< Josué 16 >

1 O lote saiu para as crianças de José do Jordão em Jericó, nas águas de Jericó no leste, até mesmo no deserto, subindo de Jericó pelo país das colinas até Betel.
Mgawanyo wa Yosefu ulianzia Yordani ya Yeriko, mashariki mwa miji ya Yeriko na kutoka hapo ulipanda kupitia jangwani na kuingia katika nchi ya vilima ya Betheli.
2 Saiu de Betel para Luz, e passou pela fronteira dos Arquitetos para Ataroth;
Ukaendelea kutoka Betheli (ndiyo Luzu), ukavuka kuingia eneo la Waariki huko Atarothi,
3 e desceu para oeste até a fronteira do Japhletites, para a fronteira de Beth Horon, na parte inferior, e para Gezer; e terminou no mar.
ukateremkia kuelekea magharibi hadi eneo la Wayafleti ukienea hadi eneo la Beth-Horoni ya Chini hadi Gezeri, ukiishia baharini.
4 Os filhos de Joseph, Manasseh e Ephraim, tomaram sua herança.
Kwa hiyo Manase na Efraimu, wazao wa Yosefu, walipokea urithi wao.
5 This era a fronteira dos filhos de Efraim, de acordo com suas famílias. A fronteira de sua herança para o leste era Ataroth Addar, para Beth Horon, a superior.
Hili ndilo lilikuwa eneo la Efraimu, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao ulianzia Ataroth-Adari upande wa mashariki hadi Beth-Horoni ya Juu,
6 A fronteira foi para o oeste, em Michmethath, ao norte. A fronteira girou em direção ao leste para Taanath Shiloh, e passou ao longo dela ao leste de Janoah.
na kuendelea mpaka baharini. Kutoka Mikmeta upande wa kaskazini ulipinda kuelekea mashariki hadi Taanath-Shilo, ukiupita hadi Yanoa upande wa mashariki.
7 Desceu de Janoah para Ataroth, para Naarah, chegou a Jericó, e saiu no Jordão.
Kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi na Naara, ukagusa Yeriko na kutokea katika Mto Yordani.
8 De Tappuah, a fronteira seguiu para oeste até o riacho de Kanah; e terminou no mar. Esta é a herança da tribo dos filhos de Efraim de acordo com suas famílias;
Kutoka Tapua mpaka ulikwenda magharibi hadi Bonde la Kana na kuishia baharini. Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Waefraimu, ukoo kwa ukoo.
9 together com as cidades que foram separadas para os filhos de Efraim no meio da herança dos filhos de Manasseh, todas as cidades com suas aldeias.
Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.
10 Eles não expulsaram os cananeus que viviam em Gezer; mas os cananeus habitam no território de Efraim até hoje, e se tornaram servos para fazer trabalhos forçados.
Hawakuwatoa Wakanaani waishio Gezeri; mpaka leo Wakanaani wanaishi miongoni mwa watu wa Efraimu lakini wanatakiwa kufanya kazi ngumu za kulazimishwa.

< Josué 16 >