< Ezequiel 35 >

1 Além disso, a palavra de Javé veio a mim, dizendo:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 “Filho do homem, põe teu rosto contra o Monte Seir, e profetiza contra ele,
“Mwanadamu, weka uso wako juu ya Mlima Seiri na tabiri dhidi yake.
3 e diz: 'O Senhor Javé diz: “Eis que estou contra ti, Monte Seir, e estenderei minha mão contra ti. Farei de você uma desolação e um assombro”.
Uiambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni juu yako, Mlima Seiri, nitakupiga kwa mkono wangu na kukufanya ukiwa na tishio.
4 Eu colocarei suas cidades em desolação e você ficará desolado. Então você saberá que eu sou Yahweh.
Nitaiharibu miji yenu, na wewe mwenyewe utakuwa ukiwa; kisha utajua kuwa mimi ni Yahwe.
5 “““Porque tivestes uma perpétua hostilidade, e cedestes aos filhos de Israel o poder da espada no tempo de sua calamidade, no tempo da iniqüidade do fim,
Kwa sababu umekuwa adui kwa watu wangu Israeli siku zote, na kwa sababu umewatoa kwenye mikono ya upanga wakati wa mateso yao, wakati adhabu yao itakapokuwa katika ukubwa wake.
6 portanto, como eu vivo”, diz o Senhor Javé, “eu vos prepararei para o sangue, e o sangue vos perseguirá”. Como não odiastes o sangue, portanto, o sangue vos perseguirá.
Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-nitaandaa kwa ajili ya damu, na damu na kukufutilia! Kwa kuwa hukuchukia damu, damu itakufuatilia.
7 Thus Vou fazer do Monte Seir um espanto e uma desolação. Eu cortarei dele aquele que passa e aquele que retorna.
Nitaufanya Mlima Seiri mkamilifu na ukiwa wakati nitakapoukatilia mbali kutoka huo yeyote apitaye na arudiye tena.
8 I encherá suas montanhas com seus mortos. O morto com a espada cairá em suas colinas e em seus vales e em todos os seus cursos de água.
Kisha nitaijaza milima kwa watu wao waliokufa. Milima yako na mabonde na mifereji-wale walioawa kwa upanga wataanguka kati yao.
9 farei de vocês uma desolação perpétua, e suas cidades não serão habitadas. Então vocês saberão que eu sou Yahweh.
Nitakufanya mkiwa daima. Miji yako haitakaliwa na watu, lakini mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
10 ““Porque você disse: “Estas duas nações e estes dois países serão meus e nós os possuiremos”, embora Iavé estivesse lá,
Umesema, “Haya mataifa mawili na hizi nchi mbili zitakuwa zangu, na tutazimiliki,” hata wakati Yahwe alipokuwa pamoja nao.
11 portanto, como eu vivo”, diz o Senhor Iavé, “farei de acordo com sua raiva e de acordo com sua inveja que você demonstrou por seu ódio contra eles; e me farei conhecido entre eles quando o julgar.
Kwa hiyo, kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-hivyo nitafanya kulingana na hasira yako na kulingana na wivu wako ambao uliousikia katika chuki yako ya Israeli, na nitajidhihirisha kwao nitakapokuhukumu.
12 Você saberá que eu, Iavé, ouvi todos os seus insultos, que você falou contra as montanhas de Israel, dizendo: 'Elas foram assoladas. Eles nos foram dados para devorarmos”.
Hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe. Nimeyasikia matukano yako yote uliyasema dhidi ya milima ya Israeli, uliposema, “Wameharibiwa; wametolewa kwetu tuwale.
13 Vocês se engrandeceram contra mim com sua boca, e multiplicaram suas palavras contra mim. Eu o ouvi”.
“Nanyi mmejitukuza juu yangu kwa kile mlichokisema, na mmeongeza maneno juu yangu; na kuyasikia yote.
14 O Senhor Javé diz: “Quando toda a terra se alegrar, eu vos farei desolados”.
Bwana Yahwe asema hivi: Nitakufanya ukiwa, wakati dunia nzima itakapofurahi.
15 Ao regozijar-se com a herança da casa de Israel, porque estava desolada, assim farei a vocês. Você ficará desolado, Monte Seir, e todos os Edom, mesmo todos os Edom. Então eles saberão que eu sou Yahweh”.
Kama vile unavyofurahi juu ya urithi wa watu wa Israeli kwa sababu ukiwa ya wake, ndivyo nitakavyokutenda wewe. Utakuwa ukiwa, Mlima Seiri, na Edomu yote! Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe.”'

< Ezequiel 35 >