< Salmos 1 >

1 Abençoado é o homem que não anda no conselho dos ímpios, nem se colocar no caminho dos pecadores, nem sentar no banco dos escarnecedores;
Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
2 mas seu encanto está na lei de Yahweh. Sobre sua lei, ele medita dia e noite.
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
3 Ele será como uma árvore plantada junto aos riachos de água, que produz seus frutos em sua estação, cuja folha também não murcha. O que quer que ele faça, prosperará.
Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
4 Os ímpios não são assim, mas são como o palhiço que o vento afasta.
Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Portanto, os ímpios não devem permanecer no julgamento, nem os pecadores na congregação dos justos.
Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Pois Yahweh conhece o caminho dos justos, mas o caminho dos ímpios perecerá.
Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.

< Salmos 1 >