< Salmos 2 >

1 Por que as nações se enfurecem, e os povos conspiram uma coisa vã?
Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
2 Os reis da terra tomam uma posição, e os governantes se aconselham juntos, contra Yahweh, e contra seu Ungido, dizendo,
Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
3 “Vamos romper os laços deles, e lançam suas cordas de nós”.
“Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
4 Aquele que se senta nos céus vai rir. O Senhor os terá em desdém.
Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
5 Então ele falará com eles em sua raiva, e aterrorizá-los em sua ira:
Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
6 “No entanto, coloquei meu Rei na minha colina sagrada de Sião”.
“Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 Vou falar sobre o decreto: Yahweh me disse: “Você é meu filho”. Hoje eu me tornei seu pai.
Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
8 Peça-me, e eu darei as nações por sua herança, as partes mais remotas da terra para sua posse.
Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
9 Você deve quebrá-los com uma barra de ferro. Você os despedaçará como um vaso de oleiro”.
Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
10 Agora, portanto, sejam prudentes, seus reis. Sejam instruídos, vocês juízes da Terra.
Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
11 Servir Yahweh com medo, e se regozijam com tremor.
Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
12 Preste uma sincera homenagem ao Filho, para que ele não se zangue, e pereça no caminho, por sua ira em breve será acesa. Abençoados sejam todos aqueles que se refugiam nele.
Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.

< Salmos 2 >