< 1 Samuel 19 >

1 Saul falou com Jonathan, seu filho, e com todos os seus servos, para que matassem David. Mas Jônatas, filho de Saul, ficou muito contente com Davi.
Sauli akamwambia Yonathani mwanawe na watumishi wake wote kwamba wanapaswa kumuua Daudi. Lakini Yonathani, mwana wa Sauli, alitamani sana akae na Daudi.
2 Jonathan disse a David, dizendo: “Saul, meu pai, procura matar você. Agora, portanto, por favor, cuide de si mesmo pela manhã, viva em um lugar secreto, e esconda-se.
Hivyo Yonathani akamwambia Daudi, “Baba yangu Sauli anatafuta kukuua. Kwa hiyo uwe macho wakati wa asubuhi na jifiche mahali pa siri.
3 Vou sair e ficar ao lado de meu pai no campo onde você está, e falarei com meu pai sobre você; e se eu vir alguma coisa, eu lhe direi”.
Nami nitatoka nje na kusimama kando ya baba yangu huko shambani uliko wewe, na nitazungumza na baba yangu kuhusu wewe. Kama nikijua jambo lolote nitakuambia.”
4 Jonathan falou bem de Davi a Saul, seu pai, e lhe disse: “Não deixe o rei pecar contra seu servo, contra Davi; porque ele não pecou contra você, e porque suas obras têm sido muito boas para você;
Yonathani alimsifia Daudi mbele ya Sauli baba yake akisema, “Mfalme asije akafanya dhambi dhidi ya mtumishi wake Daudi. Maana yeye hajakutenda dhambi, mambo aliyofanya yamekusaidia sana.
5 pois ele colocou sua vida na mão e golpeou o filisteu, e Javé trabalhou uma grande vitória para todo Israel. Vós o vistes e vos regozijastes. Por que então pecareis contra o sangue inocente, para matar David sem uma causa”?
Maana alijitoa maisha yake na kumuua yule Mfilisti, naye BWANA akawaletea Waisraeli wote wokovu mkuu. Tena uliuona na kufurahi. Kwa nini utende dhambi juu damu isiyo na hatia kwa kumuua Daudi bila sababu?”
6 Saul ouviu a voz de Jonathan; e Saul jurou: “Como Yahweh vive, ele não será morto”.
Sauli alimsikiliza Yonathani. Sauli akaapa, “Kama BWANA aishivyo, Yonathani hatauawa.”
7 Jonathan ligou para David, e Jonathan lhe mostrou todas essas coisas. Então Jonathan trouxe Davi a Saul, e ele estava em sua presença como antes.
Ndipo Yonathani akamwita Daudi na kumwambia mambo hayo yote. Na Yonathani akamleta Daudi kwa Sauli, naye Daudi akawa mbele zake kama zamani.
8 Houve novamente uma guerra. David saiu e lutou com os filisteus, e os matou com uma grande matança; e eles fugiram diante dele.
Baadaye kukawa na vita tena. Daudi akatoka na kupigana na Wafilisti na kuwashinda kwa mauaji makubwa mno. Nao wakakimbia mbele yake.
9 Um espírito maligno de Javé estava sobre Saul quando ele estava sentado em sua casa com sua lança na mão; e David estava tocando música com sua mão.
Yule roho wa ubaya kutoka kwa BWANA ikamjia Sauli alipokuwa ameketi nyumbani mwake na mkuki mkononi mwake, na Daudi akiwa anapiga chombo chake.
10 Saul tentou prender Davi à parede com a lança, mas ele escapou da presença de Saul; e ele enfiou a lança na parede. Davi fugiu e escapou naquela noite.
Sauli alijaribu kumpigilia Daudi ukutani kwa mkuki wake, lakini akaponyoka kutoka machoni pake, na kwamba Sauli akashindilia mkuki ndani ya ukuta. Daudi alikimbia na kutoroka usiku huo.
11 Saul enviou mensageiros à casa de Davi para vigiá-lo e matá-lo pela manhã. Michal, esposa de David, disse-lhe, dizendo: “Se você não salvar sua vida esta noite, amanhã você será morto”.
Bado Sauli aliwatuma wajumbe nyumbani kwa Daudi wamvizie kusudi aweze kumuua asubuhi. Mkewe Daudi, Mikali, akamwambia, “Usipoyaokoa maisha yako usiku huu, kesho utauwawa.”
12 Então Michal decepcionou David através da janela. Ele foi embora, fugiu, e escapou.
Hivyo Mikali akamteremsha Daudi kupita dirishani. Naye akaenda, akakimbia na kutoroka.
13 Michal pegou o terapeuta e o colocou na cama, colocou uma almofada de cabelo de cabra em sua cabeça e o cobriu com roupas.
Mikali alichukua kinyago na kukilaza juu ya kitanda. Kisha akaweka mto wa singa za mbuzi kichwani pake, na akakifunika na nguo.
14 Quando Saul enviou mensageiros para levar David, ela disse: “Ele está doente”.
Sauli alipowatuma wajumbe kumchukua Daudi, mkewe akasema, “Daudi ni mgonjwa.”
15 Saul enviou os mensageiros para ver David, dizendo: “Tragam-no até mim na cama, para que eu possa matá-lo”.
Kisha Sauli akawatuma wajumbe kumtazama; akisema, “Mleteni kwangu akiwa kitandani, ili nimuue.”
16 Quando os mensageiros entraram, eis que o terapeuta estava na cama, com o travesseiro de cabelo de cabra na cabeça.
Wale wajumbe walipoingia ndani, tazama, kile kinyago kilikuwa kitandani pamoja na mto wa singa za mbuzi kichwani.
17 Saul disse a Michal: “Por que você me enganou desta maneira e deixou meu inimigo ir, para que ele escapasse”? Michal respondeu a Saul: “Ele me disse: 'Deixe-me ir! Por que eu deveria matá-lo”?”
Sauli akamuuliza Mikali, “Kwa nini umenidanganya na kumwachilia adui yangu aende, na tena ametoroka?” Mikali akamjibu Sauli, “Aliniambia, 'Acha niende. Kwa nini nikuuwe?”'
18 Agora David fugiu e escapou, e foi ter com Samuel em Ramah, e contou-lhe tudo o que Saul lhe havia feito. Ele e Samuel foram e viveram em Naioth.
Basi Daudi akakimbia na kutoroka, na akaenda kwa Samweli huko Rama na kumweleza yote ambayo Sauli amemtendea. Ndipo yeye na Samweli wakaenda na kukaa Nayothi.
19 Saul foi informado, dizendo: “Eis que Davi está em Naioth, em Ramah”.
Naye Sauli akaambiwa kwamba, “Tazama, Daudi yuko huko Nayothi iliyoko Rama.”
20 Saul enviou mensageiros para apreender Davi; e quando viram a companhia dos profetas profetizando, e Samuel em pé como cabeça sobre eles, o Espírito de Deus veio sobre os mensageiros de Saul, e eles também profetizaram.
Kisha Sauli akawatuma wajumbe kumkamata Daudi. Nao walipowaona kundi la manabii wakitabiri, na Samweli akisimama kama kiongozi wao, Roho wa Mungu akawaingia wale wajumbe wa Sauli, nao pia wakatabiri.
21 Quando Saul foi informado, ele enviou outros mensageiros, e eles também profetizaram. Saul enviou mensageiros novamente pela terceira vez, e eles também profetizaram.
Sauli alipoambiwa hivyo, akawatuma wajumbe wengine, nao pia wakatabiri. Basi Sauli aliwatuma tena wajumbe kwa mara ya tatu, na hao pia wakatabiri.
22 Então ele também foi a Ramah, e veio ao grande poço que está em Secu: e perguntou: “Onde estão Samuel e David? Um disse: “Eis que eles estão em Naioth em Ramah”.
Kisha naye akaenda Rama na kufika katika kisima kirefu kilichoko huko Seku. Akauliza, “Samweli na Daudi wako wapi?” Mtu mmoja akasema, “Angalia, Wako Nayothi huko Rama.”
23 Ele foi lá para Naioth em Ramah. Então o Espírito de Deus veio sobre ele também, e ele continuou, e profetizou, até chegar a Naioth, em Ramah.
Hivyo Sauli akaenda Nayothi huko Rama. Ndipo Roho wa Mungu pia akaja juu yake, naye alipokuwa akienda alitabiri, hadi alipofika Nayothi huko Rama.
24 Ele também despiu suas roupas. Também profetizou diante de Samuel e deitou-se nu todo aquele dia e toda aquela noite. Portanto, eles dizem: “Saul também está entre os profetas?
Na yeye pia, alirarua mavazi yake, naye pia akatabiri mbele ya Samweli siku hiyo akilala uchi mchana kutwa na usiku kucha. Kwa sababu ya jambo hili, watu husema, “Je, Sauli pia ni miongoni mwa manabii?”

< 1 Samuel 19 >