< Gênesis 20 >
1 Abraão viajou de lá para a terra do Sul, e viveu entre Kadesh e Shur. Ele viveu como estrangeiro em Gerar.
Abraham akasafiri kutoka pale hadi nchi ya Negebu, na akakaa kati ya Kadeshi na Shuri. Akawa mgeni akiishi Gerari.
2 Abraham disse sobre Sara, sua esposa: “Ela é minha irmã”. Abimeleque, rei de Gerar, enviou e levou Sara.
Abraham akasema kususu mkewe Sara, “ni dada yangu.” Kwa hiyo Abimeleki mfalme wa Gerari akatuma watu wake kumchukua Sara.
3 Mas Deus veio a Abimelech em um sonho da noite, e lhe disse: “Eis que você é um homem morto, por causa da mulher que tomou; pois ela é a esposa de um homem”.
Lakini Mungu akamtokea Abimeleki usiku katika ndoto, akamwambia, “Tazama, wewe ni mfu kutokana na mwanamke uliye mchukua, kwa kuwa ni mke wa mtu.”
4 Agora Abimelech não tinha chegado perto dela. Ele disse: “Senhor, você vai matar até mesmo uma nação justa?
Basi Abimeleki alikuwa bado hajamkaribia hivyo akasema, “Bwana, Je utaua hata taifa lenye haki?
5 Ele não me disse: “Ela é minha irmã”? Ela, até ela mesma, disse: “Ele é meu irmão”. Eu fiz isto na integridade do meu coração e na inocência das minhas mãos”.
Je si yeye mwenyewe aliye niambia, 'Sara ni dada yangu?' Hata Sara mwenyewe alisema, 'ni kaka yangu.' Nimefanya hili katika uadilifu wa moyo wangu na katika mikono isiyo na hatia.”
6 Deus lhe disse no sonho: “Sim, eu sei que na integridade de seu coração você fez isso, e eu também o retive de pecar contra mim”. Portanto, não permiti que você a tocasse.
Kisha Mungu akasema naye katika ndoto, “Kweli, ninajua pia kwamba umefanya hili katika uadilifu wa moyo wako, na pia nilikuzuia usitende dhambi dhidi yangu mimi. Ndiyo maana sikuruhusu umshike.
7 Agora, portanto, restaure a esposa do homem. Pois ele é um profeta, e rezará por você, e você viverá. Se você não a restaurar, saiba com certeza que morrerá, você e todos os que são seus”.
Kwa hiyo, mrudishe huyo mke wa mtu, kwa kuwa ni nabii. Atakuombea, na utaishi. Lakini usipo mrudisha, ujuwe kwamba wewe pamoja na wote walio wa kwako mtakufa hakika.
8 Abimelech levantou-se de manhã cedo, chamou todos os seus criados e disse todas essas coisas ao seu ouvido. Os homens estavam muito assustados.
Abimeleki akaamka asubuhi na mapema akawaita watumishi wake wote waje kwake. Akawasimulia mambo haya yote, na watu wale wakaogopa sana.
9 Então Abimelech chamou Abraão e lhe disse: “O que você fez conosco? Como pequei contra você, que você trouxe sobre mim e sobre meu reino um grande pecado? Vocês me fizeram atos que não deveriam ser feitos”!
Kisha Abimeleki akamwita Abraham na kumwambia, “Umetufanyia jambo gani? Ni kwa jinsi gani nimekutenda dhambi kwamba umeniletea mimi na ufalme wangu dhambi hii kubwa? Umenifanyia mimi jambo ambalo halipaswi kufanywa.”
10 Abimelech disse a Abraão: “O que você viu, que você fez esta coisa?”
Abimeleki akamwambia Abraham, “Nini kilikushawishi wewe kutenda jambo hili?”
11 Abraão disse: “Porque eu pensei: 'Certamente o temor de Deus não está neste lugar'. Eles vão me matar por causa da minha esposa”.
Abraham akasema, “Ni kwasababu nilifikiri hakika hakuna hofu ya Mungu katika sehemu hii, na kwamba wataniua kwa ajili ya mke wangu.'
12 Além disso, ela é de fato minha irmã, a filha de meu pai, mas não a filha de minha mãe; e ela se tornou minha esposa.
Licha ya kwamba kweli ni dada yangu, binti wa baba yangu, ingawa si binti wa mama yangu; na ndiye alifanyika kuwa mke wangu.
13 Quando Deus me fez sair da casa de meu pai, eu lhe disse: 'Esta é a sua bondade que você me mostrará'. Em todos os lugares que vamos, digamos de mim, “Ele é meu irmão””.
Wakati Mungu aliponiondoa katika nyumba ya baba yangu na kusafiri kutoka mahali kwenda mahali pengine, nilimwambia mke wangu, kwa kila sehemu tutakayo kwenda, unioneshe uaminifu wako kama mke wangu: Kila mahali tutakapo kwenda, useme juu yangu kuwa, “Ni kaka yangu.”'''
14 Abimelech levou ovelhas e bovinos, servos e servas, e os deu a Abraão, e restaurou Sara, sua esposa, a ele.
Ndipo Abimeleki akatwaa kondoo, maksai, watumwa wa kiume na wa kike akampatia Abraham. Basi Abimeleki akamrudisha Sara, mke wa Abraham.
15 Abimelech disse: “Eis que minha terra está diante de vocês”. Habita onde te aprouver”.
Abimeleki akasema, Tazama, Nchi yangu i mbele yako. Kaa mahali utakapopendezewa.”
16 A Sara ele disse: “Eis que eu dei a seu irmão mil moedas de prata”. Eis que é para você uma cobertura dos olhos de todos os que estão com você”. Diante de todos vocês, vocês estão justificados”.
Na kwa Sara akasema, Tazama, nimempatia kaka yako vipande elfu vya fedha. Navyo ni kwa ajili ya kufunika kosa lolote dhidi yako machoni pa wote walio pamoja na wewe, na mbele ya kila mtu ambaye umemfanya kuwa na haki.”
17 Abraão orou a Deus. Então Deus curou Abimelech, sua esposa e suas servas, e elas deram à luz filhos.
Kisha Abraham akaomba kwa Mungu, Na Mungu akamponya Abimeleki, mkewe, na watumwa wake wa kike kiasi kwamba wakaweza kupata watoto.
18 Pois Javé tinha fechado bem todas as úteras da casa de Abimeleque, por causa de Sara, a esposa de Abraão.
Kwa kuwa Yahwe alikuwa amewafanya wanawake wote wa nyumaba ya Abimeleki kuwa tasa kabisa, kwa sababu ya Sara, mke wa Abraham.