< Salmos 73 >

1 Um Salmo por Asaph. Com certeza, Deus é bom para Israel, para aqueles que são puros de coração.
Zaburi ya Asafu. Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale ambao mioyo yao ni safi.
2 Mas, quanto a mim, meus pés quase desapareceram. Meus passos quase haviam escorregado.
Bali kwangu mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kuteleza; nilikuwa karibu mguu wangu kuachia uliposimama.
3 Pois eu tinha inveja da arrogância, quando eu vi a prosperidade dos ímpios.
Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujivuna nilipoona kufanikiwa kwa waovu.
4 Pois não há lutas em sua morte, mas sua força é firme.
Wao hawana taabu, miili yao ina afya na nguvu.
5 Eles estão livres dos fardos dos homens, nem eles são atormentados como os outros homens.
Hawapati shida zinazowataabisha watu wengine, wala hawapati mapigo kama wanadamu wengine.
6 Portanto, o orgulho é como uma corrente ao redor de seu pescoço. A violência os cobre como uma peça de vestuário.
Kwa hiyo kiburi ni mkufu wao, wamejivika jeuri.
7 Seus olhos incham de gordura. Suas mentes passam os limites da vaidade.
Uovu hutoka katika mioyo yao iliyokufa ganzi, majivuno maovu kutoka mioyoni mwao hauna kikomo.
8 Eles zombam e falam com malícia. Em arrogância, eles ameaçam a opressão.
Hudhihaki na kusema kwa ukorofi, katika majivuno yao wanatishia kutesa.
9 Eles puseram sua boca nos céus. A língua deles caminha através da terra.
Vinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu, nazo ndimi zao humiliki duniani.
10 Portanto, seu povo volta para eles, e eles bebem águas em abundância.
Kwa hiyo watu wao huwageukia na kunywa maji tele.
11 Eles dizem: “Como Deus sabe? Existe conhecimento no Altíssimo”?
Wanasema, “Mungu awezaje kujua? Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”
12 Eis que estes são os ímpios. Estando sempre à vontade, elas aumentam em riqueza.
Hivi ndivyo walivyo waovu: siku zote hawajali, wanaongezeka katika utajiri.
13 Com certeza limpei meu coração em vão, e lavei minhas mãos na inocência,
Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure, ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na hatia.
14 Durante todo o dia tenho sido atormentado, e punidos todas as manhãs.
Mchana kutwa nimetaabika, nimeadhibiwa kila asubuhi.
15 Se eu tivesse dito: “Falarei assim”, eis que eu teria traído a geração de seus filhos.
Kama ningesema, “Nitasema hivi,” ningelikuwa nimewasaliti watoto wako.
16 When Eu tentei entender isto, foi muito doloroso para mim...
Nilipojaribu kuelewa haya yote, yalikuwa magumu kwangu kuelewa.
17 até que eu entrei no santuário de Deus, e consideraram seu último fim.
Mpaka nilipoingia patakatifu pa Mungu, ndipo nilipotambua mwisho wao.
18 Com certeza você os coloca em lugares escorregadios. Você os joga para a destruição.
Hakika unawaweka mahali pa utelezi, unawaangusha chini kwa uharibifu.
19 Como eles são destruídos de repente! Eles são completamente arrasados por terrores.
Tazama jinsi wanavyoangamizwa ghafula, wanatoweshwa kabisa na vitisho!
20 As um sonho quando se acorda, Assim, Senhor, quando você despertar, desprezará as fantasias deles.
Kama ndoto mtu aamkapo, hivyo wakati uinukapo, Ee Bwana, utawatowesha kama ndoto.
21 Pois minha alma estava de luto. Eu estava amargurado no meu coração.
Wakati moyo wangu ulipohuzunishwa, na roho yangu ilipotiwa uchungu,
22 Eu era tão insensata e ignorante. Eu era uma besta bruta antes de você.
nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa mnyama mkatili mbele yako.
23 Nevertheless, eu estou continuamente com você. Você segurou minha mão direita.
Hata hivyo niko pamoja nawe siku zote, umenishika mkono wangu wa kuume.
24 Você me orientará com seu conselho, e depois me receber para a glória.
Unaniongoza kwa shauri lako, hatimaye utaniingiza katika utukufu.
25 Quem eu tenho no céu? Não há ninguém na Terra que eu deseje além de vocês.
Nani niliye naye mbinguni ila wewe? Dunia haina chochote ninachokitamani ila wewe.
26 Minha carne e meu coração falham, mas Deus é a força do meu coração e minha porção para sempre.
Mwili na moyo wangu vyaweza kushindwa, bali Mungu ni nguvu ya moyo wangu na fungu langu milele.
27 Pois, eis que aqueles que estão longe de vós perecerão. Você destruiu todos aqueles que lhe são infiéis.
Wale walio mbali nawe wataangamia, unawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.
28 Mas é bom para mim chegar perto de Deus. Eu fiz do Senhor Yahweh meu refúgio, que eu possa contar sobre todos os seus trabalhos.
Lakini kwangu mimi, ni vyema kuwa karibu na Mungu. Nimemfanya Bwana Mwenyezi kimbilio langu; nami nitayasimulia matendo yako yote.

< Salmos 73 >