< Salmos 62 >

1 Salmo de Davi para o regente, conforme “Jedutum”: Certamente minha alma se aquieta por causa de Deus; dele [vem] minha salvação.
Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
2 Certamente ele [é] minha rocha, minha salvação e meu refúgio; não serei muito abalado.
Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
3 Até quando atacareis um homem? Todos vós sereis mortos; [sereis] como um parede tombada e uma cerca derrubada.
Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
4 Eles somente tomam conselhos sobre como lançá-lo abaixo de sua alta posição; agradam-se de mentiras; falam bem com suas bocas, mas amaldiçoam em seus interiores. (Selá)
Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
5 Tu, porém, ó minha alma, aquieta-te em Deus; porque ele [é] minha esperança.
Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
6 Certamente ele [é] minha rocha, minha salvação [e] meu refúgio; não me abalarei.
Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
7 Em Deus [está] minha salvação e minha glória; em Deus [está] minha força e meu refúgio.
Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
8 Confiai, povo, nele em todo o tempo; derramai vosso coração diante dele; Deus [é] nosso refúgio. (Selá)
Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
9 Pois os filhos dos seres humanos são nada; os filhos do homem são mentira; pesados juntos [são mais leves] que o vazio.
Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
10 Não confieis na opressão, nem no roubo; nem sejais inúteis; quando tiverdes bens, não ponhais [neles vosso] coração.
Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
11 Deus falou uma vez; eu ouvi duas vezes: que [de] Deus [vem] o poder.
Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
12 Também é tua, Senhor, a bondade; pois tu pagarás a [cada] homem conforme sua obra.
Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.

< Salmos 62 >