< Gênesis 44 >
1 Ele comandou o mordomo de sua casa, dizendo: “Encha os sacos dos homens com comida, tanto quanto eles possam carregar, e ponha o dinheiro de cada homem na boca de seu saco”.
Yusufu akamwamru msimamizi wa nyumba yake, akisema, “Jaza magunia ya watu hawa kwa chakula, kiasi wawezacho kubeba, na uweke pesa ya kila mtu katika mdomo wa gunia lake.
2 Ponha meu copo, o copo de prata, na boca do saco dos mais jovens, com seu dinheiro de grãos”. Ele fez de acordo com a palavra que Joseph havia falado.
Uweke kikombe changu, cha fedha, katika mdomo wa gunia la mdogo, na pesa yake ya chakula pia.” Msimamizi akafanya kama Yusufu alivyosema.
3 Assim que a manhã estava leve, os homens foram mandados embora, eles e seus burros.
Kukapambazuka asubuhi, na wale watu wakaruhusiwa kuondoka, wao na punda zao.
4 Quando saíram da cidade, e ainda não estavam longe, Joseph disse ao seu mordomo: “Para cima, sigam os homens”. Quando você os ultrapassar, pergunte-lhes: “Por que você recompensou o mal pelo bem?
Walipokuwa wametoka mjini lakini hawajafika mbali, Yusufu akamwambia msimamizi wa nyumba yake, “Inuka, uwafuatie wale watu, na utakapowapata, wambie, 'Kwa nini mmelipa uovu badala ya mema?
5 Não é isto que meu senhor bebe, e pelo qual ele realmente divulga? Você fez o mal ao fazer isso”.
Je hiki siyo kikombe ambacho bwana wangu hukinywea, na kikombe akitumiacho kwa uaguzi? Mmefanya vibaya, kwa jambo hili mlilolifanya.”
6 Ele as ultrapassou, e lhes dirigiu estas palavras.
Msimamizi wa nyumba akawapata na kuwambia maneno haya.
7 Disseram-lhe: “Por que meu senhor fala palavras como estas? Longe de seus servos que eles devam fazer tal coisa!
Wakasema, “Kwa nini bwana wetu anasema maneno kama haya? Na iwe mbali na watumishi wako kwamba wanaweza kufanya jambo hili.
8 Eis que o dinheiro, que encontramos na boca de nossos sacos, trouxemos de novo para fora da terra de Canaã. Como então devemos roubar prata ou ouro da casa de vosso senhor?
Tazama, pesa tulizozikuta katika midomo ya magunia yetu, tulizileta kwako kutoka katika nchi ya Kanaani. Ni kwa jinsi gani basi tunaweza kuiba katika nyumba ya bwana wako fedha au dhahabu?
9 Com quem de seus servos for encontrado, deixe-o morrer, e nós também seremos escravos de meu senhor”.
Yeyote kitakayeonekana kwake miongoni mwa watumishi wako, atakufa, nasi sote tutakuwa watumwa wa bwana wangu.”
10 Ele disse: “Agora também que seja de acordo com suas palavras”. Aquele com quem for encontrado será meu escravo; e vós sereis irrepreensíveis”.
Msimamizi akasema, “Basi na iwe kwa kadili ya maneno yenu. Yeye ambaye kikombe kitaonekana kwake atakuwa mtumwa wangu, nanyi wengine mtakuwa bila hatia.”
11 Então eles se apressaram, e cada homem levou seu saco para o chão, e cada homem abriu seu saco.
Kisha kila mtu akaharakisha na kulishusha gunia lake chini. na kila mtu akalifungua gunia lake.
12 Ele procurou, começando pelo mais velho e terminando pelo mais novo. A taça foi encontrada no saco de Benjamin.
Msimamizi akatafuta. akaanza na mkubwa wa wote na kumaliza kwa mdogo wa wote, na kikombe kikaonekana katika gunia la Benjamini.
13 Então eles rasgaram suas roupas e cada homem carregou seu burro e voltou para a cidade.
Wakararua mavazi yao. Kila mtu akapakia juu ya punda wake nao wakarudi mjini.
14 Judah e seus irmãos chegaram à casa de José, e ele ainda estava lá. Eles caíram no chão diante dele.
Yuda na ndugu zake wakaja katika nyumba ya Yusufu. Bado alikuwepo pale, nao wakainama mbele zake hata chini.
15 Joseph disse-lhes: “Que ação é essa que vocês fizeram? Você não sabe que um homem como eu pode realmente fazer adivinhações?”.
Yusufu akawambia, “Je ni nini hili mlilolifanya? Je hamjui kwamba mtu kama mimi anafanya uaguzi.
16 Judah disse: “O que diremos a meu senhor? O que diremos? Como vamos nos esclarecer? Deus descobriu a iniqüidade de seus servos. Eis que somos escravos de meu senhor, tanto nós quanto ele, em cuja mão se encontra o cálice”.
Yuda akasema, “Je tunaweza kumwambia nini bwana wangu? Tuseme nini? au ni jinsi gani twaweza kujithibitisha wenyewe? Mungu ameona uovu wa watumishi wako. Tazama, sisi ni watumwa wa bwana wangu, wote sisi na yule ambaye kikombe kimeonekana mkononi mwake.”
17 Ele disse: “Longe de mim que eu deva fazer isso”. O homem em cuja mão o copo é encontrado, ele será meu escravo; mas quanto a você, suba em paz para seu pai”.
Yusufu akasema, “Na iwe mbali nami kwamba naweza kufanya hivyo. Mtu ambaye kikombe kimeonekana mkononi mwake, huyu ndiye atakuwa mtumwa wangu, lakini ninyi wengine, nendeni kwa amani kwa baba yenu.”
18 Então Judah aproximou-se dele e disse: “Oh, meu senhor, por favor, deixe seu servo falar uma palavra aos ouvidos de meu senhor, e não deixe sua raiva arder contra seu servo; pois você é até mesmo como Faraó.
Ndipo Yuda alipomkaribia na kusema, “Bwana wangu, tafadhari mwache mtumishi wako aseme neno katika masikio ya bwana wangu, na usiziache hasira zako kuwaka dhidi ya mtumishi wako, kwani wewe ni kama Farao.
19 Meu senhor perguntou a seus servos, dizendo: “Você tem um pai, ou um irmão?
Bwana wangu aliwauliza watumishi wake, kusema, Je mnaye baba au ndugu?'
20 Dissemos a meu senhor: “Temos um pai, um homem velho, e um filho de sua velhice, um pequeno; e seu irmão está morto, e só ele é deixado de sua mãe; e seu pai o ama”.
Nasi tukamwambia bwana wangu, 'Tunaye baba, ni mzee, na mwana wa uzee wake, ni mdogo. Na ndugu yake alishakufa, na yeye peke yake ndiye amebaki kwa mama yake, na baba yake anampenda.'
21 Você disse a seus servos: 'Tragam-no até mim, para que eu possa colocar meus olhos sobre ele'.
Nawe ukawambia matumishi wako, 'Mleteni ili nimwone.'
22 Dissemos a meu senhor: 'O menino não pode deixar seu pai, pois se ele deixasse seu pai, seu pai morreria'.
Nasi tukamwambia bwana wangu, 'Kijana hawezi kumwacha babaye. Kwani akimwacha babaye baba yake angekufa.'
23 Você disse a seus servos: 'A menos que seu irmão mais novo desça com você, você não verá mais meu rosto'.
Na ukawambia watumishi wako, 'Mdogo wenu asipokuja pamoja nanyi, hamtauona uso wangu tena.'
24 Quando chegamos a seu servo meu pai, dissemos-lhe as palavras de meu senhor.
Na ikawa tulipokwenda kwa mtumishi wako baba yangu, tulimwambia maneno ya bwana wangu.
25 Nosso pai disse: 'Vá novamente e compre um pouco de comida para nós'.
Na baba yetu akasema, Nendeni tena, mkatununulie chakula.'
26 Dissemos: 'Não podemos descer'. Se nosso irmão mais novo estiver conosco, então desceremos: pois podemos não ver o rosto do homem, a menos que nosso irmão mais novo esteja conosco”.
Nasi tukasema, “Hatuwezi kushuka. Ikiwa mdogo wetu atakuwa nasi, ndipo tutakaposhuka, kwani hatuwezi kuuona uso wa mtu yule mdogo wetu asipokuwa pamoja nasi.'
27 Seu servo, meu pai, nos disse: 'Você sabe que minha mulher me deu dois filhos.
Mtumishi wako baba yetu akatwambia, 'Mnajua kwamba mke wangu alinizalia wana wawili.
28 Um saiu de mim, e eu disse: “Certamente ele está em pedaços”; e não o vi desde então.
Na mmoja akatoka kwangu nami nikasema, “Bila shaka ameraruliwa vipande, na tangu hapo sijamwona.”
29 If você tira este também de mim, e o mal lhe acontece, você trará para baixo meus cabelos grisalhos com tristeza ao Sheol”. (Sheol )
Nanyi mkimchukua huyu naye kutoka kwangu mabaya yanaweza kumpata, mtashusha mvi zangu kwa kaburini kwa huzuni. (Sheol )
30 Agora, portanto, quando eu for ao seu servo meu pai, e o menino não estiver conosco; já que sua vida está ligada à vida do menino;
Kwa hiyo, basi, nitapokuja kwa mtumishi wako baba yangu, na kijana hayupo nasi, kwa kuwa uhai wake umefungamanishwa katika uhai wa kijana,
31 acontecerá, quando ele vir que o menino não está mais, que ele vai morrer. Seus servos farão cair os cabelos grisalhos de seu servo, nosso pai, com tristeza ao Sheol. (Sheol )
itakuwa, atakapoona kwamba kijana hayupo nasi atakufa. Na watumishi wako watazishusha mvi za mtumishi wako baba yetu kaburini kwa masikitiko. (Sheol )
32 Pois seu servo tornou-se garantia para o menino para meu pai, dizendo: 'Se eu não o trouxer até você, então eu arcarei com a culpa para meu pai para sempre'.
Kwani mtumishi wako alikuwa mdhamini wa kijana kwa baba yangu na alisema, 'Ikiwa sitamleta kwako, ndipo nitakapokuwa mwenye hatia kwa baba yangu daima.”
33 Agora, portanto, por favor, deixe seu servo ficar no lugar do menino, escravo de meu senhor; e deixe o menino subir com seus irmãos.
Kwa hiyo sasa, tafadhari mwache mtumishi wake akae kama mtumwa kwa bwana wangu badala ya kijana, na umwache kijana aende na ndugu zake.
34 Pois como subirei com meu pai, se o menino não estiver comigo... para que não veja o mal que virá sobre meu pai”.
Kwa maana nitakwenda jinsi gani kwa baba yangu ikiwa kijana hayupo nami? Ninaogopa kuona mabaya yatakayompata baba yangu.”