< Amós 9 >

1 Eu vi o Senhor de pé ao lado do altar, e ele disse: “Bata no topo dos pilares, para que as soleiras se abanem”. Quebrá-los em pedaços na cabeça de todos eles”. Matarei o último deles com a espada”. Nem um deles fugirá. Nem um deles escapará.
Nilimwona Bwana akiwa amesimama kando ya madhabahu, naye akasema: “Piga vichwa vya nguzo ili vizingiti vitikisike. Viangushe juu ya vichwa vya watu wote; na wale watakaosalia nitawaua kwa upanga. Hakuna awaye yote atakayekimbia, hakuna atakayetoroka.
2 Embora eles cavem no Sheol, lá minha mão os levará; e embora eles subam ao céu, lá os derrubarei. (Sheol h7585)
Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu, kutoka huko mkono wangu utawatoa. Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu, kutoka huko nitawashusha. (Sheol h7585)
3 Embora se escondam no topo do Carmelo, eu os procurarei e os tirarei dali; e embora estejam escondidos de minha vista no fundo do mar, ali eu comandarei a serpente, e ela os morderá.
Wajapojificha juu ya kilele cha Karmeli, huko nitawawinda na kuwakamata. Wajapojificha kutoka kwenye uso wangu katika vilindi vya bahari, huko nako nitaamuru joka kuwauma.
4 Embora eles vão para o cativeiro diante de seus inimigos, lá eu comandarei a espada, e ela os matará. Colocarei meus olhos sobre eles para o mal, e não para o bem.
Wajapopelekwa uhamishoni na adui zao, huko nako nitaamuru upanga uwaue. Nitawakazia macho yangu kwa mabaya wala si kwa mazuri.”
5 Pois o Senhor, Javé dos Exércitos, é aquele que toca a terra e ela derrete, e todos os que nela habitam lamentarão; e ela se levantará totalmente como o rio, e afundará novamente, como o rio do Egito.
Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, yeye agusaye dunia nayo ikayeyuka, na wote wakaao ndani mwake wakaomboleza: nayo nchi yote huinuka kama Naili, kisha hushuka kama mto wa Misri;
6 É aquele que constrói seus quartos nos céus, e fundou sua abóbada na terra; é aquele que clama pelas águas do mar, e as derrama sobre a superfície da terra - Yahweh é seu nome.
yeye ambaye hujenga jumba lake la kifalme katika mbingu na kuisimika misingi yake juu ya dunia, yeye aitaye maji ya bahari na kuyamwaga juu ya uso wa nchi: Bwana ndilo jina lake.
7 Não são vocês como os filhos dos etíopes para mim, filhos de Israel?” diz Yahweh. “Eu não trouxe Israel da terra do Egito, e os filisteus de Caphtor, e os sírios de Kir?
“Je, Waisraeli, ninyi si sawa kwangu kama Wakushi?” asema Bwana. “Je, sikuleta Israeli kutoka Misri, Wafilisti kutoka Kaftori, na Washamu kutoka Kiri?
8 Eis que os olhos do Senhor Javé estão sobre o reino pecaminoso, e eu o destruirei da superfície da terra, exceto que não destruirei totalmente a casa de Jacó”, diz Javé.
“Hakika macho ya Bwana Mwenyezi yako juu ya ufalme wenye dhambi. Nami nitauangamiza kutoka kwenye uso wa dunia: hata hivyo sitaiangamiza kabisa nyumba ya Yakobo,” asema Bwana.
9 “Pois eis que eu mandarei, e peneirarei a casa de Israel entre todas as nações como se peneiram grãos em uma peneira, mas não cairá o menor grão sobre a terra”.
“Kwa kuwa nitatoa amri, na nitaipepeta nyumba ya Israeli miongoni mwa mataifa yote, kama vile nafaka ipepetwavyo katika ungo, na hakuna hata punje moja itakayoanguka chini.
10 Todos os pecadores de meu povo morrerão pela espada, que dizem: 'O mal não nos alcançará nem nos encontrará'.
Watenda dhambi wote miongoni mwa watu wangu watauawa kwa upanga, wale wote wasemao, ‘Maafa hayatatupata wala kutukuta.’
11 Nesse dia levantarei a tenda de David que caiu e fecharei suas brechas, e levantarei suas ruínas, e a construirei como nos velhos tempos,
“Katika siku ile nitaisimamisha hema ya Daudi iliyoanguka. Nitakarabati mahali palipobomoka na kujenga upya magofu yake, na kuijenga kama ilivyokuwa awali,
12 para que eles possam possuir o remanescente de Edom e todas as nações que são chamadas pelo meu nome”, diz Yahweh que faz isso.
ili wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu, na mataifa yote yale yanayobeba Jina langu,” asema Bwana ambaye atafanya mambo haya.
13 “Eis que os dias vêm”, diz Yahweh, “que o lavrador deve ultrapassar o ceifeiro”, e o que pisa uvas aquele que semeia sementes; e o vinho doce vai pingar das montanhas, e fluem das colinas.
“Siku zinakuja,” asema Bwana, “wakati mvunaji atatanguliwa na mkulima, naye mpanzi atatanguliwa na yeye akamuaye zabibu. Divai mpya itadondoka kutoka milimani, na kutiririka kutoka vilima vyote.
14 Vou trazer meu povo Israel de volta do cativeiro, e eles reconstruirão as cidades arruinadas, e as habitarão; e eles plantarão vinhedos e beberão vinho deles. Eles também devem fazer jardins, e comer suas frutas.
Nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa; wataijenga tena miji iliyoachwa magofu, nao wataishi ndani mwake. Watapanda mizabibu na kunywa divai yake; watalima bustani na kula matunda yake.
15 Eu os plantarei em suas terras, e eles não serão mais arrancados de suas terras que eu lhes dei”. diz Yahweh seu Deus.
Nitaipanda Israeli katika nchi yao wenyewe, hawatangʼolewa tena kutoka nchi ambayo nimewapa,” asema Bwana Mungu wenu.

< Amós 9 >