< Jeremias 28 >

1 Nesse mesmo ano, no início do reinado de Zedequias rei de Judá, no quarto ano, no quinto mês, Hananias, filho de Azzur, o profeta, que era de Gibeon, falou comigo na casa de Javé, na presença dos sacerdotes e de todo o povo, dizendo:
Katika mwezi wa tano wa mwaka ule ule, yaani mwaka wa nne, mwanzoni mwa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, nabii Hanania mwana wa Azuri, ambaye alitoka Gibeoni, akaniambia katika nyumba ya Bwana mbele ya makuhani na watu wote:
2 “Javé dos Exércitos, o Deus de Israel, diz: 'quebrei o jugo do rei da Babilônia.
“Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.
3 Dentro de dois anos completos, trarei novamente para este lugar todos os vasos da casa de Iavé que Nabucodonosor, rei da Babilônia, tirou deste lugar e levou para a Babilônia.
Katika muda wa miaka miwili nitavirudisha mahali hapa vyombo vyote vya nyumba ya Bwana ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babeli aliviondoa kutoka hapa na kuvipeleka Babeli.
4 trarei novamente a este lugar Jeconias, filho de Jeoiaquim, rei de Judá, com todos os cativos de Judá, que foram para a Babilônia”, diz Javé; “pois quebrarei o jugo do rei da Babilônia”.
Pia nitamrudisha mahali hapa Yekonia mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, pamoja na wote waliohamishwa kutoka Yuda ambao walikwenda Babeli,’ asema Bwana, ‘kwa kuwa nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.’”
5 Então o profeta Jeremias disse ao profeta Hananias na presença dos sacerdotes, e na presença de todo o povo que estava na casa de Yahweh,
Ndipo nabii Yeremia akamjibu nabii Hanania mbele ya makuhani na watu wote waliokuwa wamesimama ndani ya nyumba ya Bwana.
6 até o profeta Jeremias disse: “Amém! Que Yahweh o faça. Que Javé faça suas palavras que você profetizou, para trazer novamente os vasos da casa de Javé, e todos aqueles que são cativos, da Babilônia para este lugar.
Akasema, “Amen! Bwana na afanye hivyo! Bwana na ayatimize maneno uliyotoa unabii kwa kuvirudisha mahali hapa kutoka Babeli vyombo vya nyumba ya Bwana pamoja na wote waliohamishwa.
7 Não obstante, escutem agora esta palavra que falo aos vossos ouvidos, e aos ouvidos de todo o povo:
Hata hivyo, nisikilize nikuambie yale nitakayoyasema masikioni mwako na masikioni mwa watu hawa wote:
8 Os profetas que foram antes de mim e antes de vós de velhos profetizados contra muitos países, e contra grandes reinos, de guerra, de mal e de pestilência.
Tangu mwanzo, manabii waliokutangulia wewe na mimi walitabiri vita, maafa na tauni dhidi ya nchi nyingi na falme kubwa.
9 Quanto ao profeta que profetiza a paz, quando a palavra do profeta acontecer, então o profeta será conhecido, que Iavé o enviou verdadeiramente”.
Lakini nabii atakayetabiri amani atatambuliwa kuwa kweli ametumwa na Bwana ikiwa unabii wake utatimia.”
10 Então Hananiah, o profeta, tirou a barra do pescoço do profeta Jeremias, e a quebrou.
Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja,
11 Hananias falou na presença de todo o povo, dizendo: “Yahweh diz: 'Mesmo assim quebrarei o jugo de Nabucodonosor, rei da Babilônia, do pescoço de todas as nações, dentro de dois anos inteiros'”. Então o profeta Jeremias seguiu seu caminho.
naye akasema mbele ya watu wote, “Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Vivi hivi ndivyo nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza mfalme wa Babeli kutoka kwenye shingo za mataifa katika muda huu wa miaka miwili.’” Alipofanya hivi, nabii Yeremia akaondoka zake.
12 Então a palavra de Javé veio a Jeremias, depois que Hananias o profeta havia quebrado a barra do pescoço do profeta Jeremias, dizendo:
Kitambo kidogo baada ya nabii Hanania kuivunja nira kutoka shingo ya nabii Yeremia, neno la Bwana likamjia Yeremia:
13 “Vá, e diga a Hananias, dizendo: 'Javé diz: 'Você quebrou as barras de madeira, mas você fez em seu lugar barras de ferro'.
“Nenda ukamwambie Hanania, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Umevunja nira ya mti, lakini badala yake utapata nira ya chuma.
14 Para Javé dos Exércitos, o Deus de Israel diz: “Coloquei um jugo de ferro no pescoço de todas estas nações, para que sirvam a Nabucodonosor, rei da Babilônia; e eles o servirão”. Eu também lhe dei os animais do campo”””.
Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Nitaweka nira ya chuma kwenye shingo za mataifa haya yote ili kufanya yamtumikie Nebukadneza mfalme wa Babeli, nao watamtumikia. Nitampa kutawala hata wanyama wa mwituni.’”
15 Então o profeta Jeremias disse a Hananiah o profeta: “Escuta, Hananiah! Yahweh não o enviou, mas você faz este povo confiar numa mentira.
Kisha nabii Yeremia akamwambia nabii Hanania, “Sikiliza Hanania! Bwana hajakutuma, lakini wewe umelishawishi taifa hili kuamini uongo.
16 Portanto, Javé diz: “Eis que eu te mandarei para longe da superfície da terra”. Este ano você morrerá, porque falou de rebelião contra Javé”.
Kwa hiyo, hili ndilo asemalo Bwana: ‘Hivi karibuni nitakuondoa kutoka juu ya uso wa dunia. Mwaka huu utakufa, kwa sababu umetangaza uasi dhidi ya Bwana.’”
17 Então Hananiah, o profeta, morreu no mesmo ano no sétimo mês.
Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, nabii Hanania akafa.

< Jeremias 28 >