< Salmos 108 >

1 Uma Canção. Um Salmo de David. Meu coração está firme, Deus. Cantarei e farei música com minha alma.
Wimbo. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
2 Wake para cima, harpa e lira! Vou acordar o amanhecer.
Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
3 Eu lhe darei graças, Javé, entre as nações. Cantarei louvores a vocês entre os povos.
Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.
4 Pois sua amorosa gentileza é grande acima dos céus. Sua fidelidade chega até os céus.
Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu; uaminifu wako unazifikia anga.
5 Seja exaltado, Deus, acima dos céus! Que sua glória esteja sobre toda a terra.
Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, utukufu wako na uenee duniani kote.
6 Para que sua amada possa ser entregue, economize com sua mão direita e nos responda.
Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
7 God falou a partir de seu santuário: “Em triunfo”, Vou dividir Shechem, e medir o vale de Succoth.
Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
8 Gilead é meu. Manasseh é meu. Ephraim também é meu capacete. Judah é meu ceptro.
Gileadi ni yangu, Manase ni yangu, Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
9 Moab é o meu pote de lavagem. Vou jogar minha sandália na Edom. Vou gritar sobre a Filístia”.
Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
10 Who vai me trazer para a cidade fortificada? Quem me levará à Edom?
Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
11 Haven você não nos rejeitou, Deus? Você não sai, Deus, com nossos exércitos.
Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
12 Give nós ajudamos contra o inimigo, pois a ajuda do homem é vaidosa.
Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
13 Through Deus, nós faremos valentemente, pois é ele quem vai pisar em nossos inimigos.
Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.

< Salmos 108 >