< 1 Crônicas 25 >

1 Além disso, David e os capitães do exército destacaram para o serviço alguns dos filhos de Asaph, de Heman e de Jeduthun, que deveriam profetizar com harpas, com instrumentos de cordas e com címbalos. O número daqueles que fizeram o trabalho de acordo com seu serviço foi:
Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
2 dos filhos de Asaph: Zaccur, Joseph, Nethaniah, e Asharelah. Os filhos de Asafe estavam sob a mão de Asafe, que profetizou sob a ordem do rei.
Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
3 de Jeduthun, os filhos de Jeduthun: Gedalias, Zeri, Jesaías, Shimei, Hasabias e Mattitias, seis, sob as mãos de seu pai Jedutum, que profetizou dando graças e louvando a Javé com a harpa.
Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
4 De Heman, os filhos de Heman: Bukkiah, Mattaniah, Uzziel, Shebuel, Jerimoth, Hananiah, Hanani, Eliathah, Giddalti, Romamti-Ezer, Joshbekashah, Mallothi, Hothir, e Mahazioth.
Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
5 Todos estes foram os filhos de Heman, o vidente do rei, nas palavras de Deus, para erguer a buzina. Deus deu a Heman quatorze filhos e três filhas.
Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
6 Todos eles estavam sob as mãos de seu pai para cantar na casa de Iavé, com címbalos, instrumentos de corda e harpas, para o serviço da casa de Deus: Asaph, Jeduthun e Heman estando sob a ordem do rei.
Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
7 O número deles, com seus irmãos que foram instruídos a cantar para Javé, mesmo todos os que eram habilidosos, era de duzentos e oitenta e oito.
Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
8 They lançaram sorteio para seus escritórios, todos iguais, tanto os pequenos quanto os grandes, tanto o professor quanto o aluno.
Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
9 Now o primeiro lote saiu para Asafe para José; o segundo para Gedalias, ele e seus irmãos e filhos, doze;
Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
10 o terceiro para Zacur, seus filhos e seus irmãos, doze;
Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
11 o quarto para Izri, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
12 o quinto para Netanias, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
13 o sexto para Buquias, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
14 o sétimo para Jesharelah, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
15 a oitava a Jesaías, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
16 a nona a Matanias, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
17 a décima a Simei, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
18 a décima primeira a Azarel, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
19 a décima segunda a Hasabias, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
20 a décima terceira a Shubael, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
21 para o décimo-quarto, Mattitias, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
22 para o décimo-quinto a Jeremote, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
23 para o décimo sexto a Hananias, seus filhos e seus irmãos, doze;
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
24 para o décimo sétimo a Joshbekashah, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
25 para o décimo oitavo a Hanani, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
26 para o décimo nono a Mallothi, seus filhos e seus irmãos, doze;
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
27 para o vigésimo a Eliathah, seus filhos e irmãos, doze;
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
28 para o vigésimo primeiro a Hothir, seus filhos e irmãos, doze;
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
29 para o vigésimo segundo a Giddalti, seus filhos e irmãos, doze;
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
30 para o vigésimo terceiro a Mahazioth, seus filhos e irmãos, doze;
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
31 para o vigésimo quarto a Romamti-Ezer, seus filhos e irmãos, doze.
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.

< 1 Crônicas 25 >