< Jó 16 >
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 “Já ouvi muitas coisas assim. Vocês são todos uns miseráveis confortadores!
“Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
3 As palavras vãs terão um fim? Ou o que o provoca que você responda?
Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
4 Eu também poderia falar como você faz. Se sua alma estivesse no lugar da minha alma, Eu poderia unir palavras contra você, e abanar minha cabeça para você,
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
5 mas eu o fortaleceria com minha boca. O consolo de meus lábios o aliviaria.
Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
6 “Embora eu fale, meu luto não diminuiu. Apesar de eu me abster, o que me alivia?
Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
7 Mas agora, Deus, você certamente me desgastou. Vocês deixaram toda a minha empresa desolada.
Lakini sasa, Mungu,
8 Você me encolheu. Isto é uma testemunha contra mim. Minha magreza se levanta contra mim. Ele testemunha na minha cara.
wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
9 Ele me rasgou em sua fúria e me perseguiu. Ele rangeu em cima de mim com seus dentes. Meu adversário aguça seus olhos sobre mim.
Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
10 Eles me falharam com sua boca. Eles me bateram na bochecha de forma reprovadora. Eles se reúnem contra mim.
Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
11 Deus me entrega aos ímpios, e me lança nas mãos dos ímpios.
Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
12 Eu estava à vontade, e ele me separou. Sim, ele me pegou pelo pescoço, e me despedaçou. Ele também me preparou para sua meta.
Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
13 Seus arqueiros me cercam. Ele divide meus rins, e não poupa. Ele derrama a minha bílis no chão.
Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
14 Ele me rompe com a brecha na brecha. Ele corre para mim como um gigante.
yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
15 Cosi saco em minha pele, e empurraram meu chifre para o pó.
nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
16 Meu rosto está vermelho de lágrimas. A escuridão profunda está sobre minhas pálpebras,
Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
17 embora não haja violência em minhas mãos, e minha oração é pura.
ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 “Terra, não cubra meu sangue. Que meu choro não tenha lugar para descansar.
Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
19 Mesmo agora, eis que minha testemunha está no céu. Aquele que garante para mim está no alto.
Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
20 Meus amigos zombam de mim. Meus olhos derramam lágrimas a Deus,
Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
21 que ele manteria o direito de um homem com Deus, de um filho do homem com seu vizinho!
Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
22 Para quando tiverem chegado alguns anos, Seguirei o caminho de não retorno.
Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.