< Deuteronômio 29 >
1 Estas são as palavras do pacto que Javé ordenou a Moisés que fizesse com os filhos de Israel na terra de Moabe, além do pacto que ele fez com eles em Horeb.
Haya ni maneno ambayo Yahwe alimuamuru Musa kuwaambia watu wa Israeli katika nchi ya Moabu, maneno ambayo yaliongezwa katika agano alilolifanya pamoja nao kule Horebu.
2 Moses chamou a todo Israel e disse-lhes: Seus olhos viram tudo o que Javé fez na terra do Egito ao Faraó, e a todos os seus servos, e a toda sua terra;
Musa aliwaita Waisraeli wote na kuwaambia, “Mmeona kila kitu ambacho Yahwe alifanya mbele ya macho yenu katika nchi ya Misri kwa Farao, kwa watumishi wake wote, na kwa nchi yake yote –
3 as grandes provações que seus olhos viram, os sinais, e aquelas grandes maravilhas.
mateso makubwa ambayo macho yenu yaliona, ishara, pamoja na ile miujiza mikubwa.
4 Mas Javé não lhe deu um coração para conhecer, olhos para ver e ouvidos para ouvir, até os dias de hoje.
Lakini mpaka leo Yahwe hajawapatia moyo wa kufahamu, macho ya kuona, au masikio ya kusikia.
5 Eu o conduzi durante quarenta anos no deserto. Suas roupas não envelheceram em você, e suas sandálias não envelheceram em seus pés.
Nimewaongoza kwa miaka arobaini jangwani; mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na ndala zenu hazikuchakaa miguuni mwenu.
6 Você não comeu pão, nem bebeu vinho ou bebida forte, para que saiba que eu sou Yahweh, seu Deus.
Hamkula mkate wowote, na wala hamkunywa divai yoyote au kinywaji chochote chenye ulevi, ili kwamba muweze kujua kuwa mimi ni Yahwe Mungu wenu.
7 Quando você chegou a este lugar, Sihon, o rei de Heshbon, e Og, o rei de Basã, saíram contra nós para lutar, e nós os atacamos.
Mlipokuja mahali hapa, Sihoni, mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani, walikuja dhidi yetu kutupiga, na tukawapiga.
8 Tomamos a terra deles, e a demos em herança aos rubenitas, e aos gaditas, e à meia-tribo dos manassitas.
Tulichukua ardhi yao na kuwapa kama urithi Wareubeni, kwa Wagadi, na kwa nusu ya kabila ya Manase.
9 Portanto, guarde as palavras deste pacto e faça-as, para que você possa prosperar em tudo o que fizer.
Kwa hiyo shikilia maneno ya agano hili na kuyatenda, ili ufanikiwe katika kila kitu ufanyacho.
10 Todos vocês estão hoje na presença de Yahweh, seu Deus: suas cabeças, suas tribos, seus anciãos e seus oficiais, até mesmo todos os homens de Israel,
Nyie wote, mnasimama leo, mbele ya Yahwe Mungu wenu; machifu wenu, makabila yenu, wazee wenu, na maafisa wenu – wanaume wote wa Israeli,
11 seus pequeninos, suas esposas e os estrangeiros que estão no meio de seus acampamentos, desde aquele que corta sua madeira até aquele que tira sua água,
watoto wenu, wake zenu, na wageni ambao wamo miongoni wa kambi yenu, kutoka kwa yule anayekata mbao zenu mpaka kwa yule atekaye maji.
12 para que possais entrar no pacto de Javé vosso Deus, e em seu juramento, que Javé vosso Deus faz convosco hoje,
Mpo hapa ili kwamba muingie katika agano la Yahwe Mungu wenu na katika kiapo ambacho Yahwe Mungu wako anafanya na wewe leo,
13 para que ele vos estabeleça hoje como seu povo, e para que ele seja vosso Deus, como falou convosco e como jurou a vossos pais, a Abraão, a Isaac, e a Jacó.
ili kwamba awafanye leo kuwa watu wake, na kwamba aweze kuwa Mungu kwa ajili yako, kama alivyonena kwako, na kama alivyoapa kwa mababu zako, kwa Abrahamu, kwa Isaka na kwa Yakobo.
14 Também não faço este pacto e este juramento somente com vocês,
Kwa maana ninafanya agano hili na kiapo hiki sio na wewe tu –
15 mas com aqueles que hoje estão aqui conosco diante de Javé nosso Deus, e também com aqueles que hoje não estão aqui conosco
pamoja kila mtu aliyesimama hapa pamoja nasi leo mbele ya Yahwe Mungu wetu – bali na wale ambao hawapo pamoja nasi leo pia.
16 (pois vocês sabem como vivemos na terra do Egito, e como viemos pelo meio das nações pelas quais vocês passaram;
Unajua jinsi tulivyoishi katika nchi ya Misri, na jinsi tulivyopenya miongoni mwa mataifa ambao uliwapita.
17 e vocês viram suas abominações e seus ídolos de madeira, pedra, prata e ouro, que estavam entre eles);
Mmeona sanamu zao zinazokera zilizotengenezwa kwa mbao na mawe, fedha na dhahabu, ambazo zilikuwa miongoni mwenu.
18 lest deve haver entre vós homem, mulher, família ou tribo cujo coração se afasta hoje de Javé nosso Deus, para ir servir aos deuses dessas nações; para que não haja entre vós uma raiz que produza veneno amargo;
Hakikisha hakuna kati yenu mwanamume, mwanamke, ukoo, au kabila ambaye moyo wake unamuacha Yahwe Mungu wetu leo, ili kwenda na kuabudu miungu ya mataifa hayo. Hakikisha hakuna kati yenu mzizi utakaozaa nyongo na pakanga.
19 e acontece, quando ele ouve as palavras desta maldição, que ele se abençoe em seu coração, dizendo: “Terei paz, ainda que ande na teimosia do meu coração”, para destruir o úmido com o seco.
Wakati mtu huyo anaposikia maneno ya laana hii, atajifariji moyoni mwake na kusema, “Nitakuwa na amani, ingawa natembea katika ukaidi wa moyo wangu”. Hii itaangamiza ubichi pamoja na ukavu.
20 Yahweh não o perdoará, mas então a raiva de Yahweh e seu ciúme fumegarão contra aquele homem, e toda a maldição que está escrita neste livro cairá sobre ele, e Yahweh apagará seu nome de debaixo do céu.
Yahwe hatamsamehe, lakini badala yake, hasira ya Yahwe na wivu wake utambanika mtu huyo, na laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki vitakuwa juu yake, na Yahwe ataliondoa jina lake kutoka mbinguni.
21 Iavé o separará para o mal de todas as tribos de Israel, de acordo com todas as maldições do pacto escrito neste livro da lei.
Yahwe atamuweka kando kwa ajili ya maafa kutoka katika makabila yote ya Israeli, kwa kuzingatia laana zote za agano ambazo zimeandikwa katika kitabu hiki cha sheria.
22 A geração que virá - seus filhos que se levantarão depois de você, e o estrangeiro que virá de uma terra distante - dirá, quando eles virem as pragas daquela terra, e as doenças com as quais Yahweh a deixou doente,
Kizazi kifuatacho, watoto wako watakaoinuka baada yako, na mgeni atakayekuja kutoka nchi ya mbali, watazungumza watakapoona mapigo juu ya nchi hii na magonjwa ambayo Yahwe ameyafanya yawe –
23 que toda sua terra é enxofre, sal e queimada, que não é semeada, não produz, nem cresce nela grama alguma, como a derrubada de Sodoma, Gomorra, Admah e Zeboiim, que Yahweh derrubou em sua raiva, e em sua ira.
na watakapoona kuwa nchi yote imekuwa salfa na chumvi ichomayo, ambapo hakuna kitu kipandwacho au kuzaa matunda, ambapo hapaoti mmea wowote, kama anguko la Sodoma na Gomora, Adma na Seboimu, ambayo Yahwe aliangamiza katika ghadhabu na hasira yake –
24 Mesmo todas as nações dirão: “Por que Yahweh fez isto a esta terra? O que significa o calor desta grande raiva”?
watasema kwa pamoja na mataifa mengine, “Kwa nini Yahwe amefanya hili katika nchi hii? Joto ya hasira hii kali inamaanisha nini?”
25 Então os homens dirão: “Porque abandonaram o pacto de Javé, o Deus de seus pais, que ele fez com eles quando os tirou da terra do Egito,
Kisha watu watasema, “Ni kwa sababu walitelekeza agano la Yahwe, Mungu wa mababu zao, alilofanya nao alipowatoa kutoka Misri,
26 e foram e serviram a outros deuses e os adoraram, deuses que eles não conheciam e que ele não lhes havia dado.
na kwa sababu waliondoka na kutumikia miungu mingine na kuzisujudu, miungu ambayo hawakujiua na ambayo hakuwapatia.
27 Portanto, a raiva de Javé queimou contra esta terra, para trazer sobre ela todas as maldições que estão escritas neste livro.
Kwa hiyo hasira ya Yahwe imewaka dhidi ya nchi hii, ili kuleta juu yake laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki.
28 Yahweh tirou-os de sua terra com raiva, com ira e com grande indignação, e os empurrou para outra terra, como é hoje”.
Yahwe amewang’oa kutoka nchini kwao kwa hasira, kwa ghadhanu, na kwa ghadhabu kali, na kuwatupa katika nchi nyingine, leo.
29 The coisas secretas pertencem a Javé, nosso Deus; mas as coisas que são reveladas pertencem a nós e a nossos filhos para sempre, para que possamos fazer todas as palavras desta lei.
Mambo ya siri ni ya Yahwe Mungu wetu pekee; lakini mambo yaliyofichuliwa ni ya kwetu milele pamoja na wazawa wetu, ili tufanye maneno yote ya sheria hii.