< Salmos 1 >

1 Bem-aventurado o homem que não anda no conselho dos maus, nem fica parado no caminho dos pecadores, nem se senta junto dos escarnecedores.
Amebarikiwa mtu yule asiye enenda katika ushauri wa waovu, au kusimama katika njia ya wenye dhambi, au kukaa katika kusanyiko la wenye mizaha.
2 Mas sim, que tem seu prazer na Lei do SENHOR; e medita em sua Lei de dia e de noite.
Bali yeye huifurahia sheria ya Yahwe, na huitafakari sheria yake mchana na usiku.
3 Porque ele será como uma árvore, plantada junto a ribeiros de águas, que dá fruto a seu [devido] tempo, e suas folhas não caem; e tudo quanto fizer prosperará.
Atakuwa kama mti uliopandwa karibu na mkondo wa maji ambao huzaa matunda yake kwa majira yake, ambao majani yake hayakauki; lolote afanyalo litafanikiwa.
4 Os maus não são assim; mas são como a palha que o vento dispersa.
Waovu hawako hivyo, wao badala yake ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Por isso os maus não subsistirão no julgamento, nem os pecadores no ajuntamento dos justos.
Kwa hivyo waovu hawatasimama katika hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Porque o SENHOR conhece o caminho dos justos; porém o caminho dos maus perecerá.
Kwa kuwa Yahweh huikubali njia ya wenye haki, njia ya waovu itaangamizwa.

< Salmos 1 >