< Amós 5 >

1 Ouça esta palavra que eu tomo por lamentação sobre você, ó casa de Israel:
Sikia neno hili, ee nyumba ya Israeli, ombolezo hili ninalifanya kuwahusu ninyi:
2 “A virgem de Israel caiu; Ela não deve mais se levantar. Ela é lançada em suas terras; não há ninguém para levantá-la”.
“Bikira Israeli ameanguka, kamwe hatainuka tena, ameachwa pweke katika nchi yake, hakuna yeyote wa kumwinua.”
3 Para o Senhor Yahweh diz: “A cidade que saiu mil terá uma centena, e o que saiu cem terá dez para a casa de Israel”.
Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “Wakati mmoja wa miji yako utakapopeleka watu elfu moja vitani kwa ajili ya Israeli, mia moja tu watarudi; wakati mji utakapopeleka mia moja, kumi tu ndio watarudi hai.”
4 Para Yahweh diz à casa de Israel: “Procure-me, e você viverá”;
Hili ndilo Bwana asemalo kwa nyumba ya Israeli: “Nitafuteni mpate kuishi;
5 mas não procure a Betel, nem entrar em Gilgal, e não passe para Beersheba; para Gilgal certamente irá para o cativeiro, e Betel não dará em nada.
msitafute Betheli, msiende Gilgali, msisafiri kwenda Beer-Sheba. Kwa maana kwa hakika Gilgali itakwenda uhamishoni, na Betheli itafanywa kuwa si kitu.”
6 Procure Yahweh, e você viverá, para que ele não irrompa como fogo na casa de José, e devora, e não há ninguém para saciá-la em Betel.
Mtafuteni Bwana mpate kuishi, au atafagia nyumba ya Yosefu kama moto; utawateketeza, nayo Betheli haitakuwa na yeyote wa kuuzima.
7 Você que faz justiça à madeira de minhoca, e lançar a justiça para a terra!
Ninyi ambao mnageuza haki kuwa uchungu na kuiangusha haki chini
8 Seek aquele que fez as Plêiades e Orion, e transforma a sombra da morte na manhã, e faz o dia escurecer com a noite; que clama pelas águas do mar, e os derrama sobre a superfície da terra, Yahweh é seu nome,
(yeye ambaye alifanya Kilimia na Orioni, ambaye hugeuza giza kuwa mapambazuko na mchana kuwa usiku, ambaye huyaita maji ya bahari na kuyamwaga juu ya uso wa nchi: Bwana ndilo jina lake;
9 who traz destruição súbita para os fortes, para que a destruição venha sobre a fortaleza.
yeye hufanya maangamizo kwenye ngome na kufanya mji uliozungushiwa ngome kuwa ukiwa),
10 Eles odeiam aquele que se reprova no portão, e abominam aquele que fala sem culpa.
mnamchukia yule akemeaye mahakamani, na kumdharau yule ambaye husema kweli.
11 Portanto, porque você pisoteia os pobres e lhe retira impostos sobre o trigo, você construiu casas de pedra cortada, mas não vai morar nelas. Você plantou vinhedos agradáveis, mas você não deve beber o vinho deles.
Mnamgandamiza maskini na kumlazimisha awape nafaka. Kwa hiyo, ingawa mmejenga majumba ya mawe ya fahari, hamtaishi ndani yake; ingawa mmepanda mashamba mazuri ya mizabibu, hamtakunywa divai yake.
12 Pois eu sei quantos são suas ofensas, e como são grandes seus pecados... você que aflige os justos, que aceitam um suborno, e que afastam os necessitados nos tribunais.
Kwa kuwa ninajua hesabu ya makosa yenu na ukubwa wa dhambi zenu. Mmewaonea wenye haki na kupokea rushwa na kuzuia haki ya maskini mahakamani.
13 Portanto, uma pessoa prudente se mantém em silêncio em tal momento, pois é um momento maligno.
Kwa hiyo mtu mwenye busara hunyamaza kimya nyakati kama hizo, kwa kuwa nyakati ni mbaya.
14 Procure o bem, e não o mal, que você possa viver; e assim Yahweh, o Deus dos Exércitos, estará com você, como você diz.
Tafuteni mema, wala si mabaya, ili mpate kuishi. Ndipo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote atakuwa pamoja nanyi, kama msemavyo yupo nanyi.
15 Odiar o mal, amar o bem, e estabelecer a justiça nos tribunais. Pode ser que Yahweh, o Deus dos Exércitos, seja gracioso com o remanescente de José”.
Yachukieni maovu, yapendeni mema; dumisheni haki mahakamani. Yamkini Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote atawahurumia mabaki ya Yosefu.
16 Portanto Yahweh, o Deus dos Exércitos, o Senhor, diz: “Lamentar será em todos os sentidos. Eles dirão em todas as ruas: “Ai de mim! Ai de mim! Eles chamarão o fazendeiro para o luto, e aqueles que são habilidosos em lamentações para lamentar.
Kwa hiyo hili ndilo Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, asemalo: “Kutakuwepo maombolezo katika barabara zote na vilio vya uchungu katika njia kuu zote. Wakulima wataitwa kuja kulia, na waombolezaji waje kuomboleza.
17 Em todos os vinhedos haverá pranto, pois vou passar pelo meio de vocês”, diz Yahweh.
Kutakuwepo kuomboleza katika mashamba yote ya mizabibu, kwa kuwa nitapita katikati yenu,” asema Bwana.
18 “Woe to you who desire the day of Yahweh! Por que você anseia pelo dia de Yahweh? É a escuridão, e não leves.
Ole wenu ninyi mnaoitamani siku ya Bwana! Kwa nini mnaitamani siku ya Bwana? Siku hiyo itakuwa giza, si nuru.
19 Como se um homem fugisse de um leão, e um urso o conheceu; ou ele entrou na casa e encostou sua mão na parede, e uma cobra o mordeu.
Itakuwa kama vile mtu aliyemkimbia simba kumbe akakutana na dubu, kama vile mtu aliyeingia nyumbani mwake na kuupumzisha mkono wake kwenye ukuta, kumbe akaumwa na nyoka.
20 O dia de Yahweh não será escuridão, e não luz? Mesmo muito escuro, e sem brilho nele?
Je, siku ya Bwana haitakuwa giza, na si nuru: giza nene, bila mwonzi wa mwanga?
21 Eu odeio, eu desprezo suas festas, e eu não suporto suas assembléias solenes.
“Ninachukia, ninazidharau sikukuu zenu za dini; siwezi kuvumilia makusanyiko yenu.
22 Sim, embora você me ofereça suas ofertas de queimados e de refeições, Não vou aceitá-los; nem considerarei as ofertas de paz de seus animais gordos.
Hata ingawa mnaniletea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka za nafaka, sitazikubali. Ingawa mnaniletea sadaka nzuri za amani, sitazitambua.
23 Tire de mim o barulho de suas canções! Não vou ouvir a música de suas harpas.
Niondoleeni kelele za nyimbo zenu! Sitasikiliza sauti za vinubi vyenu.
24 Mas deixe a justiça rolar como rios, e retidão como uma corrente poderosa.
Lakini acheni haki itiririke kama mto, na uadilifu uwe kama kijito kisichokauka!
25 “Você trouxe para mim sacrifícios e ofertas no deserto durante quarenta anos, casa de Israel?
“Je, mliniletea dhabihu na sadaka kwa miaka arobaini kule jangwani, ee nyumba ya Israeli?
26 Vós também levastes a tenda de vosso rei e o santuário de vossas imagens, a estrela de vosso deus, que fizestes para vós mesmos.
Mmeyainua madhabahu ya mfalme wenu, Sikuthi mungu wenu mtawala, na Kiuni mungu wenu wa nyota, ambao mliwatengeneza wenyewe.
27 Portanto, eu vos farei ir em cativeiro para além de Damasco”, diz Javé, cujo nome é o Deus dos Exércitos.
Kwa sababu hiyo nitawapeleka uhamishoni mbali kupita Dameski,” asema Bwana, ambaye jina lake ni Mungu Mwenye Nguvu Zote.

< Amós 5 >