< Jeremias 24 >
1 Javé me mostrou, e eis que duas cestas de figos foram colocadas diante do templo de Javé, depois que Nabucodonosor, rei da Babilônia, havia levado cativo Jeconias, filho de Jeoiaquim, rei de Judá, e os príncipes de Judá, com os artesãos e ferreiros, de Jerusalém, e os havia trazido para a Babilônia.
Bwana alinionyeshea kitu. Tazama, vikapu viwili vya tini viliwekwa mbele ya hekalu la Bwana. (Maono haya yalitokea baada ya Nebukadreza, mfalme wa Babeli, kumchukua mateka Yekonia mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, maofisa wa Yuda, mafundi na wafua vyuma kutoka Yerusalemu na kuwapeleka Babeli.)
2 Uma cesta tinha figos muito bons, como os figos que estão maduros; e a outra cesta tinha figos muito ruins, que não podiam ser comidos, eles eram tão ruins.
Kikapu kimoja cha tini kilikuwa nzuri sana, kama tini za kwanza zilizoiva, lakini kikapu kingine cha tini zilizokuwa mbaya sana zisizoweza kuliwa.
3 Então Yahweh me perguntou: “O que você vê, Jeremiah?” Eu disse: “Os figos bons são muito bons, e os maus são muito maus, tão maus que não podem ser comidos”.
Bwana akaniambia, “Unaona nini Yeremia?” Nikasema, “Tini. Tini ambazo ni nzuri sana na tini ambazo ni mbaya sana haziwezi kuliwa.”
4 A palavra de Javé veio a mim, dizendo:
Ndipo neno la Bwana likanijia, kusema,
5 “Javé, o Deus de Israel diz: 'Como estes bons figos, assim considerarei bons os cativos de Judá, que enviei deste lugar para a terra dos caldeus'.
“Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi: nitawaangalia mateka wa Yuda kwa manufaa yao, kama vile tini hizi nzuri, nilipowatoa mateka kutoka hapa mpaka nchi ya Wakaldayo.
6 Pois eu porei meus olhos neles para sempre, e os trarei novamente para esta terra”. Eu os construirei, e não os derrubarei. Vou plantá-los, e não arrancá-los.
Nitaweka macho yangu kwao wapate mema na kuwarejeshea nchi hii. Nitawajenga, wala sitawaangamiza.
7 Dar-lhes-ei um coração para me conhecerem, que eu sou Yahweh. Eles serão meu povo, e eu serei seu Deus; pois eles voltarão para mim com todo o seu coração.
Nitawapanda, wala sitawang'oa. Ndipo nitawapa moyo wa kunijua; kwa kuwa mimi ndimi Bwana. Watakuwa watu wangu na mimi nitakuwa Mungu wao, hivyo watanirudia kwa moyo wao yote.
8 “'Como os figos maus, que não podem ser comidos, eles são tão maus', certamente Yahweh diz: 'Então eu entregarei Zedequias, o rei de Judá, e seus príncipes, e os remanescentes de Jerusalém que permanecem nesta terra, e aqueles que habitam na terra do Egito.
Lakini kama vile tini mbaya ambazo ni hazifai kuliwa - asema Bwana - nitatenda hivi kwa Sedekia, mfalme wa Yuda, pamoja na viongozi wake, na pamoja na wengine wa Yerusalemu ambao wanabaki katika nchi hii au kwenda kukaa katika nchi ya Misri.
9 Eu os entregarei até mesmo para serem jogados para trás e para frente entre todos os reinos da terra para o mal, para ser uma reprovação e um provérbio, uma provocação e uma maldição, em todos os lugares onde eu os conduzirei.
Nitawafanya kuwa kitu cha kutisha, wapate maafa, mbele ya falme zote duniani, aibu na somo kwa mithali, matusi, na laana mahali pote nitakapowafukuza.
10 Enviarei a espada, a fome e a pestilência entre eles, até que sejam consumidos da terra que lhes dei e a seus pais””.
Nitatuma upanga, njaa, na tauni dhidi yao watapotelea mbali kutoka kwenye nchi niliyowapa wao na baba zao.”