< Oséias 6 >

1 “Venha! Vamos voltar para Yahweh; pois ele nos desfez em pedaços, e ele vai nos curar; ele nos feriu, e ele vai ligar nossas feridas.
“Njoo, turudi kwa Bwana. Kwa maana ametuvunja vipande vipande, lakini atatuponya; ametujeruhi, lakini atatufunga majeraha yetu.
2 Após dois dias, ele nos reanimará. No terceiro dia, ele nos levantará, e viveremos diante dele.
Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, na tutaishi mbele yake.
3 Let reconhece Yahweh. Vamos continuar a conhecer Yahweh. Tão certo quanto o sol nasce, Yahweh aparecerá. Ele virá até nós como a chuva, como a chuva da primavera que rega a terra”.
Nasi tumjue Bwana; tukaendelee kumjua Bwana. Kuja kwake ni hakika kama asubuhi; atakuja kwetu kama mvua, kama mvua ya vuli ambayo huinyeshea ardhi.”
4 “Ephraim, o que devo fazer com você? Judah, o que devo fazer com você? Pois seu amor é como uma nuvem matinal, e como o orvalho que desaparece cedo.
Efuraimu, nikufanyie nini? Yuda, nikufanyie nini? Uaminifu wako ni kama wingu la asubuhi, kama umande unaoondoka mapema.
5 Portanto, eu os cortei em pedaços com os profetas; Eu os matei com as palavras da minha boca. Seus julgamentos são como um relâmpago.
Kwa hiyo nimewavunja vipande vipande kwa vinywa vya manabii, nimewaua kwa maneno ya kinywa changu. Maagizo yako ni kama nuru inayoangaza.
6 Pois eu desejo misericórdia e não sacrifício; e o conhecimento de Deus mais do que holocaustos.
Kwa maana natamani uaminifu wala si dhabihu, na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa.
7 Mas eles, como Adam, quebraram o pacto. Eles foram infiéis a mim lá.
Kama Adamu wamevunja agano; hawakuwa waaminifu kwangu.
8 Gilead é uma cidade daqueles que trabalham com iniqüidade; está manchado de sangue.
Gileadi ni jiji la wahalifu wenye miguu ya damu.
9 Enquanto gangues de ladrões esperam para emboscar um homem, assim, a empresa de sacerdotes assassinos no caminho em direção a Shechem, cometendo crimes vergonhosos.
Kama makundi ya wanyang'anyi wanaomngojea mtu, hivyo makuhani hujiunga pamoja kufanya mauaji kwa njia ya Shekemu; wamefanya uhalifu wa aibu.
10 Na casa de Israel eu vi uma coisa horrível. Há prostituição em Ephraim. Israel está contaminado.
Katika nyumba ya Israeli nimeona jambo baya; Uzinzi wa Efraimu ukopale, na Israeli ametiwa unajisi.
11 “Também, Judah, há uma colheita designada para você, quando restauro a fortuna do meu povo.
Kwa maana wewe, Yuda, mavuno yameteuliwa, nitakaporudisha urithi wa watu wangu.

< Oséias 6 >