< Eclesiastes 10 >

1 As moscas mortas fazem com que o óleo do perfumista produza um odor maligno; Assim, um pouco de insensatez supera a sabedoria e a honra.
Kama nzi walio kufa husababisha manukato kutoa harufu ya uozo, hivyo hivyo upumbavu kidogo hushinda hekima na heshima.
2 A o coração do homem sábio está à sua direita, mas o coração de um tolo à sua esquerda.
Moyo wa mtu mwenye hekima huelekea kulia, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
3 Sim, também quando o tolo caminha a propósito, sua compreensão lhe falha, e ele diz a todos que é um tolo.
Wakati mpumbavu anapotembea barabarani, fikira zake zina upungufu, ikithibitisha kwa kila mtu kwamba ni mpumbavu.
4 Se o espírito do governante se levantar contra você, não saia de seu lugar; pois a gentileza faz descansar grandes ofensas.
Kama jaziba za mtawala zikiinuka kinyume na wewe, usiache kazi yako. Utulivu unaweza kutuliza ukatili mkubwa.
5 Há um mal que eu vi sob o sol, o tipo de erro que procede do governante.
Kuna uovu niliouona chini ya jua, aina ya kosa ambalo huja kutoka kwa mtawala:
6 A loucura é posta em grande dignidade, e os ricos se sentam em um lugar baixo.
Wapumbavu wanapewa nafasi za uongozi, wakati watu walio faulu wanapewa nafasi za chini.
7 Já vi servos a cavalo e príncipes andando como servos sobre a terra.
Nimewaona watumwa wakipanda farasi, na watu walio faulu wakitembea kama watumwa juu ya ardhi.
8 He quem cava um poço pode cair nele; e quem quebra uma parede pode ser mordido por uma cobra.
Yeyote anayechimba shimo anaweza kutumbukia yake, na popote mtu anayevunja ukuja, nyoka anaweza kumuuma.
9 Whoever esculpe pedras podem ser feridas por elas. Quem quer que rache madeira pode ser ameaçado por ela.
Yeyote achongaye mwawe, anaweza kuumizwa nayo. Na mtu achongaye mbao, anaweza kujihatarisha kwa hiyo.
10 Se o machado for rombo, e não se afiar a borda, é preciso usar mais força; mas a habilidade traz sucesso.
Kama chuma bapa kisicho na makali, na mtu hainoi, kisha ni lazima atumie nguvu nyingi, lakini hekima hutoa faida kwa ufaulu.
11 Se a serpente morde antes de ser encantada, então não há lucro para a língua do encantador.
Kama nyoka akiuma kabla hajafurahi, hivyo hakuna faida kwa mfurahishaji.
12 As palavras da boca de um homem sábio são graciosas; mas um tolo é engolido por seus próprios lábios.
Maneno ya kinywa cha mtu mwenye hekima yana huruma. Lakini midomo ya mpumbavu humumeza mwenyewe.
13 O início das palavras de sua boca é tolice; e o fim de sua conversa é uma loucura maliciosa.
Kama maneno yanavyo anza kutiririka mdomoni mwa mpumbavu, ujinga hutoka, na mwisho mdomo wake hutiririka wazimu mbaya.
14 Um tolo também multiplica as palavras. O homem não sabe o que será; e o que virá depois dele, quem poderá dizer-lhe?
Mpumbavu huongeza maneno, lakini hakuna ajuaye kinachokuja. Ni nani ajuaye baada yake?
15 O trabalho dos tolos cansa cada um deles; pois ele não sabe como ir para a cidade.
Jasho la wapumbavu huwavaa wao, hivyo hawajui hata barabara ya kwenda mjini.
16 Ai de você, terra, quando seu rei é uma criança, e seus príncipes comem pela manhã!
Ole wako ardhi kama mfalme wako ni kijana mdogo, na kama viongozi wako huanza karamu ahsubuhi!
17 Feliz és tu, terra, quando teu rei é filho de nobres, e seus príncipes comem na estação devida, por força, e não por embriaguez!
Lakini umebarikiwa ardhi kama mfalme wako ni mwana wa waungwana, na kama vingozi wako hula wakati muafaka, kwa nguvu, na sio kwa ulevi.
18 Por preguiça, o telhado afunda; e através da ociosidade das mãos, a casa vaza.
Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.
19 Um banquete é feito para rir, e o vinho faz a vida feliz; e o dinheiro é a resposta para todas as coisas.
Watu huandaa chakula kwa kicheko, divai huleta furaha maishani, na fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu.
20 Não amaldiçoe o rei, não, não em seus pensamentos; e não amaldiçoe os ricos em seu quarto, para um pássaro do céu pode carregar sua voz, e aquilo que tem asas pode contar o assunto.
Usimlaani mfalme, hata katika akili, na usiwalaani wenye mali katika chumba chako cha kulala. Kwa kuwa ndege wa angani inaweza kuchukua maneno yako. Chochote kilicho na mabawa kinaweza kusambaza jambo.

< Eclesiastes 10 >