< Salmos 81 >

1 Salmo de Asafe, para o regente, conforme “Gitite”: Cantai de alegria a Deus, [que é] nossa força; mostrai alegria ao Deus de Jacó.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu. Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
2 Levantai uma canção, e dai-nos o tamborim; a agradável harpa com a lira.
Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.
3 Tocai trombeta na lua nova; e na lua cheia, no dia de nossa celebração.
Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume wakati wa Mwandamo wa Mwezi, na wakati wa mwezi mpevu, katika siku ya Sikukuu yetu;
4 Porque [isto] é um estatuto em Israel, e uma ordem do Deus de Jacó.
hii ni amri kwa Israeli, agizo la Mungu wa Yakobo.
5 Ele o pôs como testemunho em José, quando tinha saído contra a terra do Egito, [onde] ouvi uma língua que eu não entendia:
Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu alipotoka dhidi ya Misri, huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.
6 Tirei seus ombros de debaixo da carga; suas mãos foram livrados dos cestos.
Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao; mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.
7 Na angústia clamaste, e livrei-te dela; te respondi no esconderijo dos trovões; provei a ti nas águas de Meribá. (Selá)
Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa, nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo; nilikujaribu katika maji ya Meriba.
8 Ouve [-me], povo meu, e eu te darei testemunho; ó Israel, se tu me ouvisses!
“Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!
9 Não haverá entre ti deus estranho, e não te prostrarás a um deus estrangeiro.
Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu; msimsujudie mungu wa kigeni.
10 Eu sou o SENHOR teu Deus, que te fiz subir da terra do Egito; abre tua boca por completo, e eu a encherei.
Mimi ni Bwana Mungu wako, niliyekutoa nchi ya Misri. Panua sana kinywa chako nami nitakijaza.
11 Mas meu povo não ouviu minha voz, e Israel não me quis.
“Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza; Israeli hakutaka kunitii.
12 Por isso eu os entreguei ao desejo de seus próprios corações, e andaram conforme seus próprios conselhos.
Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao wafuate mashauri yao wenyewe.
13 Ah, se meu povo me ouvisse, se Israel andasse em meus caminhos!
“Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza, kama Israeli wangalifuata njia zangu,
14 Em pouco tempo eu derrotaria seus inimigos, e viraria minha mão contra seus adversários.
ningaliwatiisha adui zao kwa haraka, na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!
15 Os que odeiam ao SENHOR, a ele se submeteriam, e o tempo [da punição] deles seria eterno.
Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake, na adhabu yao ingedumu milele.
16 E ele sustentaria [Israel] com a abundância de trigo; e eu te fartaria com o mel da rocha.
Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”

< Salmos 81 >