< 2 Samuel 15 >
1 Depois disso, Absalom preparou uma carruagem e cavalos para si mesmo, e cinqüenta homens para correr diante dele.
Ikawa baada ya haya Absalomu akaandaa gari la farasi na farasi kwa ajili yake pamoja na watu hamsini wa kwenda mbele zake.
2 Absalom levantou-se cedo, e ficou ao lado do caminho do portão. Quando qualquer homem tinha um processo que deveria vir ao rei para julgamento, então Absalão chamou-o e disse: “De que cidade você é?”. Ele disse: “Seu servo é de uma das tribos de Israel”.
Absalomu alikuwa akiamka mapema na kusimama kando ya njia iliyoelekea katika lango la mji. Mtu yeyote aliyekuwa na shauri la kuja kwa mfalme kwa ajili ya hukumu, Absalomu alimwita na kumwuliza, “Unatoka mji upi?” Na mtu yule hujibu, Mtumishi wako anatoka mojawapo ya kabila za Israeli.”
3 Absalom disse a ele: “Eis que seus assuntos são bons e corretos; mas não há nenhum homem deputizado pelo rei para ouvi-lo”.
Hivyo Absalomu umwambia, “Tazama, shitaka lako ni jema na la haki, lakini hakuna aliyepewa mamlaka na mfalme kusikiliza shitaka lako.
4 Absalom disse ainda: “Oh, que eu fui feito juiz na terra, que todo homem que tem algum processo ou causa pudesse vir a mim, e eu lhe faria justiça!”
Absalomu uongeza, “Natamani kwamba ningefanywa mwamzi ndani ya nchi ili kwamba kila mtu aliye na shitaka angeweza kuja kwangu nami ningempa haki.
5 Foi assim, que quando qualquer homem se aproximou para se curvar diante dele, ele estendeu sua mão, pegou-o e o beijou.
Hivyo ikawa kila mtu aliyekuja kumweshimu Absalomu yeye hunyosha mkono na kumshika na kumbusu.
6 Absalão fez este tipo de coisa a todo Israel que veio ao rei para ser julgado. Então Absalão roubou os corações dos homens de Israel.
Absalomu alifanya hivi kwa Israeli wote waliokuja kwa mfalme kwa ajili ya hukumu. Hivyo Absalomu akaipotosha mioyo ya watu wa Israeli.
7 Ao final de quarenta anos, Absalom disse ao rei: “Por favor, deixe-me ir e pagar meu voto, que eu prometi a Javé, em Hebron.
Ikawa mwishoni mwa miaka minne Absalomu akamwambia mfalme, “Tafadhari niruhusu niende ili nitimize nadhiri niliyoiweka kwa Yahwe huko Hebroni.
8 Por seu servo fez um voto enquanto eu ficava em Geshur, na Síria, dizendo: “Se Javé me trouxer de fato a Jerusalém, então eu servirei a Javé”.
Kwa maana mtumishi wako aliweka nadhiri alipokuwako Geshuri katika Shamu akisema, 'Ikiwa Yahwe kweli atanirejesha Yerusalemu, ndipo nitamwabudu yeye.”
9 O rei lhe disse: “Vá em paz”. Então, ele se levantou e foi para Hebron.
Hivyo mfalme akamwambia, “Nenda kwa amani”. Absalomu akainuka na kwenda Hebroni.
10 Mas Absalom enviou espiões por todas as tribos de Israel, dizendo: “Assim que ouvirdes o som da trombeta, direis: 'Absalom é rei em Hebron!
Kisha Absalomu akatuma wapelelezi katika jamaa zote za Israeli, kusema, “Mara msikiapo sauti ya tarumbeta semeni, 'Absalomu anatawala katika Hebroni.”
11 Duzentos homens foram com Absalom para fora de Jerusalém, que foram convidados, e foram em sua simplicidade; e não sabiam de nada.
Watu mia mbili waliokuwa wamearikwa kutoka Yerusalemu wakaenda na Absalomu. Wakaenda katika ujinga wao bila kujua Absalomu alichokipanga. Wakati
12 Absalom mandou chamar Ahithophel, o Gilonita, conselheiro de David, de sua cidade, até mesmo de Giloh, enquanto ele estava oferecendo os sacrifícios. A conspiração era forte, pois o povo aumentava continuamente com Absalom.
Absalomu akitoa dhabihu, alituma watu kwa Ahithofeli katika mji wake huko Gilo. Yeye alikuwa mshauri wa Daudi. Uaini wa Absalomu ukawa na nguvu kwa kuwa watu waliomfuata waliendelea kuongezeka.
13 Um mensageiro veio a Davi, dizendo: “Os corações dos homens de Israel estão atrás de Absalom”.
Mjumbe akaja kwa Daudi na kusema, “Mioyo ya watu wa Israeli inaambatana na Absalomu.”
14 David disse a todos os seus servos que estavam com ele em Jerusalém: “Levantai-vos! Vamos fugir, ou então nenhum de nós escapará de Absalão. Apresse-se para partir, para que ele não nos ultrapasse rapidamente e derrube o mal sobre nós, e atinja a cidade com o fio da espada”.
Hivyo Daudi akawambia watumishi wake waliokuwa pamoja naye huko Yerusalemu, “Haya na tuinuke na kukimbia kwani hakuna hata mmoja atakayesalimika kwa Absalomu. Jiandaeni kuondoka mara moja asije akatupata mara hata akasababisha madhara juu yetu na kuushambulia mji kwa makali ya upanga.”
15 Os servos do rei disseram ao rei: “Eis que seus servos estão prontos para fazer o que meu senhor, o rei, escolher”.
Watumishi wa mfalme wakamwambia, “Tazama, watumishi wako wapo tiyari kufanya lolote bwana wetu mfalme atakaloamua.
16 O rei saiu, e toda sua casa atrás dele. O rei deixou dez mulheres, que eram concubinas, para manter a casa.
Mfalme akaondoka na familia yake yote pamoja naye, lakini mfalme akawaacha wanawake kumi waliokuwa masuria wa mfalme ili walitunze kasri.
17 O rei saiu, e todas as pessoas atrás dele; e elas ficaram em Beth Merhak.
Baada ya mfalme kwenda na watu wote pamoja naye, wakasimama katika nyumba ya mwisho.
18 Todos os seus servos passaram ao seu lado; e todos os queretitas, e todos os peletitas, e todos os gittitas, seiscentos homens que vieram depois dele de Gate, passaram diante do rei.
Jeshi lake lote likaenda pamoja naye na mbele yake wakaenda Wakerethi na Wapelethi, na Wagiti mia sita wote waliokuwa wamemfuata kutoka Gathi.
19 Então o rei disse a Ittai, o Gittita: “Por que você também vai conosco? Volte e fique com o rei, pois você é um estrangeiro e também um exilado. Volte para o seu próprio lugar.
Kisha mfalme akamwambia Itai Mgiti, “Kwa nini wewe pia uende nasi? Rudi na ukae na mfalme Absalomu kwa kuwa wewe ni mgeni tena mfungwa. Rudi mahali pako mwenyewe.
20 Whereas você veio mas ontem, devo hoje fazer você subir e descer conosco, já que vou onde posso? Volte, e leve seus irmãos de volta. Misericórdia e verdade estejam com você”.
Kwani ni jana tu umeondoka, kwa nini nikufanye uzunguke nasi popote? Hata sijui niendako. Hivyo rudi pamoja na wenzako. Utiifu na uaminifu viambatane nawe.”
21 Ittai respondeu ao rei e disse: “Como Yahweh vive, e como meu senhor o rei vive, certamente em que lugar meu senhor o rei está, seja para a morte ou para a vida, seu servo também estará lá”.
Lakini Itai akamjibu mfalme na kusema, “Kama Yahwe aishivyo na kama bwana wangu mfalme aishivyo, kwa hakika mahali popote bwana wangu mfalme aendako, mtumishi wako pia ndipo atakapokwenda, kwamba ni maisha au kifo.”
22 David disse ao Ittai: “Vá e passe por cima”. Ittai o Gittita passou por cima, e todos os seus homens, e todos os pequenos que estavam com ele.
Hivyo Daudi akamwambia Itai, haya tangulia uende pamoja nasi.” Hivyo Itai Mgiti akaenda pamoja na mfalme, pamoja na watu wake wote na familia zao zote.
23 Todo o país chorou com voz alta e todas as pessoas passaram para o outro lado. O próprio rei também passou sobre o riacho Kidron, e todo o povo passou em direção ao caminho do deserto.
Nchi yote ikalia kwa sauti kadili watu walivyokuwa wakivuka Bonde la Kidroni, mfalme naye pia akavuka. Watu wote wakasafiri kuelekea nyikani.
24 Eis que Zadoque também veio, e todos os levitas com ele, levando a arca da aliança de Deus; e puseram a arca de Deus; e Abiatar subiu até que todo o povo terminou de passar para fora da cidade.
Walikuwepo pia Sadoki pamoja na Walawi wote wamebeba sanduku la Mungu la agano. Wakaliweka sanduku la Mungu chini na kisha Abiathari akaungana nao. Wakasubiri mpaka watu wote walioondoka mjini walipokwisha kupita.
25 O rei disse a Zadok: “Carreguem a arca de Deus de volta para a cidade. Se eu encontrar favor aos olhos de Iavé, Ele me trará novamente, e me mostrará tanto ela quanto sua habitação;
Mfalme akamwambia Sadoki, “Ulirudishe sanduku la Mungu mjini. Ikiwa nitaona neema machoni pa Yahwe atanirudisha na kunionesha tena sanduku na mahali likaapo.
26 mas se Ele disser, 'não tenho prazer em você', eis que aqui estou eu. Deixe-o fazer comigo o que lhe parece bom”.
Lakini ikiwa atasema, sipendezwi nawe,' tazama mimi nipo hapa, na anitendee yaliyo mema machoni pake.”
27 O rei disse também ao sacerdote Zadok: “Você não é um vidente? Volte para a cidade em paz, e seus dois filhos com você, Ahimaaz seu filho e Jonathan o filho de Abiathar”.
Pia mfalme akamwambia Sadoki kuhani, “Je wewe siyo mwonaji? Rudi mjini kwa amani na wanao wawili, Ahimaazi mwanao na Yonathani mwana wa Abiathari.
28 Eis que eu ficarei nos vaus do deserto até que venha a notícia de você para me informar”.
Tazama nitasubiri katika vivuko vya Araba mpaka nitakapo pata neno kutoka kwenu kunitaarifu.”
29 Zadok, portanto, e Abiatar levaram a arca de Deus a Jerusalém novamente; e lá permaneceram.
Hivyo Sadoki na Abiathari wakalirudish sanduku la Mungu Yerusalemu nao wakakaa humo.
30 Davi subiu pela subida do Monte das Oliveiras, e chorou ao subir; e tinha a cabeça coberta e andava descalço. Todas as pessoas que estavam com ele cobriram sua cabeça, e subiram, chorando enquanto subiam.
Lakini Daudi akaenda bila viatu huku akilia hata Mlima wa Mizeituni, naye alikuwa amefunika kichwa chake. Kila mtu miongoni mwao waliokuwa pamoja naye akafunika kichwa chake, nao wakaenda huku wakilia.
31 Someone disse a David, dizendo: “Ahithophel está entre os conspiradores com Absalom”. David disse: “Yahweh, por favor, transforme o conselho de Ahithophel em tolice”.
Mtu mmoja akamwambia Daudi kusema, Ahithofeli ni miongoni mwa waaini walio pamoja na Absalomu.” Hivyo Daudi akaomba, “Ee Yahwe, tafadhari badili ushauri wa Ahithofeli kuwa upumbavu.”
32 Quando Davi chegou ao topo, onde Deus era adorado, eis que Hushai, o Arquiteto, veio ao seu encontro com sua túnica rasgada e terra sobre sua cabeça.
Ikawa Daudi alipofika juu njiani mahala Mungu alipokuwa akiabudiwa, Hushai Mwarki akaja kumlaki vazi lake limeraruliwa na mavumbi kichwani pake.
33 David lhe disse: “Se você passar comigo, então será um fardo para mim;
Daudi akamwambia, “Ikiwa utaenda nami utakuwa mzigo kwangu.
34 mas se você voltar à cidade, e disser a Absalão: 'Eu serei seu servo, ó rei'. Como fui servo de seu pai no passado, então serei agora seu servo; então você derrotará para mim o conselho de Ahithophel”.
Lakini ukirudi mjini na kumwambia Absalomu, 'Nitakuwa mtumishi wa mfalme kama nilivokuwa mtumishi wa baba yako, ndivyo nitakavyokuwa mtumishi wako,' ndipo utayageuza mashauri ya Ahithofeli kwa ajili yangu.
35 Você não tem Zadok e Abiathar, os sacerdotes, lá com você? Portanto, o que quer que você ouça fora da casa do rei, diga isso a Zadok e Abiathar, os sacerdotes.
Je haunao pamoja nawe Sadoki na Abiathari makuhani? Hivyo chochote ukisikiacho katika kasri, uwaambie Sadoki na Abiathari makuhani.
36 Eis que eles têm lá com eles seus dois filhos, Ahimaaz, filho de Zadok, e Jonathan, filho de Abiathar. Enviai-me tudo o que ouvirdes por eles”.
Tazama wanao pamoja nao wana wao wawili, Ahimaasi, mwana wa Sadoki, na Yonathani mwana wa Abiathari. Mniletee habari juu ya kila mnachokisikia.”
37 Então Hushai, amigo de David, veio à cidade; e Absalom veio a Jerusalém.
Hivyo Hushai, rafiki wa Daudi, akaja mjini wakati Absalomu anafika na kuingia Yerusalemu.