< 1 Reis 3 >
1 Salomão fez uma aliança matrimonial com o Faraó, rei do Egito. Ele tomou a filha do Faraó e a trouxe para a cidade de Davi até terminar de construir sua própria casa, a casa de Javé e o muro ao redor de Jerusalém.
Solomoni akafanya urafiki na Mfalme Farao wa Misri na kumwoa binti yake. Akamleta huyo binti katika Mji wa Daudi mpaka alipomaliza kujenga jumba lake la kifalme na Hekalu la Bwana, pamoja na ukuta kuzunguka Yerusalemu.
2 Entretanto, o povo se sacrificou nos lugares altos, porque ainda não havia uma casa construída para o nome de Iavé.
Hata hivyo, watu bado walikuwa wakitoa dhabihu huko kwenye vilima, kwa sababu Hekalu lilikuwa bado halijajengwa kwa ajili ya Jina la Bwana.
3 Salomão amava Iavé, andando nos estatutos de Davi, seu pai, exceto que ele sacrificava e queimava incenso nos lugares altos.
Solomoni akaonyesha upendo wake kwa Bwana kwa kuenenda sawasawa na amri za Daudi baba yake, ila yeye alitoa dhabihu na kufukiza uvumba huko mahali pa juu.
4 O rei foi a Gibeon para sacrificar lá, pois aquele era o grande lugar alto. Salomão ofereceu mil holocaustos sobre aquele altar.
Mfalme akaenda Gibeoni kutoa dhabihu, kwa maana ndipo palipokuwa mahali pa juu pa kuabudia, naye Solomoni akatoa sadaka elfu moja za kuteketezwa juu ya hayo madhabahu.
5 Em Gibeon, Javé apareceu a Salomão em um sonho à noite; e Deus disse: “Pede o que eu te devo dar”.
Bwana akamtokea Solomoni huko Gibeoni wakati wa usiku katika ndoto, naye Mungu akasema, “Omba lolote utakalo nikupe.”
6 Salomão disse: “Você demonstrou ao seu servo David, meu pai, grande bondade amorosa, porque ele caminhou diante de você em verdade, em retidão, e em retidão de coração com você. Guardastes para ele esta grande bondade amorosa, que lhe deste um filho para sentar-se em seu trono, como é hoje”.
Solomoni akajibu, “Umemfanyia mtumishi wako, baba yangu Daudi, fadhili nyingi, kwa kuwa alikuwa mwaminifu kwako na mwenye haki, tena mnyofu wa moyo. Nawe umemzidishia fadhili hii kuu kwani umempa mwana wa kuketi kwenye kiti chake cha ufalme, kama ilivyo leo.
7 Agora, Javé meu Deus, você fez de seu servo rei em vez de Davi meu pai. Eu sou apenas uma criança pequena. Eu não sei como sair ou entrar.
“Sasa, Ee Bwana Mungu wangu, umemfanya mtumishi wako mfalme badala ya baba yangu Daudi. Lakini mimi ni mtoto mdogo tu, wala sijui jinsi ya kutekeleza wajibu wangu.
8 Seu servo está entre o seu povo que você escolheu, um grande povo, que não pode ser numerado ou contado por multidões.
Mtumishi wako yuko hapa miongoni mwa watu uliowachagua: taifa kubwa, watu wengi wasioweza kuhesabika wala kutoa idadi yao.
9 Portanto, dê a seu servo um coração compreensivo para julgar seu povo, para que eu possa discernir entre o bem e o mal; pois quem é capaz de julgar esse seu grande povo?”.
Hivyo mpe mtumishi wako moyo wa ufahamu ili kutawala watu wako na kupambanua kati ya mema na mabaya. Kwa maana, ni nani awezaye kutawala watu wako hawa walio wengi hivi?”
10 Este pedido agradou ao Senhor, que Salomão tinha pedido esta coisa.
Bwana akapendezwa kwamba Solomoni ameliomba jambo hili.
11 Deus lhe disse: “Porque você pediu isto, e não pediu para si mesmo uma vida longa, nem pediu riquezas para si mesmo, nem pediu a vida de seus inimigos, mas pediu para si mesmo compreensão para discernir a justiça,
Basi Mungu akamwambia, “Kwa kuwa umeomba neno hili na hukuomba maisha marefu au upate utajiri kwa nafsi yako, wala adui zako wafe, bali umeomba ufahamu katika kutoa haki,
12 eis que eu fiz de acordo com sua palavra. Eis que eu te dei um coração sábio e compreensivo, para que não houvesse ninguém como tu antes de ti, e depois de ti ninguém se levantará como tu.
nitafanya lile uliloomba. Nitakupa moyo wa hekima na wa ufahamu, kiasi kwamba hajakuwepo mtu mwingine kama wewe, wala kamwe hatakuwepo baada yako.
13 Também vos dei aquilo que não pedistes, tanto a riqueza como a honra, para que não haja nenhum entre os reis como vós para todos os vossos dias.
Zaidi ya hayo, nitakupa yale ambayo hukuomba, yaani utajiri na heshima, ili kwamba maisha yako yote hapatakuwa na mtu kama wewe miongoni mwa wafalme.
14 Se você andar nos meus caminhos, para cumprir meus estatutos e meus mandamentos, como andou seu pai David, então eu prolongarei seus dias”.
Nawe kama ukienenda katika njia zangu na kutii sheria na amri zangu kama baba yako Daudi alivyofanya, nitakupa maisha marefu.”
15 Salomão acordou; e eis que era um sonho. Então ele veio a Jerusalém e ficou diante da arca da aliança de Javé, e ofereceu holocaustos, ofereceu ofertas de paz, e fez um banquete para todos os seus servos.
Ndipo Solomoni akaamka, akatambua kuwa ilikuwa ndoto. Akarudi Yerusalemu, akasimama mbele ya Sanduku la Agano la Bwana, naye akatoa dhabihu za kuteketezwa na sadaka za amani. Kisha akawafanyia watumishi wake wote karamu.
16 Então duas mulheres que eram prostitutas vieram ao rei, e se apresentaram diante dele.
Basi wanawake wawili makahaba walikuja kwa mfalme na kusimama mbele yake.
17 A única mulher disse: “Oh, meu senhor, eu e esta mulher moramos em uma casa”. Eu dei à luz uma criança com ela em casa.
Mmojawapo akasema, “Bwana wangu, mimi na mwanamke huyu tunaishi kwenye nyumba moja. Nilikuwa nimezaa alipokuwa pamoja nami.
18 No terceiro dia após o meu parto, esta mulher também deu à luz. Nós estávamos juntos. Não havia nenhum estranho conosco na casa, apenas nós dois na casa.
Siku ya tatu baada ya mtoto wangu kuzaliwa, mwanamke huyu pia naye akazaa mtoto. Tulikuwa peke yetu, hapakuwa na mtu mwingine yeyote katika nyumba isipokuwa sisi wawili.
19 O filho desta mulher morreu durante a noite, porque ela se deitou sobre ele.
“Wakati wa usiku mwana wa huyu mwanamke akafa kwa sababu alimlalia.
20 Ela se levantou à meia-noite, pegou meu filho ao meu lado enquanto sua criada dormia, deitou-o em seu seio, e deitou seu filho morto em meu seio.
Hivyo akaondoka katikati ya usiku na kumchukua mwanangu kutoka ubavuni pangu wakati mimi mtumishi wako nilipokuwa nimelala. Akamweka kifuani mwake na kumweka mwanawe aliyekufa kifuani mwangu.
21 Quando me levantei de manhã para cuidar de meu filho, eis que ele estava morto; mas quando olhei para ele pela manhã, eis que não era meu filho que eu carregava”.
Asubuhi yake, nikaamka ili kumnyonyesha mwanangu, naye alikuwa amekufa! Lakini nilipomwangalia sana katika nuru ya asubuhi, niliona kuwa hakuwa yule mwana niliyekuwa nimemzaa.”
22 A outra mulher disse: “Não! Mas o vivo é meu filho, e o morto é seu filho”. O primeiro disse: “Não! Mas o morto é seu filho, e o vivo é meu filho”. Eles discutiram assim diante do rei.
Huyo mwanamke mwingine akasema, “Hapana! Mwana aliye hai ndiye wangu, aliyekufa ni wako.” Lakini yule wa kwanza akasisitiza, “Hapana! Mwana aliyekufa ni wako, aliye hai ni wangu.” Hivi ndivyo walivyobishana mbele ya mfalme.
23 Então o rei disse: “Um diz: 'Este é meu filho que vive, e seu filho é o morto;' e o outro diz: 'Não! Mas seu filho é o morto, e meu filho é o vivo'”.
Mfalme akasema, “Huyu anasema, ‘Mwanangu ndiye aliye hai, na aliyekufa ndiye mwanao,’ maadamu yule anasema, ‘Hapana! Aliyekufa ni wako, na aliye hai ni wangu.’”
24 O rei disse: “Arranja-me uma espada”. Então eles trouxeram uma espada diante do rei.
Kisha mfalme akasema, “Nileteeni upanga.” Basi wakamletea mfalme upanga.
25 O rei disse: “Divida a criança viva em duas, e dê metade para uma, e metade para a outra”.
Ndipo mfalme akatoa amri: “Mkate mtoto aliye hai vipande viwili; mpe huyu nusu na mwingine nusu.”
26 Então a mulher cujo filho vivo falou com o rei, pois seu coração ansiava por seu filho, e ela disse: “Oh, meu senhor, dê-lhe o filho vivo, e de modo algum mate-o! Mas o outro disse: “Ele não será nem meu nem seu”. Dividam-no”.
Mwanamke ambaye mwanawe alikuwa hai akajawa na huruma kwa ajili ya mwanawe na kumwambia mfalme, “Tafadhali, bwana wangu, mpe yeye mtoto aliye hai! Usimuue!” Lakini yule mwanamke mwingine akasema, “Mkate vipande viwili. Asiwe wangu au wake!”
27 Então o rei respondeu: “Dê à primeira mulher o filho vivo, e definitivamente não o mate”. Ela é sua mãe”.
Kisha mfalme akatoa uamuzi wake: “Mpeni mama wa kwanza mtoto aliye hai. Msimuue; ndiye mama yake.”
28 Todo Israel ouviu falar do julgamento que o rei havia julgado; e temiam o rei, pois viam que a sabedoria de Deus estava nele para fazer justiça.
Wakati Israeli yote iliposikia hukumu aliyotoa mfalme, wakamwogopa mfalme, kwa sababu waliona kuwa alikuwa na hekima kutoka kwa Mungu kwa kutoa haki.