
Pe îngerii care nu și-au păstrat primul domeniu, ci și-au părăsit propria locuință, i-a ținut în legături veșnice, sub întuneric, pentru judecata din ziua cea mare. (aïdios g126)
Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios g126)
La fel ca Sodoma și Gomora și orașele din jurul lor, care, la fel ca acestea, s-au dedat la imoralitate sexuală și au umblat după trupuri străine, sunt arătate ca exemplu, suferind pedeapsa focului veșnic. (aiōnios g166)
Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios g166)
valuri sălbatice ale mării, care își scot spuma rușinii lor; stele rătăcitoare, cărora le-a fost rezervată pentru totdeauna negura întunericului. (aiōn g165)
Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn g165)
Păstrați-vă în dragostea lui Dumnezeu, așteptând îndurarea Domnului nostru Isus Hristos pentru viața veșnică. (aiōnios g166)
Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios g166)
lui Dumnezeu, Mântuitorul nostru, singurul înțelept, fie slava și maiestatea, stăpânirea și puterea, acum și pururea și în vecii vecilor. Amin. (aiōn g165)
kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn g165)
și ne-a făcut să fim un regat, preoți ai Dumnezeului și Tatălui său — lui să fie gloria și stăpânirea în vecii vecilor. Amin. (aiōn g165)
akatufanya sisi kuwa ufalme na makuhani, tumtumikie Mungu wake ambaye ni Baba yake. Utukufu na uwezo ni vyake milele na milele! Amen. (aiōn g165)
și Cel viu. Am fost mort și iată că sunt viu în vecii vecilor. Amin. Eu am cheile Morții și ale Hadesului. (aiōn g165, Hadēs g86)
Mimi ni Yeye Aliye Hai, niliyekuwa nimekufa, na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
Când făpturile vii vor da slavă, cinste și mulțumire Celui ce șade pe tron, Celui ce trăiește în vecii vecilor, (aiōn g165)
Kila mara viumbe hao wanne wenye uhai wanapomtukuza, kumheshimu na kumshukuru yeye aketiye kwenye kile kiti cha enzi, tena aishiye milele na milele, (aiōn g165)
cei douăzeci și patru de bătrâni se vor arunca înaintea Celui ce șade pe tron și se vor închina Celui ce trăiește în vecii vecilor și își vor arunca coroanele înaintea tronului, zicând: (aiōn g165)
wale wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake aketiye kwenye kiti cha enzi na kumwabudu yeye aliye hai milele na milele. Huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi, wakisema: (aiōn g165)
Și am auzit toate făpturile care sunt în ceruri, pe pământ, sub pământ, pe mare și tot ce este în ele, zicând: “Binecuvântarea, cinstea, slava și stăpânirea să fie pentru Cel ce șade pe scaunul de domnie și pentru Miel, în vecii vecilor! Amin!” (aiōn g165)
Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn g165)
Și iată un cal palid, iar numele celui care ședea pe el era Moartea. Hades îl urma cu el. I s-a dat autoritate asupra unui sfert din pământ, ca să ucidă cu sabia, cu foametea, cu moartea și cu animalele sălbatice de pe pământ. (Hadēs g86)
Nikatazama, na hapo mbele yangu alikuwepo farasi mwenye rangi ya kijivujivu! Yeye aliyempanda aliitwa Mauti, naye Kuzimu alikuwa akimfuata nyuma yake kwa karibu. Wakapewa mamlaka juu ya robo ya dunia, kuua kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs g86)
zicând: “Amin! Binecuvântare, glorie, înțelepciune, mulțumire, onoare, putere și tărie să fie pentru Dumnezeul nostru în vecii vecilor! Amin.” (aiōn g165)
wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn g165)
Îngerul al cincilea a sunat din glas și am văzut din cer o stea care a căzut pe pământ. Cheia de la groapa abisului i-a fost dată. (Abyssos g12)
Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos g12)
El a deschis groapa abisului și din groapă a ieșit fum ca fumul unui cuptor aprins. Soarele și aerul s-au întunecat din cauza fumului care ieșea din groapă. (Abyssos g12)
Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos g12)
Ei au peste ei ca rege pe îngerul abisului. Numele lui în ebraică este “Abaddon”, dar în greacă are numele “Apollyon”. (Abyssos g12)
Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos g12)
și a jurat pe Cel ce trăiește în vecii vecilor, care a creat cerul și lucrurile care sunt în el, pământul și lucrurile care sunt în el, marea și lucrurile care sunt în ea, că nu va mai fi nici o întârziere, (aiōn g165)
Naye akaapa kwa Yule aishiye milele na milele, aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote viijazavyo, pamoja na bahari na vyote vilivyomo ndani yake, akasema, “Hakuna kungoja tena! (aiōn g165)
După ce-și vor fi isprăvit mărturia lor, fiara care se va ridica din prăpastie va face război cu ei, îi va birui și-i va ucide. (Abyssos g12)
Basi watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika lile Shimo atapigana nao vita, atawashinda na kuwaua. (Abyssos g12)
Îngerul al șaptelea a sunat și au urmat glasuri mari în ceruri, care ziceau: “Împărăția lumii a devenit Împărăția Domnului nostru și a Hristosului Său. El va domni în vecii vecilor!” (aiōn g165)
Yule malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake, pakawa na sauti kubwa mbinguni iliyosema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala milele na milele.” (aiōn g165)
Și am văzut un înger care zbura din mijlocul cerului și care avea o veste veșnică, pe care trebuia să o vestească celor ce locuiesc pe pământ, oricărui neam, seminție, limbă și popor. (aiōnios g166)
Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios g166)
Fumul chinului lor se va ridica în vecii vecilor. Nu au odihnă zi și noapte, cei care se închină fiarei și chipului ei și oricine primește semnul numelui ei. (aiōn g165)
Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn g165)
Una din cele patru făpturi vii a dat celor șapte îngeri șapte cupe de aur pline cu mânia lui Dumnezeu, care trăiește în vecii vecilor. (aiōn g165)
Ndipo mmoja wa wale viumbe wanne wenye uhai akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, yeye aishiye milele na milele. (aiōn g165)
Fiara pe care ai văzut-o a fost și nu mai este; și este pe cale să iasă din abis și să meargă la pieire. Cei care locuiesc pe pământ și ale căror nume nu au fost scrise în cartea vieții de la întemeierea lumii se vor minuna când vor vedea că fiara a fost și nu este, și va fi prezentă. (Abyssos g12)
Huyo mnyama ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizo yake. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo wakati fulani, na sasa hayupo, lakini atakuwepo. (Abyssos g12)
Al doilea a zis: “Aleluia! Fumul ei se ridică în vecii vecilor”. (aiōn g165)
Wakasema tena kwa nguvu: “Haleluya! Moshi wake huyo kahaba unapanda juu milele na milele.” (aiōn g165)
Fiara a fost prinsă și, împreună cu ea, falsul profet care făcea semnele pe care le făcea în fața lui, prin care îi înșela pe cei care primiseră semnul fiarei și pe cei care se închinau chipului ei. Aceștia doi au fost aruncați de vii în lacul de foc care arde cu sulf. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Lakini yule mnyama akakamatwa pamoja na huyo nabii wa uongo ambaye alikuwa amefanya ishara kwa niaba ya huyo mnyama, ambaye kwa ishara hizi aliwadanganya wale waliopokea chapa ya huyo mnyama na kuiabudu sanamu yake. Hawa wawili wakatupwa wakiwa hai ndani ya ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Am văzut un înger coborând din cer, având în mână cheia prăpastiei și un lanț mare. (Abyssos g12)
Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos g12)
l-a aruncat în abis, l-a închis și l-a pecetluit peste el, ca să nu mai înșele neamurile până la sfârșitul celor o mie de ani. După aceasta, el trebuie să fie eliberat pentru o scurtă perioadă de timp. (Abyssos g12)
Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi. (Abyssos g12)
Diavolul care i-a înșelat a fost aruncat în iazul de foc și de sulf, unde sunt și fiara și falsul profet. Ei vor fi chinuiți zi și noapte în vecii vecilor. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Marea a dat pe față morții care se aflau în ea. Moartea și Hadesul au renunțat la morții care erau în ele. Au fost judecați, fiecare după faptele sale. (Hadēs g86)
Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. (Hadēs g86)
Moartea și Hadesul au fost aruncate în lacul de foc. Aceasta este a doua moarte, lacul de foc. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Dacă cineva nu era găsit scris în cartea vieții, era aruncat în lacul de foc. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Dar pentru cei lași, necredincioși, păcătoși, abominabili, ucigași, imorali, vrăjitori, închinători la idoli și toți mincinoșii, partea lor este în lacul care arde cu foc și sulf, care este moartea a doua.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Lakini waoga, wasioamini, wachafu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, pamoja na waongo wote, mahali pao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Nu va mai fi noapte și nu vor avea nevoie de lumina lămpii sau de lumina soarelui, pentru că Domnul Dumnezeu îi va lumina. Ei vor domni în vecii vecilor. (aiōn g165)
Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn g165)
Questioned verse translations do not contain Aionian Glossary words, but may wrongly imply eternal or Hell
Aceștia sunt fântâni fără apă, nori împinși de furtună, cărora li s-a rezervat pentru totdeauna întunericul întunericului. (questioned)

RFB > Aionian Verses: 200, Questioned: 1
SCO > Aionian Verses: 264