< Ezequiel 21 >
1 A palavra de Javé veio a mim, dizendo:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 “Filho do homem, dirige teu rosto para Jerusalém, prega para os santuários, e profetiza contra a terra de Israel”.
“Mwanadamu, weka uso wako kuelekea Yerusalemu, na neno juu ya patakatifu; tabiri juu ya nchi ya Israeli.
3 Diga à terra de Israel, 'Javé diz: “Eis que eu estou contra ti, e tirarei minha espada de sua bainha, e cortarei de ti os justos e os ímpios”.
Sema juu ya nchi ya Israeli, 'Yahwe asema hivi: Tazama! Ni juu yako! Nitautoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake na kuwakatilia mbali wote yaani mtu mwenye haki na mtu mwovu kutoka kwako!
4 Vendo então que eu cortarei de vós os justos e os ímpios, portanto minha espada sairá de sua bainha contra toda a carne do sul ao norte.
Ili niwakatilie mbali wote, mwenye haki na mwovu kutoka kwako, upanga wangu utatoka kwenye ala yake juu ya wote wenye mwili kutoka kusini hata kaskazini.
5 All a carne saberá que eu, Javé, tirei minha espada de sua bainha. Ela não voltará mais”.
Kisha wote wenye mwili watajua yakwamba mimi, Yahwe, nimeutoa upanga wangu kutoka kwenye ala yake. Hautarudi tena!'
6 “Portanto suspira, seu filho do homem. Suspirai diante dos olhos deles com o coração partido e com amargura.
Kwa hiyo, mwanadamu, gumia kama kuvunjika kwa viuno vyako! Katika uchungu gumia mbele ya macho yao!
7 Será, quando lhe perguntarem: “Por que suspiras?” que você dirá: “Por causa das notícias, pois elas vêm! Todo coração derreterá, todas as mãos serão fracas, todo espírito desmaiará, e todos os joelhos serão fracos como água. Eis que vem, e será feito, diz o Senhor Javé”.
Kisha itatokea kwamba watakuuliza, 'Kwa sababu gani unalia?' Kisha utasema, 'Kwa sababu ya habari inayokuja, kwa kuwa kila moyo utakuwa dhaifu, na kila mkono utasita! Kila roho itazimia, na kila goti litatiririrka kama maji. Tazama! Inakuja na itakuwa kama hivi! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
8 A palavra de Javé veio até mim, dizendo:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
9 “Filho do homem, profetiza, e diz: “Javé diz: “Javé diz:”: “Uma espada! Uma espada! É afiada, e também polido.
“Mwanadamu, tabiri na sema, 'Bwana asema hivi: sema: Upanga! Upanga! Utachongwa na kusuguliwa!
10 É afiado que pode fazer um abate. É polido que pode ser como um relâmpago. Devemos então fazer hilaridade? A vara do meu filho condena cada árvore.
Utanolewa ili kushiriki katika machinjio makubwa! Utasuguliwa ili uwe kama mng'ao wa radi! Je! Tufanye furaha katika fimbo ya mwana wa mfalme? Upanga ujao huchukia kila hiyo fimbo!
11 É dado para ser polido, que pode ser tratado. A espada é afiada. Sim, é polido para entregá-lo na mão do assassino”.
Hivyo upanga utatolewa kwa ajili ya kusuguliwa, na kisha kushikika kwa mkono! Upanga umechongwa na umesuguliwa na utatolewa kwenye mkono wa yule auaye!'
12 Cry e geme, filho do homem; pois está em meu povo. Está em todos os príncipes de Israel. Eles são entregues à espada com meu povo. Portanto, bata sua coxa.
Ita msaada na omboleza, mwanadamu! Kwa kuwa upanga umekuja juu ya watu wangu! Uko juu ya wakuu wote wa Israeli. Wametolewa dhidi ya upanga pamoja na watu wangu. Kwa hiyo, piga paja lako!
13 “Pois há um julgamento. E se mesmo a vara que condena não será mais?” diz o Senhor Yahweh.
Kwa kuwa kuna kujaribiwa, lakini itakuwaje kama fimbo ya kifalme haitakuwepo tena? -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
14 “Você, portanto, filho do homem, profetiza, e bater com as mãos juntas. Que a espada seja dobrada pela terceira vez, a espada dos feridos fatais. É a espada do grande que está fatalmente ferido, que entram em seus quartos.
Basi wewe, mwanadamu, tabiri, na piga makofi, kwa kuwa upanga utakushambulia hata mara tatu! Upanga kwa wale watakaochinjwa! Utakuwa upanga kwa ajili ya kuchinjia, ukiwatoboa pande zote!
15 Eu coloquei a espada ameaçadora contra todos os portões deles, que seu coração possa derreter, e seus tropeços sejam multiplicados. Ah! É feito como um relâmpago. É apontado para o abate.
Ili kuyeyusha mioyo yao na kuongeza kuanguka kwao, nimeweka machinjio ya upanga juu ya malango! Ole! Umeundwa kama mng'ao wa radi, umetengwa kwa ajili ya kuua!
16 Gather vocês mesmos juntos. Vá para a direita. Coloquem-se em ordem. Vá para a esquerda, onde quer que seu rosto esteja colocado.
Wewe, upanga! Nyooka upande wa kuume! Nyooka upande wa kushoto! Nenda popote ulipoelekeza uso wako.
17 Também vou bater minhas mãos juntas, e eu farei descansar minha ira. Eu, Yahweh, o disse”. A palavra de
Kwa kuwa pia nitapiga mikono yangu miwili kwa pamoja (makofi), na kisha nitaleta ghadhabu yangu kwa waliobakia! Mimi, Yahwe, nimesema hivi!”
18 Yahweh veio até mim novamente, dizendo:
Neno la Yahwe likanijia tena, kusema,
19 “Também, você, filho do homem, indique dois caminhos, para que a espada do rei da Babilônia possa vir. Ambos sairão de uma terra, e marcarão um lugar. Marquem-no à cabeça do caminho para a cidade.
“Sasa wewe, mwanadamu, teua njia mbili kwa ajili ya upanga wa mfalme wa Babeli upate kuja. Njia hizo mbili zitaanza katika nchi moja, na kibao cha barabarani kitamwonyesha mmoja wao kama kuuelekea mji.
20 Você designará um caminho para que a espada venha a Rabá dos filhos de Amom, e a Judá em Jerusalém, o fortificado.
Onyesha njia moja kwa ajili ya jeshi la Wababeli kuja Raba, mji wa Waamoni. Onyesha nyingine kuelekea jeshi la Yuda na mji wa Yerusalemu, ambayo imeimarishwa.
21 Pois o rei da Babilônia estava à frente do caminho, à frente dos dois caminhos, para usar a adivinhação. Ele sacudiu as flechas para frente e para trás. Ele consultou os terafins. Ele olhou para o fígado.
Kwa kuwa mfalme wa Babeli atasimama kwenye makutano ya barabara, kwenye njia panda, ili kufanya uganga. Alitingisha mishale na kuuliza mwelekeo kutoka kwa sanamu na atalichunguza ini.
22 Em sua mão direita estava o lote para Jerusalém, para colocar aríetes, para abrir a boca no abate, para levantar a voz com gritos, para colocar aríetes contra os portões, para lançar montículos e para construir fortes.
Katika mkono wake wa kuume kutakuwa na dalili kuhusu Yerusalemu, kuweka mitambo ya kubomolea juu ya hiyo, kufungua kinywa chake kupanga kuchinja, kutoa sauti ya vita, kuweka mitambo ya kubomolea juu ya malango, kujenga ngazi, na kusimamisha wima minara ya boma.
23 Será para eles como uma falsa adivinhação à sua vista, que fizeram juramentos; mas ele traz à memória a iniquidade, para que possam ser tomados.
Itaonekana kuwa ishara isiyofaa katika macho ya wale walio katika Yerusalemu, wale walioapa kiapo kwa Wababeli! Lakini mfalme atawashtaki kwa kuvunja sheria ya mkataba ili kuwabariki!
24 “Portanto, o Senhor Javé diz: “Porque fizeste com que tua iniqüidade fosse lembrada, porque tuas transgressões foram descobertas, para que em todos os teus atos teus pecados apareçam; porque vieste à memória, serás tomado com a mão.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umeuleta uovu wako kwenye kumbukumbu zangu, makosa yenu yatafunuliwa! Dhambi zenu zitaonekana katika matendo yenu yote! Kwa sababu hii utamkumbusha kila mtu mtakamatwa kwa mkono wa adui yenu!
25 “'Tu, ferido mortal, o príncipe de Israel, cujo dia chegou, no tempo da iniquidade do fim,
Kama wewe, mchafu na mtawala mwovu wa Israeli, ambaye siku ya hukumu imekuja, na ambaye mda wa kufanya uovu umekoma,
26 o Senhor Javé diz: “Remove o turbante, e tira a coroa”. Isto não será como era. Exaltar o que é baixo, e humilhar o que é alto”.
Bwana Yahwe asema hivi kwako: Toa kilemba na vua taji! Mambo hayatakuwa tena kama yalivyokuwa! Kiinue kilicho chini na kiinue kilichoinuka!
27 Eu vou derrubar, derrubar, derrubar”. Isto também não será mais assim, até que ele venha de quem é o direito; e eu o darei”.
Uharibifu! Uharibifu! Nitaiharibu! Haitakuwa tena hadi atakapokuja yeye ambaye ameteuliwa kutekeleza hukumu.
28 “Tu, filho do homem, profetiza e diz: “O Senhor Javé diz isto a respeito dos filhos de Amon, e a respeito de sua reprovação”: “Uma espada! Uma espada é desembainhada! É polido para o abate, para que ela devore, que pode ser como um relâmpago;
Basi wewe, mwanadamu, tabiri na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi hawa ni watu wa Amoni kuhusiana na ujio wa aibu yao: Upanga, upanga umechirwa! Umenolewa kwa ajili ya kuchinja, hivyo utakuwa kama kimuli muli cha radi!
29 enquanto eles vêem por você falsas visões, enquanto eles divinizam mentiras para você, para colocá-lo no pescoço dos malvados que estão mortalmente feridos, cujo dia chegou na hora da iniqüidade do fim.
Wakati manabii wameona maono ya uongo juu yako, wakati watakapofanya matambiko kuuijia kwa uongo juu yako, huu upanga utaanguka chini juu ya shingo za mwovu ambao wako karibu kuuawa, ambao siku ya ghadhabu imekuja na ambao mda wa uovu unakaribia kuisha.
30 Cause para voltar para sua bainha. No local onde você foi criado, na terra de seu nascimento, eu o julgarei.
Rudisha upanga kwenye gala yake. Katika mahali ulipoumbwa, katika nchi ya chimbuko lako, nitakuhukumu!
31 Eu lhe expressarei a minha indignação. Eu vou soprar sobre você com o fogo da minha ira. Eu o entregarei na mão de homens brutos, habilidoso para destruir.
Nitamwaga hasira yangu juu yako! Nitapuliza upepo wa moto wa ghadhabu juu yako na kukuweka kwenye mkono wa watu wakatili, watu wajuao kuangamiza!
32 Você será para o combustível para o fogo. Seu sangue estará no meio da terra. Você não será mais lembrado; pois eu, Yahweh, o disse””.
Utakuwa kuni kwa ajili ya moto! Damu yako itakuwa kati ya nchi. Hutakumbukwa tena, kwa kuwa mimi, Yahwe nimesema hivi!”'