< Oséias 9 >

1 Não se regozije, Israel, para regozijar-se como as nações; pois você foi infiel a seu Deus. Você adora o salário de uma prostituta em cada eira de grãos.
Usifurahie, ee Israeli; usishangilie kama mataifa mengine. Kwa kuwa hukuwa mwaminifu kwa Mungu wako; umependa ujira wa kahaba kwenye kila sakafu ya kupuria nafaka.
2 A eira e o lagar não os alimentam, e o novo vinho lhe falhará.
Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai havitalisha watu, divai mpya itawapungukia.
3 Eles não vão morar na terra de Yahweh; mas Efraim voltará ao Egito, e eles comerão alimentos impuros na Assíria.
Hawataishi katika nchi ya Bwana, Efraimu atarudi Misri na atakula chakula kilicho najisi huko Ashuru.
4 Eles não vão derramar ofertas de vinho para Yahweh, nem serão agradáveis a ele. Seus sacrifícios serão para eles como o pão das carpideiras; todos que comerem dele serão poluídos; para seu pão será para seu apetite. Ela não entrará na casa de Yahweh.
Hawatammiminia Bwana sadaka ya divai wala dhabihu zao hazitampendeza. Dhabihu kama hizo zitakuwa kwao kama mkate wa waombolezaji; nao wote wazilao watakuwa najisi. Chakula hiki kitakuwa kwa ajili yao wenyewe; kisije katika Hekalu la Bwana.
5 O que você fará no dia da assembléia solene, e no dia da festa de Yahweh?
Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa, katika siku za sikukuu za Bwana?
6 Pois, eis que quando eles fogem da destruição, O Egito irá reuni-los. Memphis vai enterrá-los. As urtigas possuirão suas coisas agradáveis de prata. Os espinhos estarão em suas tendas.
Hata ikiwa wataokoka maangamizi, Misri atawakusanya, nayo Memfisi itawazika. Hazina zao za fedha zitasongwa na michongoma, nayo miiba itafunika mahema yao.
7 Os dias da visitação chegaram. Chegaram os dias do acerto de contas. Israel considerará o profeta como sendo um tolo, e o homem que está inspirado a ser insano, por causa da abundância de seus pecados, e porque sua hostilidade é grande.
Siku za adhabu zinakuja, siku za malipo zimewadia. Israeli na afahamu hili. Kwa sababu dhambi zenu ni nyingi sana na uadui wenu ni mkubwa sana, nabii anadhaniwa ni mpumbavu, mtu aliyeongozwa na Mungu anaonekana mwendawazimu.
8 Um profeta vigia Efraim com meu Deus. A armadilha de um caçador de aves está em todos os seus caminhos, e hostilidade na casa de seu Deus.
Nabii, pamoja na Mungu wangu, ndiye mlinzi juu ya Efraimu, hata hivyo mitego inamngojea katika mapito yake yote, na uadui katika nyumba ya Mungu wake.
9 Eles se corromperam profundamente, como nos dias de Gibeah. Ele se lembrará de sua iniqüidade. Ele vai puni-los por seus pecados.
Wamezama sana katika rushwa, kama katika siku za Gibea. Mungu atakumbuka uovu wao na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.
10 Encontrei Israel como uvas no deserto. Eu vi seus pais como os primeiros maduros na figueira em sua primeira estação; mas eles vieram para Baal Peor, e se consagraram ao vergonhoso, e se tornaram abomináveis como aquilo que eles amavam.
“Nilipompata Israeli, ilikuwa kama kupata zabibu jangwani; nilipowaona baba zenu, ilikuwa kama kuona matunda ya kwanza katika mtini. Lakini walipofika Baal-Peori, walijiweka wakfu kwa ile sanamu ya aibu, nao wakawa najisi kama kitu kile walichokipenda.
11 As para Efraim, sua glória voará para longe como um pássaro. Não haverá nascimento, ninguém com filhos e nenhuma concepção.
Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege: hakuna kuzaa, hakuna kuchukua mimba, hakuna kutunga mimba.
12 Embora eles criem seus filhos, no entanto, eu os desmarcarei, para que não fique um homem. De fato, ai deles também quando eu me afasto deles!
Hata wakilea watoto, nitamuua kila mmoja. Ole wao nitakapowapiga kisogo!
13 Eu vi o Ephraim, como o Tyre, plantado em um lugar agradável; mas Efraim levará seus filhos até o assassino.
Nimemwona Efraimu, kama Tiro, aliyeoteshwa mahali pazuri. Lakini Efraimu wataleta watoto wao kwa mchinjaji.”
14 Dê a eles - Yahweh o que você vai dar? Dê-lhes um ventre abortado e seios secos.
Wape, Ee Bwana, je, utawapa nini? Wape matumbo ya kuharibu mimba na matiti yaliyokauka.
15 “Toda sua maldade está em Gilgal; pois lá eu os odiava. Por causa da maldade de seus atos, eu os expulsarei de minha casa! Eu não vou amá-los mais. Todos os seus príncipes são rebeldes.
“Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, niliwachukia huko. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza katika nyumba yangu. Sitawapenda tena, viongozi wao wote ni waasi.
16 Ephraim é atingido. Sua raiz secou. Eles não darão frutos. Ainda que eles dêem à luz, ainda assim matarei os amados de seu ventre”.
Efraimu ameharibiwa, mzizi wao umenyauka, hawazai tunda. Hata kama watazaa watoto, nitawachinja watoto wao waliotunzwa vizuri.”
17 Meu Deus os rejeitará, porque eles não o escutaram; e eles serão viajantes entre as nações.
Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii; watakuwa watu wa kutangatanga miongoni mwa mataifa.

< Oséias 9 >