< Juízes 16 >

1 Sansão foi para Gaza, e viu lá uma prostituta, e foi até ela.
Samsoni alikwenda Gaza na akamwona kahaba huko, naye akalala pamoja naye.
2 Foi dito aos gazitas: “Sansão está aqui!”. Eles o cercaram e o esperaram a noite toda no portão da cidade, e ficaram quietos a noite toda, dizendo: “Espere até a luz da manhã; então o mataremos”.
Watu wa Gaza wakaambiwa, “Samsoni amekuja hapa.” Watu wa Gaza wakazunguka mahali hapo kwa siri, wakamngoja usiku wote katika lango la jiji. Walikaa kimya usiku wote. Wakisema, “Hebu tusubiri mpaka mchana, na kisha tumwuue.”
3 Sansão deitou-se até a meia-noite, depois levantou-se à meia-noite e pegou as portas do portão da cidade, com os dois postes, e os arrancou, bar e tudo, e os colocou sobre seus ombros e os carregou até o topo da montanha que está antes de Hebron.
Samsoni akalala kitandani mpaka usiku wa manane. Usiku wa manane akaamka na akashika mlango wa jiji na miimo yake miwili. Akavivuta kutoka nje, komeo na vyote, akaviweka kwenye mabega yake, akavichukua hadi juu ya kilima, mbele ya Hebroni.
4 Aconteceu depois que ele amava uma mulher no vale de Sorek, cujo nome era Delilah.
Baada ya hayo, Samsoni alimpenda mwanamke aliyeishi katika bonde la Soreki. Jina lake alikuwa Delila.
5 Os senhores dos filisteus se aproximaram dela e lhe disseram: “Atice-o e veja em que consiste sua grande força, e por que meios podemos prevalecer contra ele, a fim de amarrá-lo para afligi-lo; e cada um de nós lhe dará onzecentas moedas de prata”.
Wale wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakamwambia, “mdanganye Samsoni ili uone mahali zilipo nguvu zake kuu, na kwa namna gani tunaweza kumshinda, ili tumfunge na kumtesa. Fanya hili, na kila mmoja wetu atakupa vipande 1, 100 vya fedha.”
6 Delilah disse a Samson: “Por favor, diga-me onde está sua grande força e o que você pode estar destinado a lhe afligir”.
Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Tafadhali, niambie ni kwa jinsi gani wewe ni mwenye nguvu sana, na kwa namna gani mtu anaweza kukufunga, ili aweze kukudhibiti?”
7 Sansão disse a ela: “Se eles me amarrarem com sete cordas verdes que nunca foram secas, então eu ficarei fraco e serei como outro homem”.
Samsoni akamwambia, “Ikiwa watanifunga na kamba saba safi ambazo hazijakauka, nitakuwa dhaifu na kuwa kama mtu mwingine yeyote.”
8 Então os senhores dos filisteus trouxeram-lhe sete cordas verdes que não tinham sido secas, e ela o amarrou com elas.
Basi wakuu wa Wafilisti wakamletea Delila kamba saba ambazo hazijakauka, naye akamfunga Samsoni.
9 Now ela teve uma emboscada esperando na sala interna. Ela disse a ele: “Os filisteus estão em cima de você, Samson”! Ele quebrou os cordões enquanto um fio de linho é quebrado quando toca o fogo. Portanto, sua força não era conhecida.
Sasa alikuwa na watu waliojificha kwa siri, walikaa katika chumba chake cha ndani. Akamwambia, “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Lakini akazikata kamba kama uzi wakati unapogusa moto. Na hawakujifunza siri ya nguvu zake.
10 Delilah disse a Samson: “Eis que você zombou de mim, e me disse mentiras. Agora, por favor, diga-me como você pode estar vinculado”.
Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Ndivyo ulivyonidanganya mimi na kuniambia uongo. Tafadhali, niambie kwa namna gani unaweza kufungwa.”
11 Ele lhe disse: “Se eles só me amarram com cordas novas com as quais não foi feito nenhum trabalho, então eu me tornarei fraco e serei como outro homem”.
Akamwambia, “Ikiwa watanifunga na kamba mpya ambayo haijawahi kutumika kwa kazi, nitakuwa dhaifu na kama mtu mwingine yeyote.”
12 Então Delilah pegou novas cordas e o amarrou com elas, então disse a ele: “Os filisteus estão em você, Samson! A emboscada estava esperando na sala interna. Ele as quebrou de seus braços como um fio.
Basi Delila alichukua kamba mpya akamfunga pamoja naye, akamwambia, “Wafilisti wako juu yako Samsoni!” Watu waliokuwa wakisubiri walikuwa ndani ya chumba cha ndani. Lakini Samsoni akaondoa kamba kutoka mikono yake kama kilikuwa kipande cha uzi.
13 Delilah disse a Samson: “Até agora, você tem zombado de mim e me dito mentiras. Diga-me com o que você pode estar amarrado”. Ele lhe disse: “Se você tecer as sete fechaduras da minha cabeça com o tecido no tear”.
Delila akamwambia Samsoni, “Mpaka sasa umenidanganya na kuniambia uongo. Niambie kwa namna gani unaweza kufungwa.” Samsoni akamwambia, 'Ikiwa utavifuma vifungo saba vya nywele zangu na kuvifunga kwenye kitambaa, kisha kufunga kwenye msumari, nitakuwa kama mtu mwingine yeyote.”
14 She prendeu-o com o alfinete, e disse-lhe: “Os filisteus estão em você, Samson! Ele acordou de seu sono, e arrancou o pino da viga e o tecido.
Alipokuwa amelala, Dalila akavifuma vifungo saba vya nywele zake akavifunga ndani ya kitambaa na kuzifunga kwenye msumari, akamwambia, “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Aliamka kutoka usingizini akang'oa kitambaa na pini zilizokuwa zimefungwa.
15 Ela lhe disse: “Como você pode dizer: 'Eu te amo', quando seu coração não está comigo? Você zombou de mim estas três vezes, e não me disse onde está sua grande força”.
Akamwambia, “Wawezaje kusema,” Unanipenda, wakati hushiriki siri zako na mimi? Umenidhihaki mara tatu hizi na hukukuambia ni kwa jinsi gani unazo nguvu nyingi.”
16 Quando ela o pressionou diariamente com suas palavras e o exortou, sua alma ficou perturbada até a morte.
Kila siku alisisitiza kwa bidii na maneno yake, naye akamkemea sana kiasi kwamba alitamani kufa.
17 Ele disse a ela todo o seu coração e lhe disse: “Nunca nenhuma lâmina de barbear veio sobre minha cabeça; pois desde o ventre de minha mãe tenho sido um nazista para Deus. Se eu for barbeado, então minha força irá de mim e ficarei fraco, e serei como qualquer outro homem”.
Basi Samsoni alimwambia kila kitu, akamwambia, “Wembe haujawahi kukata nywele juu ya kichwa changu, kwa maana nimekuwa Mnaziri kwa Mungu kutoka tumboni mwa mama yangu. Ikiwa kichwa changu kitanyolewa, basi nguvu zangu zitaniacha, nami nitakuwa dhaifu na kuwa kama kila mtu mwingine. '
18 Quando Delilah viu que ele tinha dito a ela todo o seu coração, ela enviou e chamou os senhores dos filisteus, dizendo: “Suba esta vez, pois ele me disse todo o seu coração”. Então os senhores dos filisteus se aproximaram dela e trouxeram o dinheiro em suas mãos.
Delila alipoona kwamba amemwambia ukweli juu ya kila kitu, akawatuma na kuwaita watawala wa Wafilisti, akisema, “Njooni tena, kwa maana ameniambia kila kitu.” Ndipo wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakaleta fedha mkononi mwao.
19 Ela o fez dormir de joelhos; e chamou por um homem e raspou as sete trancas de sua cabeça; e começou a afligi-lo, e sua força passou dele.
Alimfanya alale katika magoti yake. Alimwita mtu avinyoe vifungo saba vya kichwa chake, naye akaanza kumshinda, kwa maana nguvu zake zilikuwa zimemwacha.
20 Ela disse: “Os filisteus estão sobre você, Samson”! Ele acordou do sono e disse: “Vou sair como em outros momentos, e me sacudirei livre”. Mas ele não sabia que Yahweh havia partido dele.
Alisema, “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Aliamka nje ya usingizi wake akasema, “Nitatoka nje kama nyakati nyingine na kujiweka huru.” Lakini hakujua kwamba Bwana amemwacha.
21 Os filisteus o seguraram e lhe arrancaram os olhos; e o levaram para Gaza e o amarraram com grilhões de bronze; e ele moeu no moinho da prisão.
Wafilisti walimkamata na kumng'oa macho. Wakampeleka Gaza na kumfunga kwa shaba. Alikuwa akisaga ngano katika gerezani.
22 However, os cabelos de sua cabeça começaram a crescer novamente depois que ele foi barbeado.
Lakini nywele juu ya kichwa chake zilianza kukua tena baada ya kunyolewa.
23 Os senhores dos filisteus se reuniram para oferecer um grande sacrifício a Dagon, seu deus, e para se regozijar; pois eles disseram: “Nosso deus entregou Sansão nosso inimigo em nossas mãos”.
Watawala wa Wafilisti walikusanyika ili kutoa dhabihu kubwa kwa Dagoni mungu wao, na kufurahi. Walisema, “mungu wetu amemshinda Samsoni, adui yetu, na kumtia katika ufahamu wetu.”
24 Quando o povo o viu, elogiaram seu deus; pois disseram: “Nosso deus entregou nosso inimigo e o destruidor de nosso país, que matou muitos de nós, em nossas mãos”.
Watu walipomwona, walimsifu mungu wao, kwa sababu walisema, “mungu wetu ameshinda adui yetu na kutupa sisi - mharibifu wa nchi yetu, ambaye aliwaua wengi wetu.”
25 Quando seus corações estavam alegres, eles disseram: “Chamem por Sansão, para que ele nos entretenha”. Eles chamaram Samson para fora da prisão; e ele se apresentou diante deles. Colocaram-no entre os pilares;
Walipokuwa wakisherehekea, wakasema, 'Mwite Samsoni, aje kutufurahisha.' Walimwita Samsoni nje ya jela na akawafanya wacheke. Walimsimamisha katikati ya nguzo.
26 e Sansão disse ao rapaz que o segurava pela mão: “Permitam-me sentir os pilares sobre os quais repousa a casa, para que eu possa apoiar-me neles”.
Samsoni akamwambia yule kijana ambaye alikuwa ameshika mkono wake, 'Niruhusu nishike nguzo zilizoshikilia nyumba hii, ili nipate kuegemea.”
27 Agora a casa estava cheia de homens e mulheres; e todos os senhores dos filisteus estavam lá; e havia no telhado cerca de três mil homens e mulheres, que viram enquanto Sansão se apresentava.
Sasa nyumba ilikuwa imejaa wanaume na wanawake. Watawala wote wa Wafilisti walikuwa huko. Juu ya paa kulikuwa na wanaume na wanawake elfu tatu, ambao walikuwa wakiangalia wakati Samsoni alipokuwa akiwafurahisha.
28 Sansão chamou a Javé, e disse: “Senhor Javé, lembra-te de mim, por favor, e fortalece-me, por favor, só desta vez, Deus, para que eu possa ser vingado imediatamente dos filisteus pelos meus dois olhos”.
Samsoni akamwita Bwana, akasema, “Bwana MUNGU, nipe nia! Tafadhali niimarishe mara moja tu, Mungu, ili nipate kulipiza kisasi kwa Wafilisti kwa kuchukua macho yangu mawili.
29 Sansão tomou posse dos dois pilares intermediários sobre os quais a casa descansava e se apoiava neles, um com sua mão direita e o outro com sua esquerda.
Samsoni aliweka nguzo mbili katikati ambzo zinashikilia nyumba hiyo, naye akaegemea juu yake, nguzo moja kwa mkono wake wa kuume, na mwingine kwa kushoto kwake.
30 Sansão disse: “Deixe-me morrer com os filisteus”! Ele se curvou com todas as forças; e a casa caiu sobre os senhores, e sobre todas as pessoas que nela estavam. Assim, os mortos que ele matou na sua morte foram mais do que aqueles que ele matou em sua vida.
Samsoni akasema, “Na nife pamoja na Wafilisti!” Alipanda kwa nguvu zake na jengo likaanguka juu ya watawala na juu ya watu wote waliokuwa ndani yake. Hivyo waliouawa wakati alikufa walikuwa zaidi ya wale waliouawa wakati wa maisha yake.
31 Então seus irmãos e toda a casa de seu pai desceram e o levaram, e o criaram e o enterraram entre Zorah e Eshtaol no local de sepultamento de Manoah, seu pai. Ele julgou Israel vinte anos.
Kisha ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka. Wakamchukua, wakamrudisha na kumzika kati ya Sora na Eshtaoli katika mahali pa kuzikwa Manoa, baba yake. Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka ishirini.

< Juízes 16 >