< Salmos 45 >

1 Para o músico chefe. Ajustado para “Os Lírios”. Uma contemplação dos filhos de Corá. Uma canção de casamento. Meu coração transborda com um tema nobre. Eu recito meus versos para o rei. Minha língua é como a caneta de um escritor habilidoso.
Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
2 Você é o mais excelente dos filhos dos homens. A graça ungiu seus lábios, portanto, Deus o abençoou para sempre.
Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
3 Strap sua espada na coxa, ó poderoso, em seu esplendor e em sua majestade.
Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
4 Em sua majestosa cavalgada vitoriosa, em nome da verdade, humildade e retidão. Deixe que sua mão direita exiba fatos fantásticos.
Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
5 Suas setas são afiadas. As nações caem debaixo de você, com flechas no coração dos inimigos do rei.
Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
6 Seu trono, Deus, é para todo o sempre. Um cetro de equidade é o cetro de seu reino.
Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
7 Você amou a retidão, e odiou a maldade. Portanto, Deus, vosso Deus, vos ungiu com o óleo da alegria acima de vossos semelhantes.
Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
8 All suas roupas cheiram a mirra, aloés e cássia. Fora dos palácios de marfim, os instrumentos de corda o deixaram feliz. As filhas do
Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
9 Kings estão entre suas honoráveis mulheres. À sua direita, a rainha está em ouro de Ophir.
Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
10 Listen, filha, considere, e vire seu ouvido. Esqueça seu próprio povo, e também a casa de seu pai.
Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
11 Assim, o rei desejará sua beleza, honrá-lo, pois ele é seu senhor.
Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
12 A filha de Tyre vem com um presente. Os ricos entre o povo suplicam seu favor.
Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
13 A princesa lá dentro é toda gloriosa. Suas roupas estão entrelaçadas com ouro.
Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
14 She será levado ao rei em trabalhos bordados. As virgens, suas companheiras que a seguem, serão trazidas até você.
Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
15 Com alegria e regozijo, eles serão conduzidos. Eles devem entrar no palácio do rei.
Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
16 Seus filhos tomarão o lugar de seus pais. Você fará deles príncipes em toda a terra.
Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
17 Vou fazer com que seu nome seja lembrado em todas as gerações. Portanto, os povos lhe agradecerão para todo o sempre.
Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.

< Salmos 45 >