< Naum 1 >
1 Uma revelação sobre Nineveh. O livro da visão de Nahum, o Elkoshite.
Maono kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono ya Nahumu, Mwelkoshi.
2 Yahweh é um Deus ciumento e vingador. Yahweh vinga e está cheio de ira. Yahweh vinga-se de seus adversários e mantém a ira contra seus inimigos.
Yehova ni Mungu mwenye wivu na analipa kisasi; Yehova hulipa kisasi na amejaa ghadhabu; Yohova analipiza kisasi kwa adui zake, na huiendeleza hasira yake kwa adui zake.
3 Yahweh é lento na ira, e grande no poder, e de forma alguma deixará o culpado impune. Yahweh tem seu caminho no redemoinho e na tempestade, e as nuvens são a poeira de seus pés.
Yehova ni mwenye nguvu nyingi na mpole wa hasira; hatakuwa na namna ya kuacha kuwahesabia hatia adui zake. Yehova hufanya njia yake kwenye upepo wa kisulisuli na dhoruba, na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.
4 Ele repreende o mar e o faz secar, e seca todos os rios. Bashan e Carmel enfraquecem. A flor do Líbano enfraquece.
Huikemea bahari na kuifanya ikauke; hukausha mito yote. Bashani ni dhaifu, na Karmeli pia; maua ya Lebanoni ni dhaifu.
5 As montanhas tremem diante dele, e as colinas se derretem. A terra treme com sua presença, sim, o mundo, e todos os que nele habitam.
Milima hutetema kwenye uwepo wake, na vilima huyeyuka; dunia huanguka mbele zake, kabisa, dunia na watu wote wanaoishi ndani yake.
6 Quem pode ficar diante de sua indignação? Quem pode suportar a ferocidade de sua ira? Sua ira se derrama como fogo, e as rochas são despedaçadas por ele.
Ni nani anaweza kusimama mbele ya ghadhabu yake? Nani anaweza kuzuia ukali wa hasira yake? Ghadhabu yake imemwagwa kama moto, na miamba ameibomoa mbalimbali.
7 Yahweh é bom, um refúgio no dia dos problemas; e ele conhece aqueles que se refugiam nele.
Yehova ni mwema, boma katika siku ya taabu; na yeye ni mwaminifu kwa wale wanaomkimbilia.
8 Mas com uma inundação transbordante, ele fará um fim completo do seu lugar, e perseguirá seus inimigos na escuridão.
Lakini atafanya mwisho wa adui zake kwa mafuriko ya kutisha; atawawinda kwenye giza.
9 O que você conspira contra Yahweh? Ele acabará com tudo. A aflição não se levantará na segunda vez.
Watu wanapanga nini dhidi ya Yehova? Yeye atakomesha; taabu haitainuka mara ya pili.
10 Por estarem enredados como espinhos, e embriagados como com sua bebida, são consumidos totalmente como restolho seco.
Maana watakuwa wamevurugika kama michongoma; wataloweshwa katika kinywaji chao mwenyewe; wataharibiwa kabisa kwa moto kama mashina ya mabua.
11 Um de vocês que inventa o mal contra Yahweh, que aconselha a maldade, já saiu.
Mtu mmoja aliinuka miongoni mwenu, Ninawi, aliyepanga ubaya dhidi ya Yehova, mtu ambaye aliimarisha uovu.
12 Yahweh diz: “Embora eles estejam em plena força e também muitos, mesmo assim serão cortados e falecerão. Embora eu os tenha afligido, não os afligirei mais”.
Hivi ndivyo anavyosema Yehova, “Hata kama wananguvu zao timilifu na idadi timilifu, hata hivyo watanyolewa, watu wao hawatakuwepo tena. Bali wewe, Yuda: Ingawa nimekutesa, sitakutesa tena.
13 Agora vou quebrar seu jugo de vocês, e romperei seus laços”.
Sasa nitaivunja ile nira ya watu kutoka kwako; nitaikata minyororo yako.
14 Yahweh comandou a seu respeito: “Nenhum descendente levará mais o seu nome”. Fora da casa de seus deuses, eu cortarei a imagem gravada e a imagem derretida. Eu farei sua sepultura, pois você é vil”.
Yehova ametoa amri juu yako, Ninawi: “Hakutakuwa na kizazi tena chenye kubeba jina lako. Nitazizuia sanamu zilizochongwa na kuziondoa sanamu za chuma kutoka kwenye nyumba za miungu yenu. Nitachimba makaburi yenu, kwa kudharauliwa kwenu.”
15 Behold, sobre as montanhas os pés daquele que traz boas notícias, que publica a paz! Guarde seus banquetes, Judah! Realize seus votos, pois o maligno não passará mais por você. Ele está totalmente isolado.
Tazama, juu ya milima kuna miguu ya mtu aletaye habari njema, anayetangaza amani! Sherehekeeni sikukuu zenu, Yuda, na tunzeni nadhiri zenu, kwa maana mwovu hatawavamia tena; ameondolewa kabisa.