< 42 >

1 Então Job respondeu Yahweh:
Kisha Ayubu akamjibu Yahweh na kusema,
2 “Eu sei que você pode fazer todas as coisas, e que nenhum propósito seu pode ser contido.
“Ninajua kwamba unaweza kufanya mambo yote, ya kuwa hakuna kusudi lako linaweza kuzuiliwa.
3 Você perguntou: 'Quem é este que esconde conselhos sem conhecimento?'. Portanto, eu pronunciei aquilo que não entendia, coisas maravilhosas demais para mim, o que eu não sabia.
Ni nani huyo ambaye pasipo maarifa huificha mipango? Kwa kweli nilisema mambo ambayo sikuyaelewa, mambo magumu kwangu kuyafahamu, ambayo juu yake sikujua chochote.
4 Você disse: 'Escute, agora, e eu falarei'; Eu te questionarei, e você me responderá”.
Uliniambia, 'Sikiliza sasa, nami nitasema; nitakuuliza mambo, nawe utaniambia.'
5 Eu tinha ouvido falar de você pela audição do ouvido, mas agora meu olho te vê.
Nimekuwa nikikusikia kwa usikivu wa sikio langu, lakini sasa jicho langu linakuona wewe.
6 Portanto, eu me abomino, e arrepender-se na poeira e nas cinzas”.
Basi ninajidharau mwenyewe; ninatubu kwa mavumbi na majivu.”
7 Foi assim, que depois que Javé disse estas palavras a Jó, Javé disse a Elifaz, o Temanita: “Minha ira se acendeu contra você e contra seus dois amigos; pois você não falou de mim o que é certo, como meu servo Jó falou.
Ilitokea baada ya kuwa amekwisha kusema maneno hata kwa Ayubu, Yahweh alimwambia Elifazi Mtemani, “Ghadhabu yangu imewaka dhidi yako na dhidi ya marafiki zako wawili kwa kuwa hamkusema maneno ya haki juu yangu kama alivyofanya mtumishi wangu Ayubu.
8 Agora, portanto, tomai para vós sete touros e sete carneiros, e ide a meu servo Jó, e oferecei por vós mesmos um holocausto; e meu servo Jó rezará por vós, pois eu o aceitarei, para que eu não trate convosco de acordo com vossa loucura. Pois vós não falastes de mim o que é certo, como o meu servo Jó”.
Sasa basi, jitwalieni mafahari saba na mabeberu saba, kisha mmwendee mtumishi wangu Ayubu na mtoe sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yenu. Ndipo Mtumishi wangu Ayubu atawaombea ninyi, nami nitayapokea maombi yake, ili kwamba nisiwashughulikie sawasawa na upumbavu wenu. Maana hamkusema mambo ya haki juu yangu, kama alivyofanya mtumishi wangu Ayubu.”
9 Então Elifaz o Temanita e Bildad o Shuhite e Zophar o Naamathite foram e fizeram o que Yahweh lhes ordenou, e Yahweh aceitou Jó.
Basi Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi na Zofari Mnaamathi walienda na kufanya kama vile Yahweh alivyowaamuru, na Mungu alimtakabali Ayubu.
10 Yahweh restaurou a prosperidade de Jó quando ele rezou por seus amigos. Yahweh deu a Jó o dobro do que tinha antes.
Na wakati Ayubu alimpowaombea rafiki zake, Yahweh alirejeza bahati yake. Yahweh alimjalia mara mbili ya kile alichokimiliki hapo awali.
11 Então todos os seus irmãos, todas as suas irmãs, e todos aqueles que já tinham sido seus conhecidos, vieram até ele e comeram pão com ele em sua casa. Eles o confortaram e o consolaram com todo o mal que Yahweh havia trazido sobre ele. Todos também lhe deram um pedaço de dinheiro, e a todos um anel de ouro.
Ndipo ndugu zake na Ayubu, na wale jamaa zake wote walikuwa wanajuana naye hapo mwanzo, walikuja hapo kwake na kula chakula pamoja naye katika nyumba yake. Waliomboleza pamoja naye na walimfariji kwa ajili majanga yote ambayo Yahweh alikuwa ameyaleta juu yake. Kila mtu alimpa Ayubu kipande cha fedha na pete ya dhahabu.
12 Então Yahweh abençoou o último fim de Jó mais do que seu início. Ele tinha quatorze mil ovelhas, seis mil camelos, mil juizes de bois e mil burros fêmeas.
Yahweh aliubarikiwa mwisho wa maisha ya Ayubu kuliko mwanzo wake; alikuwa na kondoo kumi na nne elfu, ngamia elfu sita, jozi elfu moja, na punda jike elfu moja.
13 Ele também teve sete filhos e três filhas.
Pia alikuwa na wana saba na mabinti watatu.
14 Ele chamou o nome do primeiro, Jemimah; e o nome do segundo, Keziah; e o nome do terceiro, Keren Happuch.
Binti wa kwanza alimwita Yemima, na wa pili Kezia, na wa tatu Kerenihapuki.
15 Em toda a terra não havia mulheres tão belas como as filhas de Jó. Seu pai lhes deu uma herança entre seus irmãos.
Katika nchi yote hawakupatikana wanawake wazuri kama mabinti wa Ayubu. Baba yao aliwapa urithi miongoni mwa kaka zao.
16 Depois deste Jó viveu cem quarenta anos, e viu seus filhos, e os filhos de seus filhos, a quatro gerações.
Baada ya haya, Ayubu aliishi miaka 140; aliwaona wana wake na wana wa wanawe, hata kizazi cha nne.
17 Então Jó morreu, sendo velho e cheio de dias.
Basi Ayubu alifariki, akiwa mzee na akijawa na siku nyingi.

< 42 >