< Salmos 64 >

1 Salmo de Davi, para o regente: Ouve, Deus, minha voz, em minha meditação [de súplica]; guarda minha vida do terror do inimigo.
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu, uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.
2 Esconde-me do grupo dos malignos, e do ajuntamento dos praticantes de maldade,
Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu, kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.
3 Que afiam sua língua como [se fosse] espada; e armaram palavras amargas [como se fossem] flechas.
Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.
4 Para atirarem no inocente às escondidas; disparam apressadamente contra ele, e não têm medo.
Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia, humrushia ghafula bila woga.
5 Eles são ousados para [fazerem] coisas más, comentam sobre como esconder armadilhas, [e] dizem: Quem as verá?
Kila mmoja humtia moyo mwenzake katika mipango mibaya; huzungumza juu ya kuficha mitego yao, nao husema, “Ni nani ataiona?”
6 Eles buscam por perversidades; procuram tudo o que pode ser procurado, até o interior de [cada] homem, e as profundezas do coração.
Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema, “Tumebuni mpango mkamilifu!” Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.
7 Mas Deus os atingirá com flecha de repente; e [logo] serão feridos.
Bali Mungu atawapiga kwa mishale, nao ghafula wataangushwa.
8 E a língua deles fará com que tropecem em si mesmos; todo aquele que olhar para eles se afastará.
Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao na kuwaleta kwenye maangamizi; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao kwa dharau.
9 E todos os homens terão medo, e anunciarão a obra de Deus, e observarão cuidadosamente o que ele fez.
Wanadamu wote wataogopa, watatangaza kazi za Mungu na kutafakari yale aliyoyatenda.
10 O justo se alegará no SENHOR, e confiará nele; e todos os corretos de coração [o] glorificarão.
Wenye haki na wafurahi katika Bwana, na wakimbilie kwake; wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!

< Salmos 64 >