< Iov 16 >
1 Atunci Iov a răspuns și a zis:
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 Am auzit multe astfel de lucruri, mângâietori răi sunteți voi toți.
“Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
3 Vor avea cuvintele zadarnice un sfârșit? Sau ce te încurajează de răspunzi?
Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
4 Aș putea vorbi de asemenea precum faceți voi, dacă sufletul vostru ar fi în locul sufletului meu, aș putea îngrămădi cuvinte împotriva voastră și mi-aș clătina capul spre voi.
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
5 Dar v-aș întări cu gura mea și mișcarea buzelor mele ar retrage mâhnirea voastră.
Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
6 Deși vorbesc, mâhnirea mea nu se retrage, iar dacă mă feresc cu ce sunt ușurat?
Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
7 Dar acum el m-a obosit, tu ai pustiit pe toți ai mei.
Lakini sasa, Mungu,
8 Și m-ai umplut cu riduri, ceea ce este o mărturie împotriva mea; și slăbiciunea, ridicându-se în mine, aduce mărturie feței mele.
wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
9 Mă sfâșie în furia sa, cel ce mă urăște; scrâșnește din dinții săi asupra mea; dușmanul meu își ascute ochii asupra mea.
Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
10 Au stat cu gurile căscate asupra mea; m-au lovit ocărâtor peste obraz; s-au adunat împotriva mea.
Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
11 Dumnezeu m-a dat celor neevlavioși și m-a dat în mâinile celor stricați.
Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
12 Eram în tihnă, dar el m-a frânt în bucăți; de asemenea m-a luat de gât și m-a rupt în bucăți și m-a făcut ținta lui.
Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
13 Arcașii lui mă încercuiesc, îmi despică rărunchii în bucăți și nu cruță; îmi varsă fierea pe pământ.
Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
14 Mă frânge cu spărtură peste spărtură, aleargă peste mine ca un uriaș.
yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
15 Mi-am cusut haină de sac peste pielea mea și mi-am întinat cornul în țărână.
nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
16 Fața mea este murdărită de plânset și pe pleoapele mele este umbra morții;
Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
17 Deși nu este pentru vreo nedreptate în mâinile mele; de asemenea rugăciunea mea este pură.
ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 Pământule, nu-mi acoperi sângele; și să nu își găsească loc strigătul meu.
Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
19 De asemenea acum, iată, martorul meu este în cer și mărturia mea este în înalt.
Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
20 Prietenii mei mă batjocoresc, dar ochiul meu varsă lacrimi spre Dumnezeu.
Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
21 O, de ar pleda cineva pentru un om cu Dumnezeu, precum pledează un om pentru aproapele său!
Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
22 Încă puțini ani să vină, atunci voi merge pe calea de pe care nu mă voi întoarce.
Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.