< Hebreus 2 >

1 Portanto, devemos prestar mais atenção às coisas que foram ouvidas, para que talvez não nos afastemos.
Kwa hiyo ni lazima tuweke kipaumbele zaidi kwa yale tuliyosikia, ili kwamba tusije tukatengwa mbali nayo.
2 Pois se a palavra falada através dos anjos se mostrou firme, e toda transgressão e desobediência recebeu uma justa penalidade,
Kwa maana ikiwa ujumbe uliozungumzwa na malaika ni halali, na kila kosa na uasi hupokea adhabu tu,
3 como escaparemos se negligenciamos uma salvação tão grande - que no início foi falada através do Senhor, foi-nos confirmada por aqueles que ouviram,
tutapataje kuepuka kama tusipojali wokovu huu mkuu? —wokuvu ambao kwanza ulitangazwa na Bwana na kuthibitishwa kwetu na wale waliousikia.
4 Deus também testemunhando com eles, tanto por sinais e prodígios, por várias obras de poder, como por dons do Espírito Santo, de acordo com sua própria vontade?
Mungu pia aliuthibitisha kwa ishara, maajabu, na kwa matendo makuu mbalimbali, na kwa zawadi za Roho Mtakatifu alizozigawa kulingana na mapenzi yake mwenyewe.
5 Pois ele não sujeitou o mundo a vir, do qual falamos, a anjos.
Mungu hakuuweka ulimwengu ujao, ambao tunaongelea habari zake, chini ya malaika.
6 Mas alguém já testemunhou em algum lugar, dizendo, “O que é o homem, que você pensa dele? Ou o filho do homem, que você se importa com ele?
Badala yake, mtu fulani ameshuhudia mahali fulani akisema, “Mtu ni nani, hata uweze kumkumbuka? Au mwana wa mtu, hata umtunze?
7 Você o fez um pouco mais baixo do que os anjos. Você o coroou com glória e honra.
mtu kuwa mdogo kuliko malaika; umemvika taji ya utukufu na heshima. (Zingatia: Katika nakala halisi za kwanza, mstari huu haupo. “Na umemuweka juu ya kazi ya mikono yako.)
8 Você colocou todas as coisas em sujeição debaixo de seus pés”. Pois, ao submeter tudo a ele, ele não deixou nada que não lhe fosse submetido. Mas agora nós ainda não vemos todas as coisas a ele submetidas.
Umeweka kila kitu chini ya miguu yake.” Kwa hiyo Mungu ameweka kila kitu chini ya mtu. Hakuacha kitu chochote ambacho hakiko chini yake. Lakini sasa hivi hatuoni bado kila kitu kikiwa chini yake.
9 Mas vemos aquele que foi feito um pouco inferior aos anjos, Jesus, por causa do sofrimento da morte coroada de glória e honra, que pela graça de Deus ele deve provar da morte para todos.
Hata hivyo, tunaona ambaye alikuwa amefanywa kwa muda, chini kuliko malaika—Yesu, ambaye, kwa sababu ya mateso yake na kifo chake, amevikwa taji ya utukufu na heshima. Hivyo sasa kwa neema ya Mungu, Yesu ameonja kifo kwa ajili ya kila mtu.
10 Pois tornou-se ele, para quem são todas as coisas e através de quem são todas as coisas, ao trazer muitas crianças à glória, para fazer o autor de sua salvação perfeita através dos sofrimentos.
Ilikuwa sahihi kwamba Mungu, kwa sababu kila kitu kipo kwa ajili yake na kupitia yeye, alipaswa kuwaleta watoto wengi katika utukufu, na kwamba alipaswa kumfanya kiongozi katika wokovu wao kuwa mkamilifu kupitia mateso yake.
11 Pois tanto aquele que santifica como aqueles que são santificados são todos de um só, pelo que não tem vergonha de chamá-los de irmãos,
Kwa maana wote wawili yule anayeweka wakfu na wale ambao wanawekwa wakfu, wote wanatoka kwenye asili moja, Mungu. Kwa sababu hii yule anayewaweka wakfu kwa Mungu haoni aibu kuwaita ndugu.
12 dizendo, “Vou declarar seu nome aos meus irmãos. Entre a congregação, cantarei seus louvores”.
Anasema, “Nitatangaza jina lako kwa ndugu zangu, nitaimba kuhusu wewe kutoka ndani ya kusanyiko.”
13 Mais uma vez, “depositarei minha confiança nele”. Novamente, “Eis-me aqui com as crianças que Deus me deu”.
Tena asema, “Nitaamini katika yeye.” Na tena, “Tazama, hapa nipo na watoto ambao Mungu amenipa.”
14 Desde então as crianças têm compartilhado em carne e osso, ele próprio também compartilhou da mesma maneira, para que através da morte ele pudesse trazer a nada aquele que tinha o poder da morte, ou seja, o diabo,
Kwa hiyo, kwa kuwa watoto wa Mungu wote hushiriki mwili na damu, kadhalika Yesu alishiriki vitu vilevile, ili kwamba kupitia kifo apate kumdhohofisha yule ambaye ana mamlaka juu ya mauti, ambaye ni ibilisi.
15 e pudesse libertar todos aqueles que, por medo da morte, estiveram toda a vida sujeitos à escravidão.
Hii ilikuwa hivyo ili awaweke huru wale wote ambao kupitia hofu ya kifo waliishi maisha yao yote katika utumwa.
16 Com certeza, ele não dá ajuda aos anjos, mas dá ajuda à descendência de Abraão.
Kwa hakika siyo malaika anaowasaidia. Badala yake, anawasaidia wazao wa Abraham.
17 Portanto, ele foi obrigado em todas as coisas a ser feito como seus irmãos, para que pudesse tornar-se um misericordioso e fiel sumo sacerdote nas coisas pertencentes a Deus, para fazer expiação pelos pecados do povo.
Kwa hiyo, ilikuwa lazima yeye awe kama ndugu zake katika njia zote, ili aweze kuwa kuhani mkuu mwenye huruma na mwaminifu kwa vitu vya Mungu, na ili kwamba awe na uwezo wa kutoa msamaha kwa dhambi za watu.
18 Pois ele mesmo sofreu ao ser tentado, ele é capaz de ajudar aqueles que são tentados.
Kwa sababu Yesu mwenyewe ameteseka, na kujaribiwa, ana uwezo wa kuwasaidia wale wanaojaribiwa.

< Hebreus 2 >