< Salmos 87 >
1 Salmo e cântico, dos filhos de Coré: Seu fundamento está nos santos montes.
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 O SENHOR ama os portões de Sião mais que todas as habitações de Jacó.
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 Gloriosas coisas são faladas de ti, ó cidade de Deus. (Selá)
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 Farei menção de Raabe e Babilônia aos que me conhecem; eis que da Filístia, Tiro e Cuxe [se dirá]: Este é nascido ali.
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 E de Sião se dirá: Este e aquele outro nasceram ali. E o próprio Altíssimo a manterá firme.
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 O SENHOR contará, quando escrever dos povos: Este nasceu ali. (Selá)
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 Assim como os cantores e instrumentistas; todas as minhas fontes estão em ti.
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”