< Lucas 20 >

1 Em um daqueles dias, quando ele estava ensinando o povo no templo e pregando a Boa Nova, os sacerdotes e escribas vieram até ele com os anciãos.
Ikawa siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuhubiri injili, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walimwendea pamoja na wazee.
2 Eles lhe perguntaram: “Diga-nos: com que autoridade você faz estas coisas? Ou quem lhe está dando essa autoridade?”.
Walizungumza, wakimwambia, 'Tuambie ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya? Au ni nani huyo ambaye amekupa mamlaka haya? “
3 Ele lhes respondeu: “Eu também lhe farei uma pergunta. Diga-me:
Naye akajibu, akawaambia, 'Nami pia nitawauliza swali. Niambieni
4 o batismo de João, foi do céu, ou dos homens?”
ubatizo wa Yohana. Je, ulitoka mbinguni ama kwa watu? '
5 Eles raciocinaram consigo mesmos, dizendo: “Se dissermos: 'Do céu', ele dirá: 'Por que não acreditaram nele?
Lakini wakajadiliana wao kwa wao, wakisema, 'Tukisema, `litoka mbinguni, atatuuliza, ` Basi, mbona hamkumwamini?'
6 Mas se dissermos: 'Dos homens', todo o povo nos apedrejará, pois estão convencidos de que João era um profeta”.
Na tukisema; ilitoka kwa wanadamu; watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohana alikuwa nabii. '
7 Eles responderam que não sabiam de onde era.
Basi, wakamjibu ya kwamba hawakujua ilikotoka.
8 Jesus lhes disse: “Nem eu lhes direi com que autoridade faço estas coisas”.
Yesu akawaambia, '“Wala mimi siwaambii ninyi ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.”
9 Ele começou a contar ao povo esta parábola: “Um homem plantou uma vinha e alugou-a para alguns agricultores, e foi para outro país por um longo tempo.
Aliwaambia watu mfano huu, “Mtu mmoja alipanda shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima wa mizabibu, na akaenda nchi nyingine kwa muda mrefu.
10 Na estação apropriada, ele enviou um criado aos fazendeiros para recolher sua parte do fruto do vinhedo. Mas os fazendeiros o espancaram e o mandaram embora vazio.
Kwa muda uliopangwa, alimtuma mtumishi kwa wakulima mizabibu, kwamba wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wakulima wa mzabibu wakampiga, wakamrudisha mikono- mitupu.
11 Ele mandou mais um servo, e eles também o espancaram e o trataram vergonhosamente, e o mandaram embora vazio.
Kisha akamtuma tena mtumishi mwingine na nao wakampiga, kumtendea vibaya, na wakamrudisha mikono- mitupu.
12 Ele mandou ainda um terceiro, e eles também o feriram e o expulsaram.
Alimtuma tena wa tatu na nao wakamjeruhi na kumtupa nje.
13 O senhor da vinha disse: 'O que devo fazer? Mandarei meu filho amado”. Pode ser que vendo-o, eles o respeitem”.
Hivyo bwana wa shamba akasema, 'Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpendwa. Labda watamheshimu. '
14 “Mas quando os agricultores o viram, eles raciocinaram entre si, dizendo: 'Este é o herdeiro'. Venha, vamos matá-lo, para que a herança possa ser nossa”.
Lakini wakulima wa mzabibu walipomwona, walijadili wao kwa wao wakisema, `Huyu ndiye mrithi. Tumuue, ili urithi wake uwe wetu. '
15 Depois o expulsaram do vinhedo e o mataram. O que, portanto, o senhor da vinha fará com eles?
Wakamtoa nje ya shamba la mizabibu na kumuua. Je bwana shamba atawafanya nini?
16 Ele virá e destruirá estes agricultores, e dará o vinhedo a outros”. Quando ouviram isso, disseram: “Que isso nunca seja!”.
Atakuja kuwaangamiza wakulima wa mzabibu, na atawapa shamba hilo wengine”. 'Nao waliposikia hayo, wakasema, 'Mungu amekataa'
17 Mas ele olhou para eles e disse: “Então o que é isto que está escrito? “A pedra que os construtores rejeitaram foi feita a principal pedra angular...
Lakini Yesu akawatazama, akasema, “Je andiko hili lina maana gani? 'Jiwe walilolikataa wajenzi, limekuwa jiwe la pembeni'?
18 Todos os que caírem sobre aquela pedra serão despedaçados, mas esmagará quem quer que caia no pó”.
Kila mtu aangukaye juu ya jiwe hilo, atavunjika vipande vipande. Lakini yule ambaye litamwangukia, litamponda. '
19 Os sacerdotes chefes e os escribas procuraram impor-lhe as mãos naquela mesma hora, mas temiam o povo - pois sabiam que ele tinha dito esta parábola contra eles.
Hivyo waandishi na wakuu wa makuhani walitafuta njia ya kumkamata wakati huohuo, walijua kwamba alikuwa amesema mfano huu dhidi yao. Lakini waliwaogopa watu.
20 Eles o observaram e enviaram espiões, que fingiam ser justos, para encurralá-lo em algo que ele disse, a fim de entregá-lo ao poder e autoridade do governador.
Walimuangalia kwa makini, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wapate kupata kosa kwa hotuba yake, ili kumpelekakwa watawala na wenye mamlaka.
21 Eles lhe perguntaram: “Professor, sabemos que você diz e ensina o que é certo, e não é parcial para ninguém, mas realmente ensina o caminho de Deus”.
Nao wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli na si kushawishiwa na mtu yeyote, lakini wewe hufundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu.
22 É lícito para nós pagarmos impostos a César, ou não”?
Je, ni halali kwetu kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
23 Mas ele percebeu sua astúcia, e disse-lhes: “Por que me testam?
Lakini Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
24 Mostre-me um denário. De quem é a imagem e a inscrição?” Eles responderam, “de César”.
“Nionyesheni dinari. Sura na chapa ya nani ipo juu yake?” Walisema, '“Ya Kaisari.”
25 Ele lhes disse: “Então dê a César as coisas que são de César, e a Deus as coisas que são de Deus”.
Naye akawaambia, 'Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu.'
26 Eles não foram capazes de prendê-lo em suas palavras perante o povo. Eles se maravilharam com sua resposta e ficaram em silêncio.
Waandishi na wakuu wa makuhani hawakuwa na uwezo wa kukosoa kile alichosema mbele ya watu. Wakastaajabia majibu yake na hawakusema chochote.
27 Alguns dos saduceus vieram até ele, aqueles que negam que haja uma ressurreição.
Baadhi ya Masadukayo wakamwendea, wale ambao wanasema kwamba hakuna ufufuo,
28 Eles lhe perguntaram: “Mestre, Moisés nos escreveu que se o irmão de um homem morre tendo uma esposa, e ele é sem filhos, seu irmão deveria levar a esposa e criar filhos para seu irmão.
wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba kama mtu akifiwa na ndugu mwenye mke ambaye hana mtoto basi anapaswa kumchukuna mke wa ndugu yake na kuzaa nae kwa ajili ya kaka yake.
29 Havia, portanto, sete irmãos. O primeiro tomou uma esposa, e morreu sem filhos.
Kulikuwa na ndugu saba Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto,
30 O segundo a tomou como esposa, e ele morreu sem filhos.
na wa pili pia.
31 O terceiro a tomou, e da mesma forma os sete não deixaram filhos, e morreram.
Wa tatu akamchukua vilevile, vivyo hivyo wa saba hakuacha watoto na akafa.
32 Depois disso, a mulher também morreu.
Baadaye yule mwanamke pia akafa.
33 Portanto, na ressurreição, de quem será esposa deles? Pois os sete a tiveram como esposa”.
Katika ufufuo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa. '
34 Jesus disse a eles: “As crianças desta idade se casam e são dadas em casamento. (aiōn g165)
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
35 Mas aqueles que são considerados dignos de atingir esta idade e a ressurreição dos mortos não se casam nem são dados em casamento. (aiōn g165)
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
36 Pois eles não podem mais morrer, pois são como os anjos e são filhos de Deus, sendo filhos da ressurreição.
Wala hawawezi kufa tena, kwa sababu huwa sawasawa na malaika na ni watoto wa Mungu, wana wa ufufuo.
37 Mas que os mortos são ressuscitados, até mesmo Moisés mostrou no mato, quando chamou o Senhor “O Deus de Abraão, o Deus de Isaac, e o Deus de Jacó”.
Lakini hiyo wafu wanafufuliwa, hata Musa alionyesha mahali katika habari za kichaka, pale alimwita Bwana kama Mungu wa Ibrahimu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.
38 Agora ele não é o Deus dos mortos, mas dos vivos, pois todos estão vivos para ele”.
Sasa, yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa sababu wote huishi kwake. “
39 Alguns dos escribas responderam: “Professor, você fala bem”.
Baadhi ya walimu wa Sheria wakamjibu, 'Mwalimu, umejibu vema. '
40 Eles não se atreveram a fazer mais perguntas.
Hawakuthubutu kumwuliza maswali mengine zaidi.
41 Ele lhes disse: “Por que eles dizem que o Cristo é filho de Davi?
Yesu akawaambia, “Ki vipi watu wanasema kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
42 O próprio David diz no livro de Salmos, O Senhor disse ao meu Senhor, “Sente-se à minha mão direita,
Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti mkono wa kulia,
43 até que eu faça de seus inimigos o escabelo de seus pés”''.
mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako. '
44 “David então o chama de Senhor, então como ele é seu filho”?
Daudi anamwita Kristo 'Bwana', basi atakuwaje mwana wa Daudi?”
45 Na audiência de todo o povo, ele disse a seus discípulos,
Watu wote walipokuwa wakimsikiliza akawaambia wanafunzi wake,
46 “Cuidado com os escribas que gostam de andar com longas vestes, e adoram saudações nos mercados, os melhores lugares nas sinagogas, e os melhores lugares nas festas;
'Jihadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na wapenda salamu maalum sokoni na viti vya heshima katika masinagogi, na maeneo ya heshima karamuni.
47 que devoram as casas das viúvas, e por uma pretensão fazem longas orações. Estas receberão maior condenação”.
Wao pia hula nyumba za wajane, na wanajifanya wanasali sala ndefu. Hawa watapokea hukumu kubwa zaidi. '

< Lucas 20 >