< Salmos 29 >
1 Um salmo de David. Atribuam a Yahweh, filhos dos poderosos, atribuem a Yahweh glória e força.
Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
2 Atribuir a Yahweh a glória devido a seu nome. Adorar Yahweh em santa disposição.
Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
3 A voz de Yahweh está sobre as águas. O Deus da glória troveja, até mesmo Yahweh em muitas águas.
Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
4 A voz de Yahweh é poderosa. A voz de Yahweh está cheia de majestade.
Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
5 A voz de Yahweh quebra os cedros. Sim, Yahweh quebra em pedaços os cedros do Líbano.
Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
6 Ele também os faz pular como um bezerro; Líbano e Sirion como um boi jovem e selvagem.
Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
7 A voz de Yahweh bate com flashes de relâmpagos.
Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
8 A voz de Yahweh abala o sertão. Yahweh abala o deserto de Kadesh.
Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
9 A voz de Yahweh faz o veado parir, e despoja as florestas. Em seu templo tudo diz: “Glória!”
Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
10 Yahweh sentou-se entronizado no Dilúvio. Sim, Yahweh senta-se como Rei para sempre.
Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
11 Yahweh dará força ao seu povo. Yahweh abençoará seu povo com paz.
Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.