< Mateus 21 >
1 Quando chegaram perto de Jerusalém e vieram a Betfagé, ao Monte das Oliveiras, então Jesus enviou dois discípulos,
Yesu na wanafunzi wake wakafika karibu na Jerusalemu na wakaenda mpaka Bethfage, katika mlima mizeituni, kisha Yesu akawatuma wanafunzi wawili,
2 dizendo-lhes: “Ide à aldeia que vos é oposta, e imediatamente encontrareis um jumento amarrado, e um jumentinho com ela. Desamarre-os e traga-os até mim”.
akiwaambia, “Nendeni katika kijiji kinachofuata, na mara moja mtamkuta punda amefungwa pale, na mwanapunda pamoja naye. wafungueni na kuwaleta kwangu.
3 Se alguém lhe disser alguma coisa, você dirá: “O Senhor precisa deles”, e imediatamente os enviará”.
Ikiwa mtu yeyote akiwaambia chochote kuhusu hilo, mtasema, `Bwana anawahitaji, ` na mtu huyo mara moja atawaruhusu mje pamoja nao”
4 Tudo isso foi feito para que pudesse ser cumprido o que foi dito através do profeta, dizendo,
Jambo hili lilitokea ni lile lililosemwa kupitia kwa nabii lazima litimizwe. Akawaambia,
5 “Diga à filha de Zion, eis que seu Rei vem até você, humilde, e montado em um burro, em um potro, o potro de um burro”.
Waambie binti Sayuni, tazama, mfalme wako anakuja kwenu, mnyenyekevu na akiwa amempanda punda, na mwana punda mme, mwana punda mchanga.
6 Os discípulos foram e fizeram exatamente como Jesus lhes ordenou,
Kisha wanafunzi waliondoka na kufanya kama Yesu alivyowaagiza.
7 e trouxeram o burro e o jumentinho e colocaram suas roupas sobre eles; e ele se sentou sobre eles.
Wakamleta punda na mwanapunda, na kuweka nguo zao juu yao, naye Yesu akakaa pale.
8 Uma multidão muito grande espalhou suas roupas na estrada. Outros cortaram galhos das árvores e os espalharam na estrada.
Wengi katika mkusanyiko walitandaza nguo zao njiani, na wengine walikata matawi kutoka kwenye miti na kutandaza barabarani.
9 A multidão que ia na frente dele, e os que o seguiam, não paravam de gritar: “Hosana ao filho de David! Abençoado seja aquele que vem em nome do Senhor! Hosana no mais alto”!
Umati uliomtangulia Yesu na wale waliomfuata walipaza sauti, wakisema,”Hosana kwa mwana wa Daudi! Ni mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana. Hosana juu zaidi!”
10 Quando ele chegou a Jerusalém, toda a cidade estava agitada, dizendo: “Quem é este?”.
Yesu alipofika Yerusalemu, mji mzima ulishtuka na kusema, “Huyu ni nani?
11 As multidões disseram: “Este é o profeta, Jesus, de Nazaré da Galiléia”.
“Umati ulijibu, “Huyu ni Yesu Nabii, kutoka Nazareti ya Galilaya.”
12 Jesus entrou no templo de Deus e expulsou todos aqueles que venderam e compraram no templo, e derrubou as mesas dos cambistas e os assentos dos que venderam as pombas.
Kisha Yesu akaingia katika hekalu la Mungu. akawafukuza nje wote waliokuwa wakinunua na kuuza hekaluni. Pia alipindua meza za wabadilishaji wa fedha na viti vya wauza njiwa.
13 Ele lhes disse: “Está escrito: 'Minha casa será chamada casa de oração', mas vocês fizeram dela um antro de ladrões”.
Akawaambia, “Imeandikwa, `'Nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi, `lakini ninyi mmeifanya pango la wanyang`anyi.”
14 O coxo e o cego vieram até ele no templo, e ele os curou.
kisha vipofu na vilema wakamjia hekaluni, naye akawaponya.
15 Mas quando os chefes dos sacerdotes e os escribas viram as coisas maravilhosas que ele fez, e as crianças que estavam chorando no templo e dizendo: “Hosana ao filho de Davi!” ficaram indignados,
Lakini wakati wakuu wa makuhani na waandishi walipoona maajabu aliyoyatenda, na waliposikia watoto wakipiga kelele hekaluni na kusema, “Hosana kwa Mwana wa Daudi,” walishikwa na hasira.
16 e disseram a ele: “Você ouve o que eles estão dizendo? Jesus lhes disse: “Sim. Você nunca leu: 'Da boca das crianças e dos bebês amamentando, você tem elogios perfeitos'”?
Wakamwambia, “Umesikia kile kinachosemwa na hawa watu?” Yesu akawaambia, “Ndiyo! Lakini hamjawahi kusoma, 'Kutoka kwa midomo ya watoto na watoto wachanga wanyonyao mna sifa kamili?''
17 Ele os deixou e saiu da cidade para Bethany, e acampou lá.
Kisha Yesu akawaacha na kwenda nje ya mji katika Bethania na kulala huko.
18 Agora de manhã, ao voltar para a cidade, ele estava com fome.
Asubuhi alipokuwa anarudi mjini, alikuwa na njaa.
19 Ao ver uma figueira à beira da estrada, ele chegou até ela e não encontrou nada além de folhas. Ele lhe disse: “Que não haja fruto de você para sempre”. Imediatamente a figueira murchou. (aiōn )
Aliona mtini kandokando ya barabara. Akauendea, lakini hakupata kitu juu yake isipokuwa majani. Aliuambia, “Kusiwe na matunda kwako daima tena.” Na mara hiyo mtini ule ukanyauka. (aiōn )
20 Quando os discípulos a viram, ficaram maravilhados, dizendo: “Como a figueira murchou imediatamente”?
Wanafunzi walipoona, wakastaajabu na kusema, “Imekuwaje mtini umenyauka mara moja?”
21 Jesus lhes respondeu: “Certamente lhes digo, se tiverem fé e não duvidarem, não só farão o que foi feito com a figueira, mas mesmo que dissessem a esta montanha: 'Sejam pegos e lançados ao mar', isso seria feito.
Yesu akajibu na kuwaambia, “Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani na bila wasiwasi, hamtafanya kile kilichofanyika kwa huo mtini tu, lakini mtauambia hata huo mlima, ` uchukuliwe na ukatupwe baharini, `na itafanyika.
22 Todas as coisas, o que você pedir em oração, acreditando, você receberá”.
Chochote mtakachoomba kwa sala, huku mkiamini, mtapokea.”
23 Quando ele entrou no templo, os chefes dos sacerdotes e os anciãos do povo vieram até ele enquanto ele ensinava e disseram: “Com que autoridade você faz essas coisas? Quem lhe deu essa autoridade?”
Yesu alipofika hekaluni, wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakamjia wakati alipokuwa akifundisha na kumwuliza, “Ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Na ni nani aliyekupa mamlaka haya?”
24 Jesus lhes respondeu: “Também lhe farei uma pergunta, que se me disser, também lhe direi com que autoridade faço estas coisas.
Yesu akajibu na kuwaambia, “Nami tena nitawauliza swali moja. kama mkiniambia, nami vilevile nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
25 O batismo de João, de onde foi? Do céu ou dos homens”? Eles raciocinavam consigo mesmos, dizendo: “Se dissermos: 'Do céu', ele nos perguntará: 'Por que então não acreditaram nele?
Ubatizo wa Yohana- ulitoka wapi, mbinguni au kwa wanadamu?” Wakahojiana wenyewe, wakisema, tukisema, ulitoka mbinguni, `atatuambia, kwa nini hamkumwamini? `
26 Mas se dissermos: 'Dos homens', tememos a multidão, pois todos têm João como profeta”.
Lakini tukisema, `ulitoka kwa wanadamu, `tunawaogopa makutano, kwa sababu wote wanamwona Yohana kama nabii.”
27 Eles responderam a Jesus, e disseram: “Não sabemos”. Ele também lhes disse: “Nem eu lhes direi com que autoridade faço estas coisas”.
Kisha wakamjibu Yesu na kusema, “Hatujui” Akawaambia pia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani nafanya mambo haya.
28 Mas o que você acha? Um homem tinha dois filhos, e veio ao primeiro, e disse: “Filho, vai trabalhar hoje na minha vinha”.
Lakini mnafikiri nini? Mtu mwenye wana wawili. Akaenda kwa moja na kumwambia, `Mwanangu, nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu
29 Ele respondeu: 'Não vou', mas depois mudou de idéia e foi.
leo. `Mwana akajibu na kusema, `sitakwenda, ' Lakini baadaye akabadilisha mawazo yake na akaenda.
30 Ele veio ao segundo, e disse a mesma coisa. Ele respondeu: 'Eu vou, senhor', mas não foi.
Na Mtu yule akaenda kwa mwana wa pili na kusema kitu kilekile. Mwana huyu akajibu na kusema, `nitakwenda, bwana', lakini hakwenda.
31 Qual dos dois fez a vontade de seu pai?”. Eles lhe disseram: “O primeiro”. Jesus lhes disse: “Certamente eu lhes digo que os cobradores de impostos e as prostitutas estão entrando no Reino de Deus diante de vocês.
Yupi kati ya wana wawili aliyefanya matakwa ya baba yake? Wakasema, “Mwana wa kwanza.” Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, wakusanya ushuru na makahaba wataingia kwenye ufalme wa Mungu kabla yenu kuingia.
32 Pois João veio até vocês no caminho da justiça, e vocês não acreditaram nele; mas os cobradores de impostos e as prostitutas acreditaram nele. Quando você o viu, nem mesmo se arrependeu depois, para que pudesse acreditar nele.
Kwa maana Yohana alikuja kwenu kwa njia iliyo nyoofu, lakini hamkumwamini, wakati wakusanya ushuru na makahaba walimwamini. Na ninyi, mlipoona hilo likitendeka, hamkuweza kutubu ili baadaye mumwamini.
33 “Ouça outra parábola. Havia um homem que era dono de uma casa que plantou uma vinha, colocou uma sebe sobre ela, cavou um lagar, construiu uma torre, arrendou-a a fazendeiros e foi para outro país.
Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu, mtu mwenye eneo kubwa la ardh. Alipanda mizabibu, akaiwekea uzio, akatengeneza na chombo cha kukamlia divai, akajenga na mnara wa walinzi, na akalikodisha kwa watunza zabibu. Kisha akaenda katika nchi nyingine.
34 Quando chegou a época da fruta, ele enviou seus servos aos fazendeiros para receber sua fruta.
Wakati wa mavuno ya mizabibu ulipokaribia, aliwatuma baadhi ya watumishi kwa wakulima wa mizabibu kuchukua mizabibu yake.
35 Os fazendeiros levaram seus servos, espancaram um, mataram outro e apedrejaram outro.
Lakini wakulima wa zabibu wakawachukua watumishi wake, wakampiga mmoja, wakamwua mwingine, na wakampiga mmoja kwa mawe.
36 Novamente, ele enviou outros servos mais do que os primeiros; e eles os trataram da mesma maneira.
Kwa mara nyingine, Mmiliki aliwatuma watumishi wengine, wengi zaidi ya wale wa kwanza, lakini wakulima wa mizabibu waliwatendea vilevile.
37 Mas depois ele enviou a eles seu filho, dizendo: “Eles respeitarão meu filho”.
Baada ya hapo bwana yule akamtuma kwao mwana wake, akisema, `'Watamheshimu mwanangu.'`
38 Mas os fazendeiros, quando viram o filho, disseram entre si: 'Este é o herdeiro'. Venha, vamos matá-lo e confiscar sua herança”.
Lakini wakulima wa mizabibu walipomwona kijana yule, wakaambizana, `'Huyu ni mrithi, Njooni, tumuue na tumiliki urithi.'
39 Então eles o pegaram e o expulsaram da vinha, depois o mataram.
`Hivyo wakamchukua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu na kumwua.
40 Quando, portanto, vier o senhor da vinha, o que ele fará àqueles agricultores”?
Je mmliki wa shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanya nini wakulima wa mizabibu?”
41 Eles lhe disseram: “Ele destruirá miseravelmente esses homens miseráveis e arrendará o vinhedo a outros agricultores que lhe darão a fruta em sua estação”.
Wakamwambia, “Atawaharibu hao watu waovu katika njia ya ukali zaidi, na kisha atalikodisha shamba la mizabibu kwa wakulima wengine wa mizabibu, watu ambao watalipa kwa ajili ya mizabibu itakapoiva.”
42 Jesus lhes disse: “Vocês nunca leram as Escrituras, “A pedra que os construtores rejeitaram foi feita a cabeça da esquina. Isto foi do Senhor. É maravilhoso aos nossos olhos”?
Yesu akawaambia, “Hamkusoma katika maandiko, 'Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la msingi. Hili lilitoka kwa Bwana, na inashangaza machoni petu?'
43 “Por isso vos digo que o Reino de Deus vos será tirado e será dado a uma nação que produz seus frutos”.
Hivyo nawaambieni, Ufalme wa Mungu utatwaliwa kutoka kwenu na kupewa taifa linalojali matunda yake.
44 Aquele que cair sobre esta pedra será quebrado em pedaços, mas sobre quem cair, ele o espalhará como pó”.
Yeyote atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjwa vipandevipande. Lakini kwa yeyote litakayemwangukia, litamsaga.”
45 Quando os sacerdotes chefes e os fariseus ouviram suas parábolas, perceberam que ele falava sobre elas.
Wakuu wa makuhani na mafarisayo waliposikia mifano yake, wakaona kuwa anawazungumzia wao.
46 Quando procuraram capturá-lo, temeram as multidões, porque o consideravam um profeta.
Lakini kila walipotaka kunyosha mikono juu yake, waliogopa makutano, kwa sababu watu walimtazama kama nabii.